@ntvkenya Yes we're spending a chunk of the budget on a small % of the county population. Theoretically it doesn't make sense but we miss the point being that, in reality that small percentage translates into up a big percentage of the voters.
As Eric says, our politics.
@citizentvkenya It's interesting that a lawyer can state that I committed a crime just as someone else did, is not a response/excuse, but a DEFENSE!
@AyubAbdikadir
@citizentvkenya@RashidAbdalla Wakenya sio mazingwete hivyo. Mimi ni CS wa afya. @RashidAbdalla ni CS wa barabara. Natuma kampuni zangu kwake kupata tender za kujenga barabara, nami nitapatia kampuni yake nafasi kupata tender za wizara ya afya. No conflict of interest.🤣🤣🤣
@RashidAbdalla@citizentvkenya@DrOparanya Ningeomba wana habari muanze kuwa tia kidole cha utosi wanasiasa ambao hawana aibu. Leo ywapinga jambo kwa usomi na akili zake zote, kesho akionjeshwa ya ndani anapata ufahamu mkubwa na kupigia pondo jambo alilopinga jana. Shame on him!
@SamGituku As much as we feel betrayed by the new inclusions in cabinet, let's be hones. Parliament should be an oversight organ, no opposition/govt side. Were it mature, they would have vetted any Kenyan nominatees on merit and competencies alone.
Ni hatua ya mwanzo. Lakini Itakuwaje kuwa baraza livunjwe kwa sababu za utepetevu kisha sarangi (CS), ambaye hakulalamikia elegevu anabaki? #KiooChaHoja
@ericomondi_ @kioochahoja one can present a petition to a legislator then during the period of the debate the citizenry (gen z) can put immense, continious pressure on their legislators, on line and offline mobilization, climaxing with the day of voting, to compel an impeachment.
@citizentvkenya Hon Koech shouldn't put the horse before the cart. Do your oversight job well. And the citizenry will be empowered enough not to need your harambees! If you must bribe voters get in, you won't be serving. Don't get into the kitchen if you can't take the heat.
@MKapombe rais aliamua kuwa atafanya maamuzi magumu ili kuikomboa nchi kiuchumi. Maamuzi hayo yame tugandamiza. Sasa kama ni mjasiri, afanye maamuzi magumu ya kisiasa. Kama ni kubadilisha viongozi wazembe na wafisadi ama hata kama kusalimu amri na ajiuzulu ili nchi ikombolewe.
@SpiceFMKE we have 0 confidence in the current parliament. We can pressure them into constitute an iebc. Alternately we can have an externally constituted election body, (AU/UN) that will manage this snap election.
'We would rather die on our feet than live on our knees. We are not going to beg this government,' protesters call out to the government for imposing harsh taxes on Kenyans.
#Financebillprotests@Ashleymazuri