Be aware that you can access networks even when offline. Download tools like Oon,VPN and others. Zaina Foundation is a solution for internet access. Join Zaina Foundation in solving internet and digital rights issues.
Kushuka kwa mtandao na ukosefu wa mtandao ni janga zaidi ya ugonjwa namna gani ya kuepukana na hili Jana
Ungana na ZAINA FOUNDATION ili kupata mbinu zaidi ya kuifikia Leo yako ya maisha yako.
Maisha yanaanza na wewew na mimi katika kutatua kushuka kwa mtandao.
Internet ndio msingi mkuu wa mawasiliano,si biashara ni lazima uwe na mtandao,si maofisini lazima uwe na mtandao hata familia tunahitaji internet hivyo maisha yetu yanatuhitaji sana kuwa na mtandao tupate elimu juu ya mtandao na ZAINA FOUNDATION.
Mambo yamekuwa mambo!inashangaza sana Taifa letu lenye uhuru na amani Leo au kesho kuendelea kukosa mdandao
Unakosaje mtandao?OON ni suluhisho nda ya zaina Foundation
Safari ni ndefu sana katika kuukosa mtandao na kila kukicha tunahitaji uwepo wa mtandao.Lakini pia Zaina Foundation ni suluhisho na kuleta ladha ya moyo katika upatikanaji wa mtandao yaani NETWORK SHUTDOWN