HERI YA SIKU YA KUZALIWA, MHE. @HecheJohn ✌️
Leo tunaungana na maelfu ya Watanzania kumtakia Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Mhe. John Heche, heri na baraka tele katika kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa.
Katika siku hii ya kipekee, zawadi yenye thamani zaidi tunayoweza kumpatia si maneno pekee, bali ni kuendelea kuunga mkono wito wake wa kujenga chama imara kwa kuchangia kufanikisha Baraza Kuu la Umma.
Mhe. John Heche amekuwa mstari wa mbele akihamasisha Watanzania kushiriki katika ujenzi wa chama. Hivyo, tunawaalika wanachama, wapenzi na marafiki wa CHADEMA kuadhimisha siku hii kwa kutuma mchango wao kwa ajili ya Marathon ya kufikia TSh. Milioni 334.
Zawadi bora kwa Mhe. John Heche ni kuona Watanzania wakijitokeza kwa wingi kuchangia Baraza Kuu la Umma. Kila mchango, mkubwa au mdogo, ni sehemu ya mafanikio ya chama chetu.
Heri ya kuzaliwa Mhe. John Heche! Mwenyezi Mungu akupe afya njema, hekima, nguvu na ulinzi unapoendelea kulitumikia Taifa na CHADEMA.
Uchambuzi Bora kabisa kutoka kwa Furhan sikiliza kisha Bonyeza repost GAIDI.
CHANGIA SASA
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
NMB Bank
Namba ya Akaunti: 22606600140
Jina la Akaunti: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Wahuni walikuwa wamejipanga kuimaliza kabisa CHADEMA na mipesa kibao waliaanza gawana
Kufanya Press unapigwa million 3
Hila hii nchi watu wana Njaa, kusaliti umma unafanya kwa millioni 3 ? wakati Samia na Mwanae wana magari ya mabilioni? Abdul ana gari billion 5 hataki hata haya ma V8 naona takataka
Halafu kutetea mtu kama huyu ni million 3? maana unaposhambulia upinzani au wanaharakati unachofanya ni kupalilia ufisadi wa Kikwete, Samia na CCM wanaotafuna hii nchi kama Mchwa, halafu unapewa million 3 ?!!! kama sio ujinga mkubwa ni nini? njaa tupu
CHAGUA CHADEM tuendelea mapambano ya mabadiliko nchini, tutapunguza hata hizi njaa zinazodhalilisha watu
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
NMB Bank
Namba ya Akaunti: 22606600140
Jina la Akaunti: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Mwalimu Laurent Joseph Maarufu kama MNEGRO anashikiriwa na Polis kutokana na Ukosoaji wake kwa SERIKALI ,na Kumkosoa IGP
*CWT HAINA MSAADA KWA WALIMU, LABDA IPEWE JUKUMU LA KUSULUHISHA NDOA NA KUWATAFUTIA WACHUMBA WALIMU NCHINI.*
Tembea na *Gunini* hapa.
Leo ilikuwa siku ya kipekee sana, Nimeamka nikiwa imara sana kiafya. Ni siku ambayo nimemkumbuka *Mwl. Laurent Noti Joseph (Mnegro)* mwalimu kutoka shule ya Sekondari Ikungulyabashashi anayeshikiliwa na jeshi la polisi katika kituo cha polisi Bariadi.
Nikafunga safari kwenda kituo cha polisi kumsalimia, nikiwa njiani rafiki yangu mmoja akawaa amenipigia simu nikamjulisha nipo njiani naelekea kituo cha polisi kumsalimia Rafiki na mwl Laurent Noti Joseph (Mnegro) ambaye nimejulishwa yupo kituoni hapo.
Basi rafiki yangu akaniambia tukutane tukamuone.
Tumefika kituoni hapo tukaambiwa haturuhusiwi kuonana naye, ila kama ni chakula tunaruhusiwa kumpelekea ila sio kuonana naye.
