Kama walidhani tutajitoa kwenye huu uchaguzi wamejidanganya, hatutajitoa kwenye uchaguzi ila tutadai wagombea wetu walioondolewa kwenye uchaguzi warudishwe bila masharti yoyote kwasababu wameondolewa kihuni, tutafanya maandamano ya amani nchi nzimaMhe. @TunduALissu.
Makamanda tukutane jumapili 16.08.2020 saa 8:00 Asubuhi ukumbi wa #VijanaCenter uliopo Mlango mmoja. Tukazindue sera ya Vijana ya taifa. Mgeni Rasmi atakuwa SG wa chama Mhe. John Mnyika. Kumbuka tutavaa rangi nyekundu kwa ajili ya upendo kwa nchi yetu na wapigania haki.
Mkutano mkuu wa Bavicha Wilaya ya Ukerewe,ukiongozwa Na Naibu Katibu Mkuu Bavicha Taifa Mh Yohana Kahunya,pia Viongozi Wa Bavicha Mkoa wa Mwanza, Nkobe Nkobe,Mkt Bavicha Mkoa na Mh Esther Fulano Katibu Bavicha Mkoa Mwanza
Naibu Katibu Mkuu bara BAVICHA Taifa Mh Yohana Kahunya Akisaini kitabu cha Wageni katika ofisi ya chadema Wilaya ya Ukerewe wakiongozana na Mkt wa Bavicha mkoa wa Mwanza Mh Boniphace Nkobe pia Katibu wa Bavicha mkoa wa Mwanza Mh Ester M Fulano
"Sisi kama vijana tunawajibu wa kurudisha nchi hii katika misingi yake, tumeandika Sera ya vijana, wanawake na Sera ya chama, @ChademaTz ni chama pekee iliyoandika sera. Chama hiki kimebeba matumaini ya watanzania. Tumejiandaa kutangazwa iwake jua, inyeeshe mvua.
Na. Baba Askofu BAGONZA
To be frank, inafikirisha pale mmoja wa wagombea anapowahakikishia wagombea wenzake kuwa uchaguzi utakuwa huru na wa haki.
Inatia moyo pia Mwenyekiti wa chama kimojawapo kishiriki cha uchaguzi mkuu, anapovionya vyama vingine kuwa hatavumilia matusi
Baraza la Vijana Chadema mkoa wa Mwanza linawatakiwa pasaka njema watanzania wote zaidi tuendelee kujikinga na maambukizo ya COVID - 19 huku tukifuta maelekezo yatolewayo na wizara ya afya
Mkt wa Bavicha Mkoa wa Mwanza Mh BONIPHACE NKOBE akiwa ktk Mazishi ya Mmoja wa Waasisi ndani ya Chama Bi SUZANE DAUD aliyefariki siku ya Jumatano leo Ijumaa tunampumzisha ktk Nyumba yake ya Milele