๐จ๐จupdate ya motomoto sana imetufikia!
๐CAG kishakanyaga moto ana ๐ฆ na yuko isolation
๐ Mfanyabiashara maarufu sanaaa alikuwa na PM siku chache nyuma naye kakanyaga cable๐ฆ
Narudia tena- atakufa mtu miongoni mwao ndipo watatoka huko mafichoni! Kichere na visukari hivyo ๐โโ๏ธ
Ben Lowassa is gone! Huku inakopita corona itafanya Meko aelewe kuwa haiko selective! Ni suala la muda tu itafika Chato ndani ya kitengo
Pole mzee wangu mamvi kwa kumpoteza kijana! Kooona nomaaa
RAIS MAGUFULI: TUSIAMINI KILA KITU TUNACHOLETEWA
โHii ni kama vita vyingine zilivyo dunianiโฆtusiamini kila kitu tunacholetewaโฆtumesikia kwenye vyombo vya habari โฆhata hizi mask zilizogawiwa kwenye nchi mbalimbali wamezikuta zina Corona,โ Rais @MagufuliJP
BREAKING NEWS : Waziri wa Afya @umwalimu ametangaza kuongezeka kwa watu 53 wenye maambukizi ya Virusi vya Corona, ambapo imepelekea jumla ya visa vya Corona kuwa 147.
38 - DSM
10 - Zanzibar,
1 - Kilimanjaro,
1 - Mwanza,
1 - Lindi
1 - Kagera
1 - Pwani.
Kuanzia kesho tar 17 April tunatumia Vikundi vya kijamii ktk mapambano dhidi ya #COVID19Tanzania .Kwa siku 20 vitazunguka ndani ya Jiji la Dar es salaam kutoa Elimu kwa jamii kuhusu Corona.Lengo ni kukata mnyororo wa maambukizi ya Corona TZ @elimuyaafya@trcs1962@UNICEFTanzania