For though by this time you ought to be teachers, you need someone to teach you again the first principles of the oracles of God; and you have come to need milk and not solid food.
Hebrews 5:12
And My people who are called by My name humble themselves and pray and seek My face and turn from their wicked ways, then I will hear from heaven, will forgive their sin and will heal their land.
2 Chronicles 7:14
Nimempoteza BRO WANGU MDUDE kwenye hizi harakati.
Leo kwasababu ya Njaa zangu nianze kujali tumbo langu nikatishe tamaa watanzania ambao wanaamua kuandamana kumpigania ndugu yangu?
Mimi miaka miwili nahudhuria clinic za TAYA yangu kwasababu ya KUPIGWA RISASI YA KICHWA—mnajua gharama ngapi naingia kujitibia?
Leo kwasababu ya njaa zangu nianze kukatisha tamaa watanzania wenzangu walioamua kuandamana kunipazia sauti kukataa haya mambo ya KUTEKA NA KUPOTEZA WATANZANIA?
Mimi sina BEI kwenye haya mapambano, bei yangu ni HAKI itendeke, kinyume na hapo NITANYOOKA NA NYIE MPAKA NAKUFA.
Nipo tayari kuishi mafichoni milele.
Nipo tayari kuendelea kuishi kwa mashaka milele.
Nipo tayari kuendelea kuishi kwa tahadhari milele.
Haya yote ambayo yananiumiza leo nipo tayari kuyageuza kuwa maisha yangu ya milele ila najua siku moja USHINDI UNAKUJA.
Kwahiyo ndugu zangu MAANDAMANO YA 7/7 NAYAUNGA MKONO ASILIMIA 200–HII NCHI LAZIMA TUIKOMBOE TUANZE UPYA.
#77Tunatoka
#FreeTunduLissu
#TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Ayubu 42:2–3
"Najua ya kuwa waweza kufanya mambo yote, na ya kuwa makusudi yako hayawezi kuzuiliwa."
"Ni nani huyu afichaye shauri kwa maneno yasiyo na maarifa? Basi nimenena nisiyoyafahamu, mambo ya ajabu mno kwangu nisiyoyajua."
For if Joshua had given them rest, then He would not afterward have spoken of another day. There remains therefore a rest for the people of God.
Hebrews 4:8-9
For the sorrow that is according to the will of God produces a repentance without regret, leading to salvation, but the sorrow of the world produces death.
2 Corinthians 7:10
For the word of God is living and powerful, and sharper than any two-edged sword, piercing even to the division of soul and spirit, and of joints and marrow, and is a discerner of the thoughts and intents of the heart.
Hebrews 4:12
Luke 16:13
13 “No servant can serve two masters; for either he will hate the one and love the other, or else he will be loyal to the one and despise the other. You cannot serve God and mammon.”
Tarehe 29 sio tarehe ya kawaida tena.
Tutawakumbuka daima mashujaa wote waliouwawa wakidai haki.
Na maelfu waliopigwa risasi wakauwawa wakati Samia akijilazimisha kuwa rais wa Tanzania.
Damu zenu zisinyamaze kamwe hadi haki ipatikane.
Rest in power, comrades! #MO29#Saba7