Niwape story nyingine ya Nabii AYUBU? 😂
Ukisoma Biblia AYUBU 1:1, Biblia inasema Ayubu alikuwa mkamilifu na mnyoofu. 😎
Unajua kuwa mnyoofu wewe! Mungu alikuwa proud naye sana. Lakini kulikuwa wanoko 😂 wakasema, Mungu huyu unamuona yuko hivyo kwa sababu umempa kila kitu.
Chukua hivyo vitu vyake uone kama bado atakuwa mwaminifu kama unavyosema, Mungu akaona isiwe kesi ngoja tuone
Ghafla utajiri ukaondoka, mali zikapotea, watoto wakafa, na Ayubu akapata maradhi makali ya mwili.
Halafu wale wale Ma snitch wakaanza kusema, Hapana, lazima huyu kuna dhambi kubwa amefanya, Lakini pamoja na yote hayo, Ayubu aliendelea kushikilia imani yake.
Ndipo katika AYUBU 1:21 tunapata maneno haya
“Bwana alitoa, na Bwana ametwaa; jina la Bwana libarikiwe.” 🙏🏾
Guess what 😂 Baada ya kipindi chote cha mateso na maumivu, Mungu alimrudishia Ayubu kila kitu, tena zaidi ya alichokuwa nacho mwanzo. Hapo ni AYUBU 42:10.
Wakati mwingine hali ngumu tunazopitia kwenye maisha yetu si kwa sababu tunastahili, hapana. Wakati mwingine ni kwa ajili ya kutujenga, kutufundisha, na kutuandaa kwa kile kinachokuja mbele yetu.
Usikate tamaa katikati ya story yako. Mungu bado hajaandika mwisho wake. ☺️
Nisikie Amen kutoka huku nyuma.
Mtu anayelipwa 200K akitoa 10K akakupa ametoa 5% ya mshahara wake kukupa wewe.Hiyo inamaanisha kuna siku kama 2 aliamka nyumbani kwake akaenda kazini kufanya kazi kwa ajili yako.Jifunze kuwa mwingi wa shukrani na uthamini jitihada wanazoweka watu kukufurahisha /kuridhisha nafsi
Somali referee Omar Artan, who was set to be the first from his country to officiate at the World Cup finals, has been denied entry to the United States.
My purpose in the game is fulfilled ⭐️
I lived out my childhood dreams, played on the biggest stages, won the biggest trophies. Grateful to God for all of it.
To all my fans, the clubs, my teammates and my family: this will forever be ours. Thank you.
The mission is complete. Now I step into my next calling.
More of the journey to come.
Love,
Divock Origi
Life likikuvuruga, many of us kimbilio letu ni nyumbani.
Ukishakua mtu mzima una wajibika kutengeneza "nyumbani" kwa watoto wako pia.
At certain point in life, they will need it.
Mwaka 2008 Wasabato Masalia walitinga Airport Dar wakitaka kwenda ng'ambo wakaeneze injili bila kuwa na documents yoyote kama visa, passport, tiketi nk
IMANI BILA ELIMU NI USHIRIKINA
#ElimikaWikiendi
Tatizo la Lishe bora, ukiikwepa nyumbani kwako, utakutana nayo kwenye mfumo wa Sindano au Vidonge.
Nauza samaki Fresh kutoka Ziwa Victoria.
Sato na Sangara.
0762344677
🚨 Federico Chiesa: “I want to play regularly, if I don't find continuity in Premier League I have to look elsewhere”.
“The first year of Liverpool I practically didn't play… I'm going to pre season tour in the USA, then I'll talk to the club and the new coach Iraola and we'll see”, told Gazzetta.