A 10 year bromance that has been of little or no value to @skmusyoka and/or his supporters.
@RailaOdinga must now be called out for his politics of deceit & conmanship
He conned
~Jaramogi in FORD
~Wamalwa in FORD Kenya
~Nyachae in 2002
~Kibaki in 2005
~us in NASA with Handshake
Yesterday at the burial of Elias Musyoka in Mwingi South in Kitui County, I politely requested @skmusyoka to join the Hustler Movement. He responded by saying in politics any thing is possible & that mbele iko sawa. I gave him a standing ovation & the people cheered happily..
Justice Aggrey Muchelule, has today been arrested, harassed, intimidated & humiliated by the state. Coming days after @NelsonHavi was similarly treated as was Senior Counsel John Khaminwa before him. As a community, we strongly condemn these, say no to this profiling and..
Mjadala: Gharama ya maisha imepanda lakini mshahara hauongezeki ikizidi sana watu wamefutwa kazi, umeathirika vipi?
Zungumza nasi kupitia 0722200730, 0733330015 au utume ujumbe wa SMS kwa 22106
@VincentAteya#JamboKenya#RadioNumberOne
#NenoLaLeo....
MUNGU AMEPANGA KILA KITU KWA WAKATI WAKE! Mhubiri 3:1-11...Kila kitu kina majira yake, kila jambo duniani lina wakati wake, Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa, wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna kilichopandwa. #BarakaZaMilele
Waefeso 4: 25-27 Kwa hiyo, kila mmoja wenu aache kusema uongo, na amwambie ndugu yake ukweli, kwa maana sisi sote ni viungo vya mwili mmoja. Mkikasirika, msitende dhambi; msikubali kukaa na hasira kutwa nzima na kumpa she tani nafasi
#Pambazuka