combattons l'ennemi invisible de la nation qui est COVID-19 en respectant les mesures préventives, tout en demandant au @Presidence_RDC@fatshi13 d'intervenir sur la situation alimentaire aux familles sinistres et pauvres dans le territoire d'uvira.
Uongozi ni ujuzi uliozaliwa na mwanadamu na kwakujenga inchi au Uongozi bora katika inchi inaomba uwajibikaji Wa wanaichi na viongozi, kwaiyo inchi yetu Ya DRCONGO inaitaji viongozi wenye maono kwa kubadilisha mfumu Wa Uongozi bora @drmialano1@Presidence_RDC
Kinacho itajika katika inchi yetu ni Uongozi ambao utaweka wanaichi kwa pamoja na ni kiongozi @drmialano1 aliye kiongozi bora kwa maendeleo Ya inchi. Yetu.
mweshimiwa @drmialano1 anaonya inchi na vikundi vinavyo tumiwa kwakutaka kufanya balkanisation katika inchi yetu ya DRCongo, wahanze kwanza ndani ya familiya zao na inchi zao, na anayetaka kufanya balkanisation amalize kwanaza wanaichi njo achukuwe lakini kama tuko hai hakuna.
mweshimiwa @drmialano1 anaonya inchi na vikundi vinavyo tumiwa kwakutaka kufanya balkanisation katika inchi yetu ya DRCongo, wahanze kwanza ndani ya familiya zao na inchi zao, na anayetaka kufanya balkanisation amalize kwanaza wanaichi njo achukuwe lakini kama tuko hai hakuna.
mweshimiwa @drmialano1 anaiomba serekali ya @fatshi13@Presidence_RDC kutafuta suluhisho ya ugonjwa wa tetekuwanga (chickenpox) (rougeole) ambao unatesa watoto huko kivu kaskazini Goma, Beni na nafasi nyingine inchini DRCongo, ni wajibu wa serekali kulinda raia wake.
mweshimiwa @drmialano1 amelaani vikali tukiyo la kuhumiza police kwenye chuo kikuu cha UNKIN hapo kinshasa, na amehimiza wanafunzi wa chuo kikuu kuwa makini sana na kuheshimu kitengo cha ulinzi inchini, police nao ni wanadamu wanahaki ya kufanya kazi yao.
mweshiwa asema yeyote anayetaka kufanya balkanisation ya inchi, ahanze kwanza kwake nyumbani kisha aje avamiye inchi, wakati huu si wakutaja balakanisation katika DRC, ni wakati wa kujenga inchi yetu.
mweshimiwa @drmialano1 alitamani inchi isiwe na vita tena huu ulikuwa wakati wa kujenga inchi yetu ya DRCongo, lakini ikibidi kuvamiwa na majerani kwakutaka wafanye balkanisation ya inchi, mweshimiwa asema kwamba atasimama kupambana na hali hiyo kwa baridi na kwa moto.
mweshimiwa analahumu jeshi letu la @FARDC_ kuonyesha uzaifu kwakutangaza ugawanyiko wa inchi bila wao kuchukuwa hatuwa ya zarura kupinga mpango huo kwakutumiya nguvu, na kama kati yao wanajeshi kuna wale ambao wanajihunga na makundi hayo, mweshimiwa anasema washugulikiwe mapema
mweshimiwa @drmialano1 anawaonya wale wote waliyo na mpango wa kugawa inchi DRCongo(balkanisation),wanataka kuwasha moto ambao hawataweza kuhuzima, Dr amewambiya ya kwamba mbele yao kuwasha moto huwo wajipange, vizuri lakini wataona wenyewe. @AssembleeN @FARDC_@Presidence_RDC
mweshimiwa @drmialano1 anawaonya wale wote waliyo na mpango wa kugawa inchi DRCongo(balkanisation),wanataka kuwasha moto ambao hawataweza kuhuzima, Dr amewambiya ya kwamba mbele yao kuwasha moto huwo wajipange, vizuri lakini wataona wenyewe. @AssembleeN @FARDC_@Presidence_RDC
mweshimiwa @drmialano1 amelaani vikali tendo la mauwaji na kuhumizana lilofanyika kwenye chuo kikuu cha UNIKIN HAPO DRCongo kinshasa, Dr anawaonya wale wote ambao wana hamu ya kuvuruga amani na kuhatarisha maisha ya wanaichi wachukuliwe hatuwa za sheriya.
kwa ukosaaji wake @drmialano1 asema serekali zilizo pita zote zilikuwa na hotuba za Uongo kama hizi ambazo Rais @fatshi13@Presidence_RDC alizozisoma kwasasa lakini mwanaichi wa kawaida anahishi maisha mabaya, mwanaichi anatamani Amani, stabilite ya Economie, en plus maendeleo.
@drmialano1 akosowa hotuba ya Rais @fatshi13@Presidence_RDC mweshimiwa Dr alifikiri jinsi mwanaichi mzalendo amechukuwa hatamu ya Uongozi wa inchi maisha ya mwanaichi yatabadilika lakini si hivyo alivyo zani, maisha ya mwanaichi yanazidi kuharibika siku kwa siku.
@drmialano1 appelle @Presidence_RDC et le régime @fatshi13 à lutter contre la discrimination à l'égard des femmes et à lutter contre la corruption qui ressemble à une épidémie mosaïque dans le pays @VitalKamerhe1 @AssembleeN
Rushwa inadhoofisha hadhi ya mtu na inavunja maadili mazuri. Jamii nzima imeitwa kushiriki kikamilifu katika mapambano dhidi ya saratani ya rushwa ambayo, kwa udanganyifu wa faida ya haraka na rahisi, kwa kweli humnyonya kila mtu
La corruption sape la dignité de la personne et brise tous les beaux idéaux. La société entière est appelée à s'engager concrètement dans la lutte contre le cancer de la corruption qui, avec l'illusion de profits rapides et faciles,appauvrit en réalité tout le monde.
Corruption undermines the dignity of the person and breaks all the beautiful ideals.The whole society is called to concretely engage in the fight against the cancer of corruption which, with the illusion of quick and easy profits, actually impoverishes everyone. @Presidence_RDC