MUNGU ATAKUJARIBU KWA NJIA TATU
1. Wakati mwingine anakupa kile unachotaka mara moja ili kupima shukrani yako.
2. Wakati mwingine hakupi unachotaka ili kupima imani yako
3. Wakati mwingine anakufanya ungoje ili kujaribu subra yako
MUNGU anakutayarisha kwa baraka kubwa zaidi 🙏