انا كل يوم بيزيد حبي وتقديري للسنغال👏👏
مدرب السنغال بابي ثياو تريند دلوقتي في امر ىكا بسبب تصريحاته في المؤتمر الصحفي
الصحفي : كانت هناك رياح شديده في ولايه نيوجيرسي اليوم والامن طلب من اعضاء البعثه عدم الخروج حفاظا علي سلامتكم لماذا خرجتم للصلاه؟
بابي ثياو : وهل يوجد شيئ اهم من الصلاه؟؟ اعتقد ان هذا سؤال ليس من شأنك انت خائف من رياح ونحن نخاف من الله الذي صنع الرياح نحن هنا من اجل لعبه ترفيهيه ونسينا اننا مخلوقين من اجل عباده الله
لو كان نهائي كاس العالم اليوم ونحن طرف في النهائي لخرجنا لأداء صلاه الجمعه حتي لو كلفنا خساره البطوله لاتتحدث معنا عن شعائر تخص ديننا.
افسم بالله الواحد فخور بالسنغال وخير ممثل للقاره الافريقيه تصريحات بابي ثياو عملت جدل كبير النهارده انا مشوفتش قوه وايمان كده في حياتي الصحفي حرفيا سكت ومعرفش يتكلم بعد الكلمتين دول....انا من النهارده سنغالي👏👏👏♥️♥️♥️
BAJETI 2026/2027. Hapa jambo kubwa ni je mikopo yetu ni HIMILIVU? Hapana imezidi. Kwani kwa takwimu hizi
Mapato ya serikali ni Shs T36.99 kodi+T9.24 mengineyo =T36.23.
Madeni ni T7.84 yaliyoiva+T6.86 riba=T14.70.
Madeni kama asilimia ya mapato halisi ya serikali : T14.70/T36.23 = 40.57%.
Deni himilivu halitakiwi kuwa zaidi ya asilimia 18% ya mapato ya serikali. Kwa hiyo tumevuka mpaka (kima cha juu) hata kama WAKOPESHAJI watatwambia vinginevyo. Bila misaada zaidi TWAFA🏃🏻♂️🏃🏻♂️🏃🏻♂️Kodi zikizidi uwezo wa wananchi kulipa zinakwepwa au kufirisi walipaji. Inakuwa vicious circle.
"Hakuna Mwanasiasa Katika Nchi Hii Anayeaminika Kama Tundu A Lissu; Across CCM na Vyama Vyote Nchini. Kama Kuna Mtu Anataka Kushindana Nae Uchaguzi Wetu Ni 2029 Ajiandae Tutaweka Uchaguzi Wa Uwazi" - @HecheJohn
@MwanzoTvPlus@lifeofmshaba@ChademaTZ2 Huu ni ushuhuda wa wazi kuna kikundi cha watu hakiheshimu tena mahakama na hii ni kwakua @judiciarytz mmeruhusu watu kama Said na genge lake kuinajisi mahakama
Mlitaka mahakama iende Ukonga? 🙄 Abdul bana! Unafikiri mahakama ni kama kiosk cha nyumbani?
Eniwei ngoja tuone mnaamuaje!
Ila sisi tunasema #FreeTunduLissu
Kwanini kesi ya Mwenyekiti wetu isogezwe mbele kwa mda mrefu kiasi hiki mara tu baada ya chama kueleza mpango mbovu wa polisi hapo kesho.
Chama kimeeleza nia ovu ya polisi dhidi ya chama chetu alafu kesi inasogezwa mbele!!!
Mahakama ya Tanzania inaondoa imani ya wananchi na kuchochea chuki kwa matendo kama haya.
Kesho walipanga kujaza Mapolisi waje kufanya fujo na kupiga watu Mahakamani kwenye kesi ya Mhe. Lissu ila walipoona Katibu Mkuu Mhe. @jjmnyika kasema kuhusu mipango yao michafu dhidi yetu kwa aibu kubwa wameona waweke mpira kwapani na kusogeza kesi mbele.
