@officialshakuu Umri bado Mdogo Ameshasema amepewa 11M za kuanzia Maisha aachane na huyO jamaa asije Kumuua kwa Pressure hapo mbeleni akaanze maisha yake
Biashara za mitandaoni najiona kabisa nimestaafu...
Kuna mwanangu nilisoma nae Olevel,.. akawa anapost vifaa vya electronics na jina la biashara ni lake , nikajua ni biashara yao ya familia, kumbe ni winga, hilo sio tatizo, nikamuagiza aniletee Hisense tv, kweli wakafanya delivery ikafika nikalipia fresh, kufika, nimetumia siku moja tu, kesho yake HDMI hazisomi,.. inaniandikia no signal for HDMI,. nikamwambia, wakaja kuichukua tv na warrant,.. kwenda huko mafundi wa hisense wakasema Tv ina matatizo makubwa,.. nikamwambia mchizi, fanyeni mnibadilishie Tv kwa sababu sipo comfortable nayo, wakakataa Tv ikakaa huko week na zaidi, mbaya zaidi huyo mchizi wangu niliyemuamini, yupo busy na mambo mengine hafatilii jambo langu, amemuachia mtu mwingine, wakati kwenye ile biashara nimefanya sababu namuamn yeye!!,.. wanakuja kurudisha tv ile ile na remote wamebadilisha wameleta mbovu,.. yani kiukwel nilijutia kumuamn mwana, na ushkaji wenyewe sikuuona kama una maana tena,.. wanetu, tukiwaamn sio kwamba hatuwezi kwenda kariakoo ila tunaamn kwenye kugawana ridhki , acheni tamaa, fanyeni kazi hiyo inalipa,.. msitufanye tuwalaani,.. ๐ค๐.