25 November is the International Day to End Violence against Women & the 🌎 is turning orange 🧡 to show that #GenerationEquality stands against rape.
Let’s kick off the #16Days of Activism & #orangetheworld!
Do you think the introduction of comprehensive Reproductive Health Education in the Primary and Secondary Schools in Tanzania will help to reduce the alarming rate of Teenage Pregnancy? @RebecaGyumi@CarolNdosi @BintiSalha @PetriderPaul@MasaluPaschal@Osckim
Ni muhimu sana jamii kuelewa hili jambo ili kumthamini mwanamke na kumfanya awe huru kushiriki shughuli mbalimbali za maisha ya kila siku anapokuwa kwenya siku zake za hedhi #hedhisiouchafu
@Kaakuona @ManenoIzaak Elimu ya kujistiri pamoja na usafi lazima tuitoe, mantiki ya kusema Hedhi siyo uchafu ni kutoa dhana potofu iliyojengeka kuwa uwapo katika siku hizo unakuwa hufai na kupelekea kunyanyapaliwa, ndio maana tunataka topic ya hedhi iwe kitu cha kawaida kwa jamii nzima na siyo siri
Ni rahisi sana kuchukua hatua baada ya kujua sababu/vikwazo, kwa pamoja tuchukue hatua kupambana ili kuhakikisha mtoto wa kike anakuwa salama, mwenye furaha na moyo wa uthubutu kwenye harakati za kufikia ndoto zake.
This is how was taking place in Namtumbo District, thank you leaders, youth and community in general for your commitment on #FP2020 toward solving gaps observed from the findings. #Dataspeak
“Most of the leaders in my community are men. But I am going to be a very successful business woman.” – Faraja, 25, Tanzania, a change maker from Tanzania working with a Restless Development youth-led gender equality program. https://t.co/lshoCCDpnx
By imparting skills and knowledge in the community concerning sexual reproductive health and family planning in order to control population and allow women to engage in different productive activities.
NEW on the blog: Evidence shows that programs addressing women’s need for #SRH & #familyplanning AND support environmental efforts can enhance resilience to #climatechange. How? Find out here: https://t.co/5g4DGcSGVW #WeAreFP2020
"Tumeamua kuanza na mada ya magonjwa yasiyoambukiza kwa sababu ya changamoto zinazotokana na ongezeko la magonjwa haya miongoni mwa Watanzania,” Francis Nanai. #MwananchiForum#AfyaYetuMtajiWetu
@MwananchiNews Jamii inatakiwa kuelimishwa kwa kutumia njia mbalimbali kama kampeni na matangazo ya kusisitiza kuhusiana na visababishi magonjwa yasiyoambukiza na madhara yake makubwa