Ni wazi kuna Collabo kali katika ya Mahakama, Jeshi la Polisi na Serikali haram ndo maana leo wamepiga simu moja tu na Mahakama ikakubali kusogeza kesi mbele.
Yani Tanzania hatuna Mahakama, hatuna Bunge wala Serikali ila kuna genge la vibaka ambao wanaendesha nchi yetu wanavotaka kinachoniuma ni kwamba hawa wauaji hatukuwachagua bali walijiweka madarakani baada ya kuuwa kwa risasi Watanganyika wenzetu zaidi ya elfu kumi.
🚨 SHAME ON TANZANIA’S JUDICIARY!
The Court of Appeal was supposed to hear Tundu Lissu’s case tomorrow, June 11. Now they’ve shamelessly pushed it to July 3, another deliberate delay in this political persecution!
Even under our own laws (Appellate Jurisdiction Act), this endless adjournment of interlocutory matters is ABUSE of process. Not justice, but a weapon to keep a leader behind bars.
This is not a court , it’s a regime tool! #FreeTunduLissu @judiciarytz #TanzaniaJudiciaryCorrupt
Bro to bro,
-Stop eating anyhow, eat right
-Drink ginger shots instead of soda.
-Blend watermelon with seeds + Banana + Date + Coconut water and make it your favorite smoothie.
-Eat garlic every night before going to bed.
-Eat onion regularly and add some to your daily meals.
-Take fruits that contains fiber (Avocado , apple, pomegranate and banana).
add avocado, oranges and eggs to your daily food.
drink water (be hydrated), and do regular exercise.
-Stop watching porn.
If you're in; Repost for others!
#TANZANIA:CHADEMA YAOMBA MAHAKAMA, RUFAA KESI YA LISSU ISIKILIZWE MAHAKAMA KUU
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (@ChademaTZ2 ) kimeiomba Mahakama kuhamishia usikilizwaji wa rufaa ya kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wake, Tundu Lissu, kutoka Mahakama ya Rufani na kupelekwa katika ukumbi mkubwa wa Mahakama Kuu ya Tanzania uliopo Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano, Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, alisema ombi hilo limelenga kutoa fursa kwa wananchi wengi zaidi kufuatilia mwenendo wa kesi hiyo inayotarajiwa kusikilizwa Alhamisi, Juni 11, 2026.
Mnyika alisema chama hicho kimepokea taarifa kutoka kwa Lissu akiwa mahabusu kuwa amepewa barua inayomtaka kuwasilisha orodha ya watu 40 pekee watakaoruhusiwa kuingia katika chumba cha Mahakama ya Rufani kusikiliza rufaa yake.
Kwa mujibu wa Mnyika, Lissu amekataa kuandaa orodha hiyo kwa kuwa anaamini wananchi wanaotaka kufuatilia kesi hiyo wanapaswa kupewa nafasi ya kufanya hivyo bila vikwazo visivyo vya lazima.
"Hatutaki kuona wananchi wakizuiwa kufuatilia kesi ya kiongozi wao. Tunaamini Mahakama inaweza kutafuta suluhisho la kutoa nafasi kwa watu wengi zaidi kuhudhuria," alisema Mnyika.
Chadema imeiomba Mahakama kuzingatia matumizi ya Chumba Na. 1 cha Mahakama Kuu, akieleza kuwa kina uwezo mkubwa zaidi wa kupokea watu wengi ikilinganishwa na mazingira ya sasa ya Mahakama ya Rufani.
Kuhusu mamlaka iliyotoa barua inayodaiwa kuwasilishwa kwa Lissu, Mnyika alisema taarifa walizonazo zinaonyesha kuwa ilitoka katika utawala wa Mahakama.
NCHI YA KAULI MBIU, MIKAKATI NA MIUNDO MBINU
Nawala hatushtuki wala kujiuliza tuko kama Kuku aliye katwa Kichwa.Tumezoea Ujinga na Ujinga Umetuzoea na kuota Mizizi katika Fikra zetu.
