🚨💣 BREAKING: Rafa Leão has decided to LEAVE AC Milan this summer. 🔴⚫️👋🏾
“I’m proud as I made history at AC Milan but I want new chapter. I feel ready to play in another league” 👀
“I did my best for Milan, but it’s time to try another challenge”, told @sporttvportugal.
🎧 New Here we go podcast episode on @MenInBlazers — managers and more.
◉ Maresca’s three year deal at Man City.
◉ Never a chance for Kompany and others.
◉ Guardiola has no agreement elsewhere.
◉ Mourinho to sign for Madrid next week.
🎥 https://t.co/RqrS9tjKRc
🚨 KIWANGO cha beki wa kati, Ismael Toure, kimewakosha mabosi wa klabu ya Simba, huku benchi la ufundi la timu hiyo linaloongozwa na Steve Barker likibariki uamuzi wa Muivory Coast huyo kuongezwa mkataba wa mwaka mmoja.
Toure ni miongoni mwa wachezaji wa Simba waliosaini mikataba ya muda mfupi msimu huu ambapo ni miezi sita wakati anatua dirisha dogo la usajili la Januari 2026, lakini pia anaingia kwenye kundi la mastaa wa klabu hiyo wanaomaliza mikataba yao mwishoni mwa msimu huu.