I am Luo ,proud to be a Luo
Let me tell you maina,
Back in 2007(PEV) i was in form one,
I went to school in a place called Kemunye in Kirinyaga (huko kwa watu tunaambiwa ni WA roho chafu)
Despite everything that was going on in the politics world
I was the only Luo student among 600 other students who were all kikuyus
My mom had many friends but most of the lm who have come through for her in her life (she talked of many coming from the central part of Kenya(kikuyus)
Mi nikiambiwa leo ati Kikuyu wako na roho chafu kusema ukweli sielewi kabisaaa
Mi nimesaidika sana na hao hao wakikuyu kwa maisha yangu
Don't buy into such narratives of division among Kenyans
Kibaki brought to us free basic education so that many of us if not all of us can think for themselves kama mtu ameenda shule hata kama ni class 8
Zamani labda tungeingizwa box na tupigane lakini sahii maze tumetoana mbali sana vile politician tu kusimama hapo kwa mic aogee ujinga (tunaakili ya kujua hiyo ni ujinga)
Chukuwa kura yako,Jenga mkenya mwenzako alafu
Hawa mafala(politicians) watupate 2027 tukiwa na Umoja
Utajionea tu mwenyewe vile watanyenyekea
I understand every man has a price
Wacha price yetu wote ikuwe moja
#AbetterKenyaForEverone