Tatizo la nchi hii siyo Misaada au Utitiri wa mikataba ya mahusiano ya kiuchumi ,kijamii na kisiasa. Tatizo ni UWAJIBIKAJI.
Kama Mungu ametupa kila kitu Ardhi yenye rutuba,Maziwabya Maji Baridi,Mito ya Kutosha iliyotapakaa nchi nzima,Madini,Misitu ya Asili,Mbuga za Wanyama na Idadi ya kutosha ya watu lakini tunanuka umasikini,ujinga na Maradhi unadhani tutakombolewa na mikataba hii ya kijanja janja?!
UKWELI,HAKI NA UWAJIBIKAJI ndiyo njia Pekee za kuliponya Taifa na kulirejesha katika uelekeo wa Njia ya Nchi ya Ahadi.
BAK MWABUKUSI.
‼️MPANGO WA JESHI LA POLISI DHIDI YA CHADEMA‼️
Kama mtakumbuka siku kadhaa zilizopita ilisambaa taarifa kuhusu Jeshi la Polisi kuvamia nyumbani kwa Yoramu Mbyela (Huyu kwenye picha) ambae ni mfanyabiashara anaeuza vifaa vya CHADEMA ikiwemo matisheti, bendera, madera, kombati, n.k
Polisi wakiwa na gari aina ya FUSO walivamia nyumbani kwake, wakamlazimisha mke wa Mbyela afungue duka, kisha wakabeba na kuondoka na mzigo wote wa vifaa vya CHADEMA ambao waliukuta dukani kwake.
Mke wa Mbyela pamoja na Wakili wao wamefuatilia huo mzigo wao, Polisi wakarudisha baadhi ya vitu lakin mzigo mkubwa wakakataa kurudisha mpaka leo bado wamebaki nao.
Sasa nimejulishwa kwamba Jeshi la Polisi wamebaki na huo mzigo kwasababu wanampango wa kuutumia kufanikisha mpango wao dhidi ya CHADEMA hii ni kutokana na hofu waliyonayo kuhusu Maandamano ya 7/7 yani Julai 7, 2026.
Wamepanga kuwavalisha nguo za CHADEMA watu wao ambao ni Green guard, UVCCM na baadhi ya migambo kisha watawapeleka huko porini ambapo badae Polisi watajifanya kwamba wamevamia eneo hilo baada ya kupata taarifa kutoka kwa Wananchi kwamba waliona kuna kundi la watu ambao hawajui ni akina nan.
Baada ya Polisi kuvamia eneo hilo watautangazia umma kwamba Vijana wa CHADEMA wamekamatwa huko porini wakiwa wanapewa mafunzo ya kijeshi kwa ajili ya Maandamano ya Julai 7 ili Msajili apate sababu ya kuingilia kati aseme kwamba CHADEMA imevuja sheria ya vyama vya Siasa maana Sheria ya Vyama vya Siasa ilipiga marufuku vikundi vya ulinzi na mafunzo ya kijeshi mwisho wa siku CHAMA kinaweza kufutwa.
Lakin pia Jeshi la Polisi litakuwa linawavalisha UVCCM hizo nguo za CHADEMA kisha wanawatuma kwenye mikutano ya hadhara ya CHADEMA kufanya fujo ili ionekane CHADEMA wanagombana wao kwa wao.
Sasa ni muhimu sana Wanachama wenzangu mnapoenda kwenda Mikutano, hakikisha unamtambua mtu ambae umekaaa nae jirani ukiona kuna mtu/watu huwaelewi toa taarifa kwa Viongozi wa CHAMA, hawa wahuni wakivamia mikutano yetu inatakiwa muwape HAKI YAO YA KIKATIBA.
Ingekuwa ni kutoa tuzo
1. Best politician- Lissu
2. People’s president- Lissu
3. Best lawyer-Lissu
4. Best Orator- Lissu
4. Best public speaker- Lissu
Simply best