Kutokana na ushamba wetu wa kutokujua sheria tukauuliza vipi kwa upande wa mwanasheria akipatikana? Tukiambiwa hata mwanasheria/wakili kuna taratibu zake.
So hakuna ndugu, jamaa au rafiki anaruhusiwa kuonana naye.
Mimi sio msomi wa sheria, japokuwa nina sifa za kwenda Bungeni kutunga sheria, kwa maana najua kusoma na kuandika pia na kuhesabu.
Japokuwa mimi sio mwanasheria na sijui taratibu za kiutumishi zikoje. Ila hofu yangu ni kwamba huyu Mwl. Akikaa mda mrefu bila kuhudhuria kazini anaweza kukosa sifa za kuwa mwalimu. Kitu ambacho kitayumbisha hali za watu wanaomtegemea. Tukumbuke Mnegro ni mme, baba na mtoto wa wazazi wake macho ya wengi yanamtazama. Japo kuwa sijui kinachomsibu kwa maana hata jeshi la polisi halijatoa taarifa kwa umma nini Mnegro kinamsibu.
Sijajua kama umma una haki ya kupata taarifa juu ya kilichosababisha kukamatwa kwake. Maana mimi sio mwanasheria.
Nimekuwa na ushuhuda mwingi sana kwa chama cha walimu nchini kutokujali shida na changamoto za walimu wao. Mjumbe wao wanayemkata hela kila mwisho wa mwezi ety akipata shida wamsaidie yamekuwa ni maneno na hayana uhalisia. Hata kwa huyu mwl. CWT wamekaa kimya kama hawajui chochote. Pia nina ushuda wa mwl mwingine alitapeliwa akapeleka malalamiko kwao hakuna kilichofanyika.
Tangu enzi na enzi vyama vya wafanyakazi vilikuwa na nguvu za kutetea haki za wafanyakazi na kufanya mabadiliko panapohitajika.
Kwa kutumia nafasi hii naziomba taasisi mbalimbali za kutetea haki, mawakili mbalimbali wajitolee kumsaidia mwl huyu huduma za kisheria.
Ieleweke sio Gunini anasema Mnegro hana hatia la hasha! Kama amefanya kosa ahukumiwa kwa haki kwa mujibu wa sheria na taratibu tulizojiwekea.
Asanteni sana!
*Gunini Masunga*
Mkulima wa pamba kutoka mtaa wa Itongo Bunamhala.
JUMBE ZINASOBABISHA AENDELEE KUSHIKIRIWA
@MariaSTsehai@HildaNewton21 @HecheeJohn @godbless_lema@lifeofmshaba@Sativa255
🚨SOMA HII🚨
‼️MBINU MPYA YA KUJARIBU KUBOMOA CHADEMA HII HAPA‼️
Baada ya jaribio la kumwua Heche na fitna za mitandaoni kufeli sasa kimama kiuaji amewahusisha viongozi na wafuasi wa CCM, CHAUMMA waliowahi kuwa Chadema pamoja na mamluki ndani ya Chadema kujaribu kufanya collective action kumwondoa @HecheJohn eti wamtoe Lissu akiwa mnyonge na akute maridhiano imeanza! Baadhi ya viongozi wa dini wameshapangwa waende kumwangukia kimama!
👉🏽Mbinu hii inahusisha baadhi ya watu waliowahi kuwa JOC wa CHADEMA kwa maana ya Jimbo Operation Commander - hawa walitumika kwenye masuala ya uchaguzi Chadema chini ya uongozi wa awamu iliyopita na baadhi walishawishiwa waende CHAUMMA ila wametoka mikono mitupu !
Sasa wamepewa kandarasi ya kuhonga viongozi wa wilaya CDM waende Dar kwenye press conference waanze kumlalamikia Heche na kutaka ajiuzulu!
Wanalipwa milioni 1-3 kila kiongozi wa wilaya na wamefika wilaya nyingi nchini ikiwemo baadhi ya wilaya za Tanga, Lindi, Mwanza na Pwani!
