Leo 29 Mei 2026, ni siku 212 zimepita tangu damu ya watanzania wasio na hatia imwagike kwa risasi za moto 29 Oktoba 2025. Serikali ya CCM inaweza kudhani labda muda umefuta machozi yetu, na ndio maana wanacheka na kupongezana badala ya kuwajibishana. Lakini wamefeli. Jeraha hili liko hai, na mioyo ya wananchi haitasahau kamwe. Hatupigani kwa nguvu zetu wenyewe; tunasimama na haki thabiti ya Mungu ambayo haijawahi kushindwa. Jasho na damu ya raia wenzetu inaililia dunia, na amini nawaambia, dhoruba ya haki inakuja. Kila mkono uliomwaga damu utawajibika. Dunia imesimama nasi, na sauti ya wanyonge haitanyamazishwa tena! #MO29
Abdul ametamka zaidi ya mara 3 kwamba ananitafuta niuwawe. Nilimrudishia ujumbe kuwa haina shida. Na nili tweet 2024 kuwa ninajua yeye na Waziri walichozungumza mbele ya watu ambao kwa kiasi walijali kuhusu uhai wangu wakanisanua.
He’s a piece of 🚮
Ebenezer; Kutoka 14:14🙏🏽
huyu mpumbavu anatumia rangi kukwepa ukosoaji halali wa jaribio lake la kupindisha ukweli kuhusu mauaji ya raia yaliyofanywa na vyombo vya ulinzi na usalama vya tanzania, kama vile wanaompinga ni wazungu tu. sisi tupo hapa, @DavidHundeyin, ni waafrika, na tunakwambia: “fuck you”:
Kesho tar 29 ni siku ya maombolezo kuwakumbuka watu wote waliouwawa na waathirika wa tar 29 Oktoba na siku zilizofuata—wengi wao wakipigania uadilifu wa bendera yetu 🇹🇿! Tutakuwepo!
Oohh unajua mimi nina marafiki wakubwa serikalini japo siwezi kuwataja hapa, hata mama alikuwa anatania siku moja wanauliza huyu katuni yuko upande gani huyu, oohh huwa wananisifia sina matusi, na quote vizuri, hata nikikosea nakosea vizuri tuu 😂😂😂
Wewe tipwatipwa beba tairi ukimbie upunguze uzito wa kiwango cha upumbavu kwenye hilo jumba unalotembelea nalo! Do justice to yourself once in a while.
Sinema yenu mtaangalia na Samia mfarijiane—but won’t shield her against criminal accountability!
Ile Tweet Ya Madenge Imetumiwa Na Waziri Mkuu, Rais, Jaji Chande Na Kila Mtu Anayetaka Kuhalalisha Mauaji Ya Oct 29
Lakini Madenge Mwenyewe Hajawai Kuhojiwa Popote Na Yuko Nchini
Hapa Kuna Mawili
1. Serikali Ilimtuma Ndio Maana Hawajamhoji
2. Serikali Inamuogopa
Jibu Unalo
Dear United States Senate,
Tanzania's Minister of Foreign Affairs, Mahmoud Kombo, recently spoke in the Tanzanian Parliament in Dodoma, claiming that your proposed bill to impose sanctions on Tanzania is politically motivated. Additionally, Bulayo, another member of Parliament, expressed concerns that the bill does not provide them an opportunity to defend themselves, arguing that you have never visited Tanzania to discuss these issues directly with them.
This assertion is problematic. The Tanzanian regime is the one refusing to allow a fact-finding mission from the EU Parliament's Human Rights Committee, as well as refusing to invite the SADC or UN Missions. They are also uncooperative with the AU Mission, which is an international, independent commission. Now, the regime pretends to extend an open hand to the US Senate. Your proposal suggests that a UN Mission visit Tanzania to address this issue.
Moreover, Tundu Lissu remains in prison under politically motivated charges. Do you need to visit Tanzania to know that Tundu Lissu is imprisoned? You have proposed that he and other political prisoners be released, and you do not need to be in Tanzania to confirm this situation. Kidnappings are occurring, and Tanzanians need constitutional reforms, yet the regime shows no effort to facilitate this process. Your stance reflects the perspective of many Tanzanians but runs counter to a regime that does not represent the people. In fact, Kombo has stated that they will not release Lissu, underscoring the urgency of voting on your sanctions as soon as possible to take action against the regime.
Kombo further claimed that the Tanzanian government would cover your travel and accommodation expenses if you were to visit and better understand the context of police shootings that have resulted in the deaths of thousands of citizens who were allegedly accused of throwing stones at police officers. He also wants to discuss the fatal shootings that occurred on October 29, 2025.
This raises an important question: Is it appropriate for US officials to accept travel expenses from foreign governments while performing their official duties? For instance, can a senator accept funding from the Tanzanian government while investigating events surrounding election day?
In simpler terms, the Tanzanian government is suggesting that it will attempt to influence you to support its position, assuming that you might be motivated by political deals. This government has a history of trying to bribe individuals for praise and support, thereby positioning you alongside others viewed as corrupt and lacking integrity.
The regime must be held accountable for its actions, including revealing who ordered the police to shoot and kill innocent citizens. They need to explain what happened to the thousands of bodies that were left in the streets and where these bodies have been taken. We deserve to see the final respects and burial services for our brothers and sisters. There are reports that bodies from various mortuaries across the country have been taken to a mass grave, while others have been buried in undisclosed locations.
Cc.
