Matthew 24:37
[37]But as the days of Noe were, so shall also the coming of the Son of man be.
Kwa maana kama vile ilivyokuwa siku za Nuhu, ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.
. Matthew 24:38
[38]
Kwa kuwa kama vile siku zile zilizokuwa kabla ya Gharika watu walivyokuwa wakila, na kunywa, wakioa na kuolewa, hata siku ile aliyoingia Nuhu katika safina,
Matthew 24:39
[39]And knew not until the flood came, and took them all away; so shall also the coming of the Son of man be.
wasitambue, hata Gharika ikaja, ikawachukua wote, ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.
Proverbs 22:1
[1]A good name is rather to be chosen than great riches, and loving favour rather than silver and gold.
Heri kuchagua jina jema kuliko mali nyingi; Na neema kuliko fedha na dhahabu.
Mark 1:15
[15]And saying, The time is fulfilled, and the kingdom of God is at hand: repent ye, and believe the gospel.
akisema, Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili. Yesu Awaita Wanafunzi wa Kwanza
Proverbs 19:11
[11]The discretion of a man deferreth his anger; and it is his glory to pass over a transgression.
Busara ya mtu huiahirisha hasira yake; Nayo ni fahari yake kusamehe makosa.
. Proverbs 19:19
[19]A man of great wrath shall suffer punishment: for if thou deliver him, yet thou must do it again.
Mtu wa hasira nyingi atachukua adhabu yake, Maana ujapomwokoa huna budi kufanya tena.
Proverbs 19:11
[11]The discretion of a man deferreth his anger; and it is his glory to pass over a transgression.
Busara ya mtu huiahirisha hasira yake; Nayo ni fahari yake kusamehe makosa.
Acts 17:30
[30]And the times of this ignorance God winked at; but now commandeth all men every where to repent:
Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu.
Genesis 50:21
[21]Now therefore fear ye not: I will nourish you, and your little ones. And he comforted them, and spake kindly unto them.
Basi sasa msiogope; mimi nitawalisha na watoto wenu. Akawafariji, na kusema nao vema. Siku za Mwisho za Yusufu na Kifo Chake
Genesis 50:20
[20]But as for you, ye thought evil against me; but God meant it unto good, to bring to pass, as it is this day, to save much people alive.
Nanyi kweli mlinikusudia mabaya, bali Mungu aliyakusudia kuwa mema, ili itokee kuokoa taifa kubwa, kama ilivyo leo.
Genesis 50:20
[20]But as for you, ye thought evil against me; but God meant it unto good, to bring to pass, as it is this day, to save much people alive.
Nanyi kweli mlinikusudia mabaya, bali Mungu aliyakusudia kuwa mema, ili itokee kuokoa taifa kubwa, kama ilivyo leo.
Joel 1:3
[3]Tell ye your children of it, and let your children tell their children, and their children another generation.
Waarifuni watoto wenu habari yake, Watoto wenu wakawaambie watoto wao, Na watoto wao wakakiambie kizazi kingine.