🇨🇳 China built a 1.22M square metre train station on top of a mountain for $7.8B in just 38 months.
The roof alone weighed 16,500 tonnes.
They assembled it on flat ground, then hydraulically lifted the entire thing 57 metres into the air.
HAKIKA RC MTAKA UAMINIFU umetupiga chenga. TUTATESEKA sana . Tunaambizana uongo hata kwa yale yaliyo wazi kwa wengi kwamba yalitokea. Hivyo hasira zinapanda, vidonda vinatoneshwa upya badala ya kupona. Halafu tunadanganyana tutaliponya taifa?. HOW?? Kwa kutafuta kafara badala ya KUTUBU NA KUJIREKEBISHA?
'viongozi' wa tanzania hawana mazoea ya kuhojiwa cuz journalism nchini mwao doesn't actually exist. wamezoea kwenda kwenye 'media' kuzungumza upuuzi w/ no accountability. so, when they meet actual journalists, they get pretty bodied. i fucking love it:
Poleni sana Watanzania kwa hiyo ripoti ya kishetani mliyopewa na tume ya kishetani iliyoundwa na shetani mwenyewe
Wale mnaotaka Maridhiano, hivi ndio hawa mashetani waliotoa ripoti hii mnataka kufanya nao Maridhiano????
Ripoti inafanyiwa promotion na serikali na machawa wake mmewahi kuona wapi? Kama sio uhuni na ushetani na kukosa utu?
1. Do light exercise at home, Do it for your fitness.
2. Drink turmeric water, Do it for your inflammation.
3. Drink beetroot juice, Do it for your stamina.
4. Drink watermelon juice, Do it to boost your erection.
5. Eat boiled eggs, Do it for protein.
6. Drink ginger and lemon water, Do it for fat burning.
7. Drink warm water every morning, Do it for metabolism.
8. Walk for 30 minutes daily, Do it for your heart.
9. Eat garlic regularly, Do it to boost your overall health.
Repost for others to learn!
*TASNIA YA MAZAO YA BUSTANI NI SEKTA YA KIMKAKATI-DKT. MWIGULU*
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa tasnia ya mazao ya bustani siyo tu sehemu ya sekta ya kilimo, bali ni sekta ya kimkakati ya biashara ya kimataifa inayounganisha Tanzania na Masoko ya Dunia.
Amesema kuwa kwa kutambua umuhimu huo, Serikali ya Tanzania imeendelea kutoa ruzuku ya pembejeo iliyosaidia kuongeza tija na uzalishaji wa mazao ya bustani kutoka tani milioni 7. 5 kwa mwaka 2023/2024 hadi kufikia tani milioni 9. 7 kwa mwaka 2024/2025 sawa na ongezeko la asilimia 30.2.
Amesema hayo leo (Jumatano, Aprili 22, 2026) alipozindua maandalizi kuelekea Jukwaa la Hotikacha la Kimataifa la Biashara na Uwekezaji (Hortilogistica Africa 2026) lenye lengo la kukuza biashara ya mazao ya bustani, hafla hiyo imefanyika kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Jukwaa la Kilimo wa Dkt. John Samwel Malecela Nzuguni jijini Dodoma. Jukwaa hilo linatarajiwa kufanyika jijini Arusha, Novemba 08 hadi 10, Mwaka huu.
“Ni dhahiri kuwa wadau wote tukishirikiana katika kuendeleza tasnia hii, mchango wake utaendelea kuwa mkubwa sana kitaifa na katika uchumi wa dunia kwa ujumla”.-Amesema Dkt. Mwigulu
Ameongeza kuwa ili kuhakikisha Tanzania inaendelea inakuwa Kitovu cha Biashara ya Mazao ya bustani Afrika na lango la Masoko ya Kimataifa, Serikali imeendelea kupanua wigo wa masoko ya Kimataifa ambapo kwa sasa mauzo ya parachichi, mbogamboga, maua na viungo vinavyozalishwa nchini yameongezeka kwa kasi hususan katika Masoko ya Ulaya na Mashariki ya Kati.