@tedcruz@SenatorShaheen@SecRubio@SenateForeign@SenTedCruz@SFRCdems@statedeptspox_a@StateDept@AsstSecStateAF@usembassytz@UNHumanRights@UN_Women@Europarl_EN@USTreasury@FoxNews@cnni@BBCAfrica
I discredited the content kama hatua ya kwanza kwakuwa nilikuwa na hakika kwamba Madenge hawezi kuandika maduhui yale ktk kipindi kigumu tulichokuwa nacho.
Nilimpigia right away nikamuuliza:
Unajua ulichoandika?
Unajua madhara yake?
Who sent you to tweet?
Kesi ya uongo ya mgogoro fake wa mali, ni kesi ya Msajili wa vyama..
Marehemu mama Komu alituelezea namna ambavyo Sisty Nyahoza, Msajili msaidizi akiwa na mtu anaitwa Salehe Bohora, walivyomfuata nyumbani kwake na kuomba aweke jina kwenye kesi..
Marehemu Mama Komu alituambia hata malipo ya mawakili yalilipwa na Salehe Bohora na bwana Sisty, kwa mujibu wa mama Komu huyu bwana Salehe alitumwa na Rais.
Mtakumbuka pia kuna mtu alijiita Mwenyekiti wa Chadema Mwanga.. huyu nae alikua analipiwa mpaka mahali pakukaa na ofisi ya msajili, kupitia ofisi hiyo hiyo ya msajili walidai kutotambua uongozi halali wa Chama, katibu mkuu, manaibu katibu wakuu na wajumbe wa kamati kuu ya Chama.
Hii kesi ilifunguliwa siku hiyo hiyo ambayo Mwenyekiti wetu alikamatwa na kupewa kesi ya uhaini.
Kesi hii ilipangwa kwa Jaji mwingine awali lakini katika mazingira tata ikapelekwa kwa jaji Mwanga.
Jaji Mwanga tangu awali alionekna wazi kutofuata sheria, kuendesha Kesi kibabe na kudharau kila hoja iliyotaka upande wetu… alikua na maelekezo ya wazi na alionesha upendeleo uliovuka mipaka..
Kupitia kesi hii shughuli za Chama zilizuiliwa kinyume cha sheria kwa siku 309, Mpaka mahakama ya rufani ilipofuta zuio fake..
Kupitia Hilo zuio watu wetu walipigwa mara nyingi na polisi kila walipojaribu kufanya shughuli za chama.
Tutakumbuka siku ya wanawake duniani namna wanawake wa Bawacha walivyopigwa mpaka kanisani kwasababu ya zuio hili haramu..
Mali za Chama zimeharibika, Mimi pamoja na Katibu mkuu tulifunguliwa kesi ya contempt of the court. Kutokana na Amri hizi hizi.
Jaji Mwanga alipuuza hukumu ya mahakama ya rufani ambayo ilikua inamlazimisha kutokifungia Chama chetu..
Nani atalipia maumivu, usumbufu, matatizo ya makusudi, nani atalipia hasara zisizolipika za kuzuia chama mda wote huu kufanya kazi zake..
Tunafurahia leo, lakini Fikiria damage zote hizi hazikutakiwa kuwepo, zilifanywa kwa makusudi kwa manufaa ya Samia na Ccm.
Bado msajili anatufuata fuata na kutuandikia barua baaada ha maumivu yote haya aliyotusababishia..
Kama ilivyo kesi ya uongo ya kumtesa Mwenyekiti wetu ndivyo zilivyo zote hizi ni kwa manufaa ya Samia wala sio Nchi..
Tuacheni tufanye wajibu wetu wa kisiasa. Hatutapiga magoti wala kununuliwa.
Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam leo, Alhamisi Mei 28, 2026 imeifuta rasmi na kuiondoa mahakamani hati ya kesi ya madai iliyofunguliwa na kiumbe aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Said Issa Mohammed na wenzake dhidi ya bodi ya wadhamini na Katibu Mkuu wa CHADEMA, iliyokuwa inahusu usawa katika mgawanyo wa mali za chama kati ya Tanganyika na Zanzibar.
NB; Kesi hii ndiyo MaCCM waliotumia kuzuia shughuli za CHADEMA kwa siku 310.
Shutting down internet and forcing curfew on citizens all in a bid to cover up her crimes.
I am disturbed by scenes on Tz Twitter. I don’t think I was ready for this. 💔💔💔
. @tedcruz@SenatorShaheen@SenateForeign
While you are sanctioning the killers of Tanzania, please follow the money trail to Dubai.
Mos of the money Samia Suluhu, her son Abdul and their associates have stolen in Tanzania goes to the UAE through this bank ,CRDB.
Please INVESTIGATE CRDB bank and you will find all the BLOOD MONEY!!!!!! THIS BANK ITSELF NEEDS TO BE SANCTIONED. Please FREEZE ALL THEIR ASSETS AND THOSE OF THEIR RICH BUSINESS ASSOCIATES.
Samia Suluhu’ son, Abdul was gifted a UAE citizenship. Please follow the money through CRDB bank!!!!
I want to emphasize this. ALL ROADS LEAD TO DUBAI.
HUKU DUNIANI , KAMA INTO THE HELL, PEOPLE ARE SATANIC INSIDE THEMSELVES AND YOU CAN'T EXPECT SUCH KILLINGS
*Sura sio Roho"
Unaweza Muona mwanamke mzuri , sura ya upole, anatembea kama hana makuu, Subiri aanze kuzungumza au UJUE TABIA ndo utajua WATU SIO NYAU , WATU NI MANYAUBA.