Futa viti maalum,futa DC's,RAS's,DAS's Manaibu waziri hizo hela wape hawa GenZ ajira kila secta kila mwaka uone kama kuna kijana atajiunga upinzani kukupinga hata Kama utauza hadi Airports watakusapoti tu
"Mimi nilikuwa bungeni miaka kumi, ni mchaga, si mlisikia Spika (Job Ndugai) alisema nilikopa hela kwamba nina stress ya madeni? Mimi nilienda kule nikakwarua zote kwasababu nilijua wale wasela hawachelewi kubadilisha sera halafu nikapoteza kiinua mgongo, nikawalia timing palepale nikaenda kwa Mtunza hazina, akaniambia ninaweza kukopa mpaka milioni 300 nikamwambia leta, akaniambia kuna nyingine naweza kopa Milioni 150, nikachukua, wanakuja kushtuka wale wamenikopesha ziada Milioni 200, ikawa kama Milioni 600 hivi, wanakuja kuangalia kwenye akaunti wanakuta sifuri."
"Ndugai alimind sana, Ndugai akanifukuza bungeni mwaka ili wasinilipie marejesho ili vitu viuzwe na baadae benki wakaniandikia barua ya kutaka kushikilia vitu vyangu kwani Bunge limekataa kunilipia, nikawajibu nikiwataka watafute muda na saa niwatembeze kwenye mali zangu wachague wanazozitaka ili waunganishe na mkopo wao, nikishindwa kulipa wauze."
"Ndugai akanitangaza kuwa nina stress, nina presha ya madeni, nikasema poa, na kwenye akaunti hawazioni maana zilipita tu. Wakanifukuza bunge mwaka, Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu akaniambia Magufuli anataka niwe Mbunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya CCM na watanilipia madeni yangu yote! Nikasema sitaki, mimi sio Blueband. Wakaniambia vitu vyangu vitauzwa? Nikawaambia vitauzwaje wakati mimi mchaga? Nitaendesha hata Haice. Sasa nikatoroka kwenda Canada, nikarudi, sina deni, Ndugai kafa, Magufuli kafa na Bashiru sio Katibu Mkuu tena, huyo sio Mungu?"
"Sasa ndugu zangu tukitoka hapa tunarudi Ifakara, kama watekaji wapo hapa tutaanza safari muda sio mrefu kwahiyo wanaweza kukaa katikati hapo porini ila nawaonya Mungu wangu mimi ni kiboko mtakufa! Kama umepewa dili la utekaji hilo dili likatae utakufa na aliyekutuma atakufa, hatutaki mazishi wiki hii."Godbless Lema, Mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema akihutubia kwenye mkutano wa hadhara, Mlimba Mkoani Morogoro leo Juni 18, 2026.
๐จ Real Madrid are preparing a sensational โฌ220M move for Michael Olise after the France star produced a Man of the Match display and registered an assist in Les Bleus' opening World Cup win. ๐ซ๐ท
Olise is now emerging as one of Madrid's priority targets as they look to make a statement signing this summer. Florentino Perez has already made contact to try and get a deal over the line. ๐ค
(Source: @MARCA)
๐จ BREAKING: RB Leipzig turn down โฌ100m proposal received from Liverpool for Yan Diomandรฉ.
RB Leipzig want more than โฌ100m as still try to keep him โ understand โฌ120m could be the wayโฆ for now, based on WC performances too.
Leipzig expect PSG and more clubs to join the race.
โฌ90m plus โฌ10m from Liverpool not enough, as @philipphinze24 reported.
Monday saw all four World Cup games finish level.
There has only been four draws in a day once at the World Cup before in 1958.....and there were eight games that day ๐ค