🔴 Kijana uyo amepoteza maisha yake apo congo 🇨🇩 na Kosa lake ni kwamba ame sherekeya goal la DRC 🇨🇩 usiku wa kuamukia leo
🔴 Swali ni kwamba M23 ndio wale wanajeshi walikuja kutuokowa ao wamekuja kutumaliza sisi wa kongomani 💔
@SINEDavid1@DrSelelwa Seuleument les Jaloux,les terroristes, les criminels na ba envahisseurs njo wanaweza drop iyi comment ya mauwaji 👆
#têtebienfaite
👉🇨🇩 ❤️