Kuna hii website nimekutana nayo mtandaoni inaitwa Grow Google.
Ina kozi za bure zitakazokusaidia kuboresha taaluma na ujuzi wako.
Kuna kozi za biashara, machine learning, customer service, web development na nyingine kibao.
https://t.co/GiwXM7yLDy
Mwenyezi Mungu naomba baraka zako zitajirishe riziki zangu bila huzuni wala majuto.
Nipe amani katika kazi yangu na katika jitihada zangu.
Nipe hekima,bidii na uaminifu.
Fungua milango ya fursa,leta watu sahihi katika safari yangu, na uniongoze katika maamuzi yangu.
Ameen 🙏🏼
Nawapa blueticks kwa IG na IP
Kwenye VIP mi siingii na ID
Acha usanii nina degree ya IT
Alafu sina team no side A no side B
Wakiachwa wanaenda kwenye redio
Wakifilisika hakuna stori ooh
Dar kugumu hujamsikiliza Marioo
Bisha uje kushikwa hayo makalioo.
People ask how Mikel Arteta survived during the darkness at Arsenal.
They ask why he wasn't sacked like all these other coaches. They do not understand, they want to know how.
Well, listen to him speak and ask yourself if you would ever sack this person from your organization.
Kwa wale mnaopenda kusali Zaburi:
Anza na Zaburi 23 kuondoa hofu na kupata amani, endelea na Zaburi 34 kuomba ulinzi na neema, kisha Zaburi 91 kufungwa na Malaika, malizia na Zaburi 37 kupokea baraka zisizoisha na upendo wa Roho Mtakatifu 🙏