Chanjo 💉
✅Hutuweka sote salama
✅Huokoa Maisha
✅Husaidia kutomomeza magonjwa
Chanjo za UVIKO-19 zimetengenezwa ili kukinga mwili na kuzuia maradhi yanayosababishwa na virusi vya UVIKO-19 🦠.
Chaguo ni la kwako 🙌🏾
Today is World Hepatitis Day!
This year’s theme is #HepatitisCantWait. We call on all countries in #Africa to rapidly improve access to services to prevent, diagnose & treat hepatitis, especially during the #COVID19 pandemic.
AFRICA CAN’T WAIT!
#WorldHepatitisDay2021
Get tested. Know your Status
Millions of people are living with hepatitis, which is causing damage to their liver. But they're not aware.
Testing is the only way to know if you have Hepatitis
Get tested for your own good!
#WorldHepatitisDay#WorldHepatitisDay2021
Guest of Honour for @ATE_Tanzania 62nd Annual General Meeting (AGM) & High-level Conference is Hon. Deputy Minister of State PMO’s - Investment Hon. William Tate Ole Nasha (MP). #ATEAGM2021#ATETanzania
"Tunaipongeza serikali kwa kupunguza kodi ya kipato (PAYEE) kutoka 9% mpaka 8% pia kupunguza kiwango cha kuchangia Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi kutoka 1% mpaka 0.6% Hii ni hatua njema katika kuboresha mazingira uwekezaji na kukuza uchumi wetu"
Mwenyekiti wa @ATE_Tanzania
@ATE_Tanzania bado tunaendelea kuiomba serikali yetu kuirudisha Mamlaka ya Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kwenye Wizara inayohusika na masuala ya Ajira kwa sababu masuala ya ufundi stadi ni masuala yanayohusiana na soko la Ajira moja kwa moja.
Bi. Jayne Nyimbo #ATEAGM2021.
Tunaishukuru Serikali yetu kwa kuendelea kupunguza tozo ya maendeleo na ujuzi (Skills and Development Levy -SDL) kutoka 4.5% mpaka 4%. - Bi. Jayne Nyimbo - Mwenyekiti @ATE_Tanzania#ATEAGM2021 | #ATETanzania
From topic presentation :
Tanzania Development Vision 2025 Aspires to:
- Strengthening Investment and Business Climate
- Build a Competitive Economy
- Create Jobs
@esrf@jacobselisabeth#ATEAGM2021 | #ATETanzania
FROM TOPIC PRESENTATION :
“It is important to consider reviewing policies around Startups so as the environment around it to be competitive and provide chances for development and job creation.”
#ATEAGM2021 | #ATETanzania
FROM TOPIC PRESENTATION :
Five main attributes of Tanzania Society by 2025:
- High Quality Livelihoods
- Peace, Stability and Unity
- Good Governance
- A Well Educated and Learning Society
- A Competitive Economy Capable of Producing Suitable Growth
#ATEAGM2021. |
On going presentation on high-level topic, Strengthen Business Investment Climate in Tanzania for a Competitive Economy and Sustainable job creation” -
@ESRFTZ@ATE_Tanzania#ATEAGM2021 | #ATETanzania
Dear @ATE_Tanzania
Members
Only 2 days left before our AGM & High Level Conference to be held on Thursday 24th June 2021 at Serena Hotel.
Looking forward to your participation
#ATEAGM2021