when you really think about how retarded, dysfunctional, and incompetent the average person is you realize it is a complete miracle we have civilization at all
I told my unemployed friend that the plan was to make $10M, use it to buy a home, and park the rest in dividend stocks. At 3% yield, you can safely earn a pretty decent income to not have to work again
He asked me what I would do with my time once that happens
Told him I would probably spend my days relaxing at home, reading a book I love, and spending free time with friends and family whenever I can
He responded that he already does this and never had to earn $10M to be able to do it
Completely changed my perspective on life
Nobody works harder than a lazy, ambitious guy. He wants to finish as fast as possible so he can get back to his natural state of doing absolutely nothing.
Leo IMF na Benki ya Dunia wametoa ripoti mbili muhimu sana. Nilichokiona ni kwamba, taasisi hizi mbili zimefika kwenye hitimisho moja. Dunia imebadilika, lakini Afrika bado haijabadilika kwa kasi inayotakiwa.
IMF inasema:
- Afrika sasa haishindani na Ulaya. Inashindana na Asia.
- Mapinduzi ya AI, semiconductors na data centres yanafanyika nje ya Afrika.
- Bara linakosa productivity revolution. Uchumi unakua, lakini uzalishaji wa kila mfanyakazi bado ni mdogo.
- Bei za chakula na mafuta zinaendelea kuliumiza bara kuliko maeneo mengi duniani.
- Misaada inapungua wakati mahitaji yanaongezeka.
Benki ya Dunia inasema:
- Hakuna nchi ya Afrika iliyopanda daraja la kipato mwaka huu.
- Afrika inazalisha utajiri, lakini Waafrika wengi hawaongezi kipato kwa kasi hiyo.
- Maliasili peke yake hazitoshi. Manufacturing, exports na taasisi imara ndizo zinazopandisha uchumi.
- Nchi nyingi zimekwama kwenye Lower Middle Income Trap.
- Changamoto kubwa ya Afrika siyo umasikini. Ni uzalishaji mdogo.
Kwa kifupi, taasisi hizi mbili zinasema jambo lilelile kwa lugha tofauti.
Karne iliyopita waliokuwa na maliasili walipata tija. Karne hii inawalipa wanaozalisha zaidi kwa kila mfanyakazi, wanaongeza thamani ya bidhaa zao, na wanaojenga taasisi imara.
Hapo ndipo mjadala wa kweli wa maendeleo ya Afrika unapaswa kuanzia.