Don't worry about it. The Chinese also invented gunpowder, and then literally didn't invent guns because they were using it for fireworks. They love fireworks. They will always use technology for fireworks. They can't help themselves.
Hapo tatizo sio huyo mtu ni wewe.Huenda unamuonaga smart kwasababu kuna angle anasema unachotaka kuskia ila ikija kwenye dini unamuona mpuuzi kwasababu anasema usichokiamini🤝🏽
DRC banking Market share.
Rawbank and Equity BCDC are the 2 dominant customer franchises in the market.
KCB-TMB is a meaningful third player, but at a different scale.
𝐉𝐖𝐓𝐙 𝐊𝐔𝐊𝐀𝐌𝐈𝐋𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐇𝐎𝐒𝐏𝐈𝐓𝐀𝐋𝐈 𝐘𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐇𝐀𝐃𝐇𝐈 𝐘𝐀 𝐓𝐀𝐈𝐅𝐀
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liko katika hatua za mwisho za kukamilisha ujenzi wa hospitali yenye hadhi ya Taifa inayojengwa katika eneo la Msalato, jijini Dodoma.
Kauli hiyo imetolewa na Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali Salum Haji Othman mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama (NUU) wakati kamati hiyo ilipotembelea hospitali hiyo kwa lengo la kujionea maendeleo ya ujenzi wa mradi huo mkubwa wa afya.
Luteni Jenerali Othman amesema hospitali hiyo itakuwa na miundombinu ya kisasa pamoja na uwezo wa kutoa huduma za kibingwa na ubingwa bobezi, hatua ambayo itasaidia kuboresha upatikanaji wa huduma za afya kwa wanajeshi na wananchi kwa ujumla.
Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama (NUU),Mheshimiwa Paschal Inyasi Chinyele (MB), amepongeza maendeleo ya ujenzi wa hospitali hiyo na kueleza kuwa mradi huo ni muhimu kwa kuimarisha huduma za afya nchini.
Amesema kukamilika kwa hospitali hiyo kutasaidia kuongeza uwezo wa taifa katika utoaji wa huduma za matibabu ya kibingwa na kupunguza mzigo kwa hospitali nyingine za rufaa.
Naye Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Mheshimiwa Rhimo Nyansaho (MB) ameihakikishia kamati hiyo kuwa Serikali imeshalipa fedha zote zinazohitajika ili kukamilisha ujenzi huo, hatua inayotarajiwa kuharakisha ukamilishaji wa mradi huo muhimu wa kimkakati.
Aidha, Kamati hiyo imeeleza kuridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi huo na kuitaka JWTZ kuhakikisha kazi zilizobaki zinakamilika kwa wakati ili hospitali hiyo ianze kutoa huduma kwa wananchi na wanajeshi kama ilivyokusudiwa.
Hospitali hiyo inatarajiwa kuwa miongoni mwa vituo vikubwa vya matibabu nchini na kuchangia kwa kiasi kikubwa kuboresha sekta ya afya katika Jiji la Dodoma na maeneo mengine ya nchi.
The Zambian-based EZRA Group has officially commenced construction of a 400MW coal-fired power plant valued at
US$561 million in Sinazeze, Sinazongwe District, marking a major expansion in the country's baseload energy capacity.
The project is expected to be completed by December 2029.
#Courtesy
Coffee farmers in Rwanda’s Western Province were watching a factory get dismantled in Kigali and asked a simple question: can that material build us a school instead of going to the landfill?
Mwito Pre-Primary School. Nyamasheke District, Western Province, Rwanda. Creative Assemblages and BE_Design. Completed 2019.
50% of the construction materials came from the dismantling of the Rwanda Trading Company’s former coffee processing factory in Kigali, ArchDaily salvaged and transported to a steep hillside site on the shores of Lake Kivu with views across the rice fields to the mountains of eastern DRC. The school sits on that slope without flattening it, stepping down the contours the way the land already moves, with covered corridors connecting three classrooms, a kitchen, composting toilets, a multipurpose space and open play areas.
Parents and coffee growers were hired in the construction, gaining skills and income in the process. TDC Magazine The coloured steel structure is what was salvaged. The brick is local. The school was built by the same community whose children now learn inside it.
Most schools built across this continent are designed somewhere else, procured somewhere else, and handed over to communities who had no part in making them and have no relationship with what they are made of, which is why they deteriorate within five years and nobody feels responsible for maintaining them. This school was different from the first conversation.
A building that understands where it stands is one that was designed with the people standing there.
Creative Assemblages x BE_Design | Mwito Pre-Primary School | Nyamasheke, Rwanda | 2019
¿EL VERDADERO SIGNIFICADO DE INTERCULTURALIDAD? PREGÚNTENLE A DAVID ALABA.
🇩🇪 Nació en Alemania.
🇦🇹 Creció en Austria.
🇳🇬 Su padre es nigeriano.
🇵🇭 Su madre es filipina.
🇩🇪 Su esposa es alemana.
🇨🇩 Su abuelo es congoleño.
🇪🇸 Actualmente vive en España.
🏴 Su familia vive en Inglaterra.
Él es cristiano, su padre es musulmán y su madre, budista. INCREÍBLE.
The rich man raises his children to be leaders, they're taught to question everything and to always stand up for themselves,
The poor man raises his children to be servants,never to question authority figures,and the teachers at school reinforces this by oppressing them daily.
Mwonekano wa jengo la abiria litakavyokuwa baada ya kukamilika kwa ujenzi wa Uwanja wa Ndege Kigoma.
Kwa mujibu wa Wizara ya Ujenzi, jengo hilo litakuwa na uwezo wa kuhudumia takribani abiria 500, pamoja na huduma za kisasa zinazoendana na viwango vya kimataifa vya huduma za usafiri wa anga.
People tend to know about Liberia (the American-backed Back-to-Africa failed project) but not enough people know that it's right next to Sierra Leone (the British Back-to-Africa failed project)