Mbali na hawa JOC pia baadhi ya viongozi waliofukuzwa au kuondoka kwenye chama wanahangaika na simu na nimeshapewa audio nyingi ila kwa sasa sitaweka wazi kwanza ili waje wajae 😁
Nacheka maana nimefurahishwa kuona kuna viongozi waaminifu wengi ndani ya Chadema waliokataa kurubuniwa 👊🏽
Wito kwa viongozi WOTE wa wilaya na wengine MSIRUBUNIWE! Hawa wanaowahonga milioni 1-3 wamepewa milioni 5 na zaidi kuwahonga kila mmoja wenu na wamekula pesa - so mmeshaliwa mkipokea pesa
Pili hizi pesa zina damu za ndugu zenu watanganyika - msijiletee laana na msijimalize kisiasa kwa bei chee! Atakayetoa pua kuongea mambo ya Heche sijui nini anajimaliza kisiasa milele!
👉🏽Pia mkakati unaendelea hawa watakaonunuliwa waende kuvuruga Baraza Kuu ingawa Tundu Lissu LAZIMA kimama amwachie mapema so hii naona ndo useless kabisa!
👉🏽Na mwisho kabisa wanataka hawa viongozi waandike barua kwa msajili wa vyama kumshtaki Heche! Watengeneze crisis! Stupid kabisa 🚮
Sasa narudia atakayekubali kufanya hii kazi ya kishetani nitamshangaa atakuwa ni mpumbavu! CCM na kimama wanapumulia mashine na tunaenda kuzima mashine! Sasa tukishakomboa nchi mmepanga kuishi vipi na hii aibu ya usaliti!
ACHENI ❌
Hakuna pesa inayoweza kununua heshima!
Chadema imeshapata idhini ya Mungu pale ambapo Januari 2025 walipochagua hii timu ya uongozi! Na mmelipa gharama kubwa kufika hapa msikubali kurubuniwa na vijisenti wakati kuna neema kubwa mbele
KATAA WAHUNI ❌
#TutaelewanaTu #FreeTunduLissu
Kuelekea Baraza kuu la kihistoria..
Nimesikia sauti yenu, Asanteni sana Watanzania kwa upendo mkubwa.
Ushindi wetu uko karibu sana..
Msiogope, tutashinda.
"Naomba niwahakikishe kwamba fedha tunazochangiwa, za Chama zipo salama na zinatumika kwa mujibu wa taratibu za kifedha, kwa maamuzi ya vikao na mapato na matumizi zinatolewa kwenye vikao vya Chama." Mhe. @jjmnyika
KIONGOZI CHADEMA ATEKWA NA KUUAWA KWA KUKATWA NA MAPANGA!
Julius Mbalile Erick (pichani), alikuwa ni Katibu Mwenezi wa CHADEMA Kata ya Murongo Jimbo la Kyerwa mkoani Kagera. Kwa mujibu wa taarifa ya aliyekuwa Mbunge wa CHADEMA, Anatropia Theonest ambayo imetolewa leo, Julius Mbalile Erick alitekwa na kupotea katika mazingira ya kutatanisha.
Baada ya wanafamilia na wanachama wenzake kumtafuta alipatikana siku tatu baadaye akiwa ameuawa kwa kukatwakatwa na mapanga na kisha kutelekezwa.
Mauaji ya Julius Mbalile yanakuja katika kipindi hiki ambapo viongozi wengi na wanachama wa CHADEMA wakiwa wametekwa na wengine kukamatwa na Jeshi la Polisi huku wengine wakinyimwa dhamana katika vituo vya Polisi.
Kwa wakristo wanao tetea amani kabla ya haki
Mwanaharakati ni mtu anayesimama hadharani kupinga dhuluma, kutetea haki, na kuhoji matumizi mabaya ya mamlaka, basi
Yesu alikuwa na sifa nyingi za mwanaharakati. Hata hivyo, utume wake ulikuwa mpana zaidi kuliko harakati za kisiasa au kijamii.