Amesema kuwa hatua nyingine zilizochukuliwa na Serikali ni pamoja na kuimarisha viwanda vya kuongeza thamani, kuimarisha mifumo ya ubora na viwango na kuboresha miundombinu ya usafirishaji ambapo ndege ya mizigo inaendelea kutoa huduma katika maeneo mbalimbali
"Serikali imewekeza katika cold chain systems katika Viwanja vya Ndege vya KIA pamoja Mwanza ambapo huduma ya kuhifadhi bidhaa zinazoharibika haraka yakiwemo mazao ya bustani inaendelea kupatikana."
Katika hatua nyingine, Dkt. Mwigulu ametoa wito kwa wakulima nchini kuzingatia ubora na viwango vinavyokubalika kimataifa ili kuleta ushindani wa bidhaa za Kitanzania katika masoko ya kikanda na kimataifa, “Biashara ni ubora, bidhaa ikiwa na ubora haiwezi kukosa soko”-Alisisitiza Dkt. Mwigulu
Kadhalika, Mheshimiwa Waziri Mkuu amesema kuwa Tanzania ni sehemu salama, yenye fursa na inayokua kwa kasi kwa uwekezaji katika sekta ya kilimo. “Ninatoa rai kwa sekta binafsi kuendelea kusonga mbele, Serikali ipo bega kwa bega na ninyi”
Mheshimiwa Waziri Mkuu aliongoza harambee iliyolenga kukusanya shilingi bilioni 2 katika awamu ya kwanza. Hata hivyo, kiasi kilichopatikana kilivuka lengo hilo na kufikia shilingi bilioni 2.59. Kwa ujumla, ifikapo mwezi Novemba, jumla ya shilingi bilioni 6 inatarajiwa kukusanywa.
Kwa Upande wake, Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo amesema kuwa Jukwaa la Hoticulture na biashara na uwekezaji linalofanyika kwa mara ya kwanza barani Afrika na nchini Tanzania, limekuja wakati muafaka ambapo Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameazimia kuifanya Tanzania kuwa kinara wa uzalishaji na uuzaji wa mazao ya kilimo barani Afrika na duniani.
“Hapa nchini Tanzania, Jukwaa hili linalenga kuwakutanisha wazalishaji kutoka bara ya Afrika, wanunuzi na watoa huduma kutoka nchi mbalimbali duniani, tunajivunia kutumia nafasi hii kutekeleza kwa vitendo falsafa ya kuwa na usalama wa chakula sambamba na kufanya biashara ya chakula na wengine”
🚨 A man died alone in room 3327 of a New York hotel.
Within 48 hours, the FBI seized everything.
His name: Nikola Tesla.
He invented the future: Wireless energy. Free energy. Technology that can't be measured, taxed, or sold.
They buried him. They stole his inventions. They erased his name.
But they made a mistake.
They let just one man review the files:
Dr. John G. Trump – Professor at MIT, electrical engineer.
Donald Trump's uncle.
For 83 years, the Trump family guarded Tesla's most dangerous legacy:
Free energy • Wireless electricity • Healing frequencies • Quantum technology.
Now his nephew is President.
Do you still believe in coincidence?
Medical beds, QFS, 6000 suppressed patents – all Tesla.
The Tesla Protocol is activated.
April 30.
Code: ROOM-3327 / JOHN-G-TRUMP / TESLA-83 / 6K-PATENTS / QFS-TESLA
The old world is dying. The new one begins.
FOLLOW ME, THE NEXT DROP WILL BE SHOCKING.
Democratic Republic of Congo 🇨🇩 is developing its first deep-water port at Banana on the Atlantic coast, led by DP World in partnership with the government. Construction is progressing steadily.
Phase one includes a 600-metre quay with 18-metre depth and container storage facilities, designed to handle about 450,000 TEUs per year.
The port will give the country direct access to global shipping routes and reduce reliance on neighbouring ports.
