🏴 In 2005, David Beckham took a photo with two young footballers at the opening of The Beckham Academy.
The two kids later got married, and the boy went on the become captain of England, Harry Kane.
Nchi 11 za Afrika zilikubali kuzungumza na Serikali ya kibaguzi ya Afrika Kusini. 1971 Tanzania ikatoa tamko kali “Why We Will Not Negotiate”. Tanzania ikagoma sababu Makaburu wanatesa Waafrika. Kisha Tanzania ikaishawishi OAU iitenge Afrika Kusini. Tanzania tuliisimamia HAKI.
MWENYEKITI MPYA WA KAMATI YA OLIMPIKI TANZANIA (TOC)
SOMO KUTOKA IOC: UHALALI WA UCHAGUZI HAUPASWI KUVURUGWA
Sehemu ya 1 kati ya 3
Pongezi za dhati kwa Mhe. Anthony Mtaka kwa kutambuliwa rasmi na Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki (IOC) kuwa Rais halali wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC). Pongezi pia zimwendee Makamu wa Rais na wajumbe wote wa Kamati ya Utendaji kwa kusimama imara kutetea uamuzi wa Mkutano Mkuu. Tukio hili limetufundisha somo muhimu: demokrasia haiishii kwenye kupiga kura; hukamilika kwa kuheshimu matokeo ya kura.
Na kwa wale wote waliohusika katika mchakato huu, ushauri wangu ni mmoja tu: tuheshimu uamuzi wa IOC bila mabishano. Uamuzi huo haukutolewa kwa bahati mbaya. Ulifanywa baada ya mwangalizi huru wa IOC na ANOCA kushuhudia uchaguzi, na baada ya IOC kupokea taarifa kutoka vyanzo mbalimbali. Tukio hili ni onyo kwamba tabia ya kuamini matokeo yanaweza "kurekebishwa" baada ya kura kupigwa inaweza kuiweka Tanzania katika hatari ya kupoteza heshima yake mbele ya jumuiya ya kimataifa.
Hatari hiyo si ya viongozi pekee. Waathirika wakubwa wangekuwa vijana wetu wanaojitahidi usiku na mchana kuipeperusha bendera ya Tanzania katika Michezo ya Olimpiki ya Los Angeles 2028 na mashindano mengine ya kimataifa.
IOC si taasisi inayoyumba katika masuala ya utawala bora. Katika historia yake imewahi kusimamisha Kamati za Olimpiki za Mataifa mbalimbali pale ambapo uhuru wa Kamati hizo ulipoingiliwa au taratibu za uchaguzi kuvurugwa. India ilisimamishwa baada ya sheria za serikali kukinzana na Hati ya Olimpiki. Kuwait ilisimamishwa kutokana na kuingiliwa kwa uhuru wa utawala wa michezo. Guatemala ilisimamishwa kufuatia kuingiliwa na serikali na mahakama. Hivi karibuni Iraq ilisimamishwa baada ya serikali kuivunja Kamati halali ya Olimpiki na kuunda nyingine chini ya Waziri wa Michezo.
Methali ya Kiswahili inasema: "Ukiona mwenzako ananyolewa, zako tia maji." Tusifike huko.
Kusimamishwa kwa Kamati ya Olimpiki ya Taifa si adhabu kwa viongozi pekee; ni pigo kwa taifa zima.
Madhara yake ni makubwa:
Wanamichezo wanaweza kushindwa kushiriki Olimpiki chini ya bendera ya Tanzania au wakaruhusiwa kushiriki kama wanamichezo wasio na taifa (neutral athletes).
Fedha za Olympic Solidarity zinazofadhili mafunzo ya wanamichezo, makocha, vifaa, tiba ya michezo na ufadhili wa masomo husimamishwa.
Vijana hupoteza fursa za mafunzo na mashindano ya kimataifa.
Programu za kukuza vipaji hudhoofika.
Wadhamini wa sekta binafsi hupunguza uwekezaji kutokana na kupungua kwa hadhi ya nchi.
Taswira ya Tanzania katika jumuiya ya kimataifa hudhoofika.
Kwa kifupi, viongozi wanaweza kubadilishwa; lakini ndoto za wanamichezo zikivunjika huchukua miaka mingi kujengwa upya.
Leo hii kuna mwanariadha anayefanya mazoezi kila alfajiri akitumaini kufuzu Los Angeles 2028. Kuna mwogeleaji anayesaka ufadhili kupitia Olympic Solidarity. Kuna bondia anayehitaji mashindano ya kimataifa kujenga kiwango chake. Kuna mwanafunzi wa sekondari anayeota siku moja kuivaa jezi ya Timu ya Olimpiki ya Tanzania.
Ndoto zao hazipaswi kuvurugwa na makosa ya kiutawala ambayo hayawahusu.
Katika barua yake ya tarehe 9 Julai 2026, IOC ilitambua rasmi viongozi waliochaguliwa na Mkutano Mkuu wa TOC. Wakati huohuo ilieleza wasiwasi wake kuhusu kile ilichokiita jaribio la dakika za mwisho la kubadilisha matokeo ya uchaguzi wa Rais kwa kutangaza mgombea ambaye hakuchaguliwa. IOC ilieleza kuwa kitendo hicho kilikiuka Hati ya Olimpiki, Katiba ya TOC na misingi ya maadili ya Harakati za Olimpiki, na ikaagiza uchunguzi pamoja na hatua stahiki dhidi ya waliohusika.
�
TAN - NOC Elective General Assembly held on 5 July 2026 - IOC-ANOCA letter to NOC - 9 July 2026.pdf
Itaendelea...
Mwanasiasa asiye mwanaharakati ni tapeli anayesaka tonge kupitia kauli-mbiu na utam ulishi wa vyama. Mwanaharakati ana lake jambo la kulisimamia kokote aliko hadi mwisho wake. Ukiniuliza mie, dharau wanasiasa, heshimu mwanaharakati.
Before the world learned his name he was driving buses and fixing electrical wires.
Cape Verde goalkeeper Vozinha whose full name is João Mamadu Silva did not follow a conventional path to professional football. For many years he balanced jobs as a bus driver and electrician while playing on local fields. While most athletes reach their peak early in life his major breakthrough arrived later demonstrating that success can come at any age.
At 40 years old Vozinha stepped onto the worlds biggest football stage and faced his childhood hero Lionel Messi.
For him the moment meant far more than just a game. It symbolized that dreams do not have expiration dates hard work always matters and the longest journeys can lead to the most memorable experiences.
From repairing wires to confronting Messi Vozinha reminds us all that it is never too late to become the person you always hoped to be.
🔴ICYMI
The most logical and practical way to deal with illegal immigration remains this one, clearly explained by the CiC & President of the EFF Julius Sello Malema 🔥🙏🔥
watched South African police escort protesters without executing them for 2 days. Even when marchers started looting or vandalizing property, they responded with non-lethal force.
Can police in Kenya, Nigeria, Uganda, and Tanzania learn from their counterparts here?
You will experience the ministry of angels. Receive angelic visitation, divine protection, and supernatural intervention.
Every obstacle before you is giving way as heaven releases divine assistance on your behalf.
Type AMEN in prophetic agreement and SHARE!