Mifano kutoka kwenye Biblia:
Alikemea viongozi wa dini waliokuwa wanafiki na waliowabebesha watu mizigo mizito huku wakipuuzia haki, rehema na uaminifu (Mathayo 23).
Alisimama upande wa waliotengwa na jamii—maskini, wagonjwa, wenye dhambi, wanawake, wakusanya ushuru na wengine waliodharauliwa.
Alipinga unyonyaji wa kiuchumi. Alifukuza wafanyabiashara na wabadilishaji fedha Hekaluni kwa sababu walikuwa wamegeuza nyumba ya Mungu kuwa “pango la wanyang’anyi” (Mathayo 21:12–13).
Hakuuogopa utawala wa kisiasa. Alimwita Herod Antipas “yule mbweha” (Luka 13:32), akionyesha kwamba hakuogopa mamlaka.
Alihubiri Ufalme wa Mungu, ambao ulisisitiza haki, kweli, rehema na upendo, na hivyo kupinga mifumo ya dhuluma na uonevu.
Hata hivyo, Yesu hakuwa mwanaharakati wa kisiasa kwa maana ya kutafuta kuipindua Dola ya Roma kwa nguvu za kijeshi. Hakuwahi kuanzisha mapinduzi ya silaha wala kugombea mamlaka ya kisiasa. Alisema:
“Ufalme wangu si wa ulimwengu huu.” (Yohana 18:36)
Hii haimaanishi kwamba hakujali mambo ya kijamii au kisiasa, bali kwamba njia yake ya kuleta mabadiliko ilikuwa kupitia mabadiliko ya moyo wa mwanadamu, ukweli, haki, upendo na kujitoa mhanga—si kwa nguvu za silaha.
Kwa hiyo, tunaweza kusema:
Yesu alikuwa mwanaharakati wa haki na kweli, lakini zaidi ya yote alikuwa Masihi na Mkombozi. Alisimama dhidi ya dhuluma, ufisadi, unafiki na matumizi mabaya ya madaraka, huku akiwaita watu wote kutubu na kuishi katika misingi ya Ufalme wa Mungu.
Inategemewa au inapaswa wafuasi wake waige maisha ya Yesu kwa maneno na matendo
CHADEMA iko imara zaidi sasa! Msiyumbishwe. Adui yetu mkuu anajulikana. Ni dola dhalimu na katili ya CCM inayofanya kila njia kutudhoofisha. Kuwa kiongozi au mwanachama wa CHADEMA ni msimamo wa kijasiri na utayari wa kupambana kulinda ustawi wa chama chetu. Kusimama imara ndiyo silaha yetu. #PeoplesPower
Kaka John Heche, shikilia hapo hapo! Maadui dhidi yako ni wengi mno na hawapendi unachokifanya. Ila, sisi wananchi tulio wengi, tunaelewa "vision" yako & tuko nyuma yako. Mungu akusimamie katila kila jambo. Endelea kaka, usikate tamaa.
Wananchi, huyu mtu ALINDWE kwa wivu mkubwa.
Updates:Kuhusu Neema Chozaile
Napenda kuwafahamisha wanachama,wapenzi wa demokrasia na umma wa Watanzania kuhusu hatua zilizofikiwa leo katika kufuatilia suala la Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Geita, Bi. Neema Chozaire, ambaye amekuwa akishikiliwa na Jeshi la Polisi.
Leo, tarehe 9 Julai 2026, viongozi wa chama pamoja na timu ya mawakili walifika Ofisi ya Kamanda wa Polisi wa Mkoa (RPC) Geita kwa lengo la kufuatilia mwenendo wa suala hilo na kuhakikisha wanapata fursa ya kumuona Bi. Neema pamoja na kujiridhisha kuhusu hali yake ya kiafya.