@elonmusk Did you go against apartheid that time? That's not anti-white, it's compensation. Want the South Africa government to remove the anti-white laws, then repay the black
MIT Professor Andrew Lo argues that finance is harder than physics because financial markets are driven by human behavior rather than fixed physical laws.
BREAKING:
🇺🇸🇰🇷🇮🇷The US has moved Patriot and THAAD air defense systems from South Korea to the Middle East, Yonhap reports.
“South Korea's President was reportedly upset over the decision, and voiced his opposition to the "US withdrawal of some air defense weapons, but we [South Korea] cannot fully enforce our opinion."
BREAKING: Ali Larijani just posted about the Strait of Hormuz. He posted it in Russian.
At 12:28 GMT on 10 March, Iran’s Secretary of the Supreme National Security Council typed a message on his verified account not in Persian for his 85 million citizens, not in Arabic for the Gulf states absorbing Iranian missiles, not in English for the President who threatened “Death, Fire, and Fury” twenty-four hours earlier. He typed it in the language of the only country on Earth that profits from every hour the Strait remains shut.
Exact Russian: “Ормузский пролив — это либо пролив открытых возможностей для всех, либо тупиковый пролив для поджигателей войны.” Translation: “The Strait of Hormuz is either a strait of open opportunities for everyone, or a dead-end strait for the warmongers.”
He posted an English companion minutes later with softer phrasing: “a Strait of peace and prosperity for all, or a Strait of defeat and suffering for warmongers.” The English version is for headlines. The Russian version is for Moscow.
130,000 views within hours. The first substantive Russian reply: “Very precise and strong formulation! Russia and Iran stand for the same cause!” The audience responded in the language it was addressed in. The signal was received.
Here is why the language is the strategy.
Russia is the sole major economy that benefits from prolonged Hormuz closure. Urals crude trades at yearly highs, an estimated $10 to $15 per barrel above pre-war Brent. Power of Siberia delivers 38.8 billion cubic metres annually to China while Hormuz-dependent competitors cannot ship. Putin is evaluating a preemptive halt of remaining European energy supplies to redirect to Asia at inflated prices. Every day the Strait stays closed, Russia captures market share it could never win in peacetime. Every barrel that cannot transit Hormuz is a barrel Russia replaces at a premium.
Russia also holds the UN Security Council veto that blocks any international resolution to reopen the Strait by force. Moscow is simultaneously offering “mediation” (per Tass, 10 March) while profiting from the crisis the mediation would resolve. The mediator profits from the disease. The language Larijani chose acknowledges this.
“Open opportunities for everyone” means: align with us and the oil flows. “Dead-end for warmongers” means: oppose us and it stays shut. This is the Hormuz conditional offer repackaged for the one buyer who benefits from the closure itself. The IRGC made the same offer in Persian on 9 March: full passage for any country expelling US and Israeli ambassadors. That was for the Gulf. This is for Moscow. Same product. Different language. Different price.
Larijani is not the IRGC. He lost the succession fight, pushed his brother Sadeq for Supreme Leader, was overruled when the Assembly chose Mojtaba on 8 March, and pivoted to public unity enforcer within hours. He retains wartime authority because the late Khamenei granted him “extraordinary freedom to run the country” before the strikes. The man posting in Russian is a sidelined kingmaker running a war while the Supreme Leader he failed to prevent lies wounded and voiceless. His leverage now is not domestic. It is international. And the language he chose tells you exactly where he is looking.
Three languages govern the Strait of Hormuz tonight. Seven P&I clubs cancelled coverage in English. The IRGC threatened “not a single liter” in Persian. Larijani offered partnership in Russian. The only country that does not need the Strait open is the one being courted.
Full analysis in the link.
https://t.co/eMrt5qYYst
Speaking on his nation's television, Kuwaiti analyst Masaed Al-Mannan stated, The Arab countries are the ones protecting America, not the other way around.
This statement has received widespread support from Arab users across social media platforms.