Baada ya mazungumzo ya muda mrefu na viongozi wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita, pande zote zilikubaliana kwamba Bi. Neema aletwe pale Ofisi ya RPC. Hatimaye aliletwa kutoka eneo alikokuwa ameshikiliwa, na viongozi wa chama pamoja na mawakili wakapata nafasi ya kuzungumza naye kwa takribani saa moja.
Katika mazungumzo, Bi. Neema ameeleza kuwa amefanyiwa vitendo vya ukatili akiwa mikononi mwa vyombo vya dola. Alidai kuwaamepigwa sana kiasi kwamba hadi sasa anapata shida kutembea, hali ambayo ilionekana wakati wa mazungumzo . Aidha, alieleza kuwa maelezo yaliyorekodiwa na mamlaka za uchunguzi hayakuwa ya hiari yake, lakini yalitolewa baada ya kupigwa na kulazimishwa. Kwa mujibu wa maelezo yake, kwa kipindi cha takribani siku kumi amekuwa akipigwa mchana na usiku ili akiri tuhuma ambazo anasisitiza si za kweli.
Baada ya mazungumzo hayo, Bi. Neema amehamishiwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Geita, ambapo sasa ameruhusiwa kuonana na watu mbalimbali, ikiwemo timu yake ya mawakili.
CHADEMA tayari imemkabidhi mahitaji muhimu, huku timu ya mawakili ikiwa imekamilisha maandalizi yote muhimu ya kuhakikisha anapata msaada wa kisheria na haki zake zote za msingi zinalindwa katika hatua zote za mchakato wa sheria.
Bi. Neema anatarajiwa kufikishwa mahakamani siku ya Jumatatu.
CHADEMA itaendelea kufuatilia kwa karibu suala hili na kuhakikisha haki inatendeka. Tunatoa wito kwa mamlaka husika kuheshimu Katiba, sheria za nchi na haki za msingi za kila raia, ikiwemo haki ya kutofanyiwa mateso, ukatili au kulazimishwa kutoa maelezo dhidi ya utashi wake.
Kuweka tena sawa kumbu kumbu
Kwa Katiba ya Chadema, John Heche hahusiki na Hela za Chama, Wahusika ni Ofisi ya Katibu Mkuu na Baraza la Wadhamini
Kwahiyo wale ambao mmejichotea mihela ya Abdul basi jaribuni kutunga UONGO mwingine ili mueleweke
Mali za Chadema zikiwemo hela ziko Chini ya Ofisi ya Katibu Mkuu na Baraza la Wadhamini na si vinginevyo
UJUMBE: Hakuna kitabu chochote Kitakatifu kilichowahi kuelekeza Maridhiano na Shetani
Watanzania wameamka leo nimepita maskani ya chadema Arusha.watu ni wakali wanasema yoyote anayempinga,MakamuMwenyekiti Heche atoke yeye wanachadema wako na Heche wamesema tumezika marafiki na ndugu. Wanasema damu sio maji kwa hali hii Heche ana wafuasi wengi .
Stay strong kaka, Watanzania wana Imani na wewe. Wauwaji wanajaribu kukuchafua ili uwe mchafu kama wao na wizi wao na ufisadi wao.
Pesa wametoa wananchi ila wanaolalamikia pesa hizi ni wauwaji wa October 29 mpaka wanalipa watu kukuchafua. Wao wanaumwa nini roho? Sisi wananchi tunaotoa hizo pesa tuna Imani na wewe na matumizi ya pesa.
Pumbav, pesa tutoe sisi wananchi ila vinembe viwawashe wao….
Pumbav, na Rolls Royce tutamnunulia Lissu akitoka jela ili wauwaji wafeee kabisa.
👉Daaah aiseee😭😭🇹🇿
Huyu si ndiye Kihongosi Mwenezi wa Neck ya Wana Lumumba CCM⁉️
Huu ni unyama😭😭
Huu ni udhalilishaji😭😭
Huu ni utumwa😭😭
Tukiitisha Maandamano muwe mnatuelewa,hatuwezi vumilia unyama kama huu😭😭
👉 👇👇