K24 Journalist Catherine Wanjeri Kariuki has been Shot by Police in Nakuru while covering Youth-Led Protests..
Hello Tanzanian Journalists let us pray for our colleagues in Kenya
Mwandishi Costantine Mathias wa Uhuru Media amekatwa na Jeshi la Polisi jana usiku, Mkoani Simiyu , baada ya kukaguliwa Nyumban8 na kunyang'anywa vifaa vya kazi alisafirishwa kupelekwa Mwanza. Ninatumai jeshi la Polisi litaweka wazi kukamatwa kwake
@Nnauye_Nape
Mwandishi wa habari Kazimbqya Makwega amekamatwa leo Mwanza na Maafisa wa Polisi kwa tuhuma za kuandika habari za uchochezi juu ya chuo cha Dodoma (UDOM). Free Makwega
*Received H.E Huang Xia, Special Envoy of the UN Secretary-General for the Great Lakes Region. Discussed DRC. Shared H.E @SuluhuSamia view on dealing with the root cause of the situation. We agreed to pursue complementarity of multiple political and military initiatives for DRC.*
ATCL chukueni hatua kuondoka bad image kwa kuna kero kubwa kwa abiria wanao coonect kwa kutumia ndege za ATCL nimeachwa na Ethiopia Airline kwenda Capetown kwa uzembe wa ATCL kutokea Mwanza. Halafu mnahelewa kututafutia ndege nyingine.
@AirTanzania
Namwandikia barua rasmi Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya katiba na sheria Mh.Mhagama kumshawishi awasilishe muswada binafsi wa sheria ya ulinzi wa waandishi wa habari wanapotimiza majukumu yao walindwe na sheria ili wawe salama.
@bunge_tz
Hapa naipongeza Serikali kwa ufafanuzi huu lakini pia haitoshi lazima watendaji wa halmashauri ya Mji ifakara wachukulie hatua na waombe msamaha kwa upotoshaji. Pia wasome vizuri the Access to information Act na katiba pia .
@Nnauye_Nape@UTPCtz@OJADACT2
It was another good time for me to meet the Swedish ambassador in Tanzania Charlotta Ozaki Mecias and congratulate 60 years of cooperation between Sweden and Tanzania
The PPP in the mining sector is very crucial. The link between the government and the private sector will add value to the countries of the Great Lakes member states . PPP can touch processing, refinery or smelting. This was my concern today at the ICGLR Forum here in Kinshasa
Pan-Africanism was the attempt to create a sense of brotherhood and collaboration among all people of African descent whether they lived inside or outside of Africa. Viva Africa
Ushauri kwa Mkuu wa Majeshi Nchini(CDF) azuiwe maafisa wa Jeshi kutoa taarifa za ndani ya Jeshi zinazohusu (Imara au udhaifu) public , tabia hii haina tija kwani inazusha mijadala isiyo na ulazima. Taarifa ya Jeshi letu kuwa la 6 Duniani ingebaki kuwa ya ndani .
Mwandishi wa habari Aloyce Nyanda baada ya kuhojiwa central police Mwanza kwa tuhuma za matumizi ya mtandao, simu yake inashikiliwa kwa uchunguzi. Polisi watumie hekima ili walinde uhuru wa vyombo vya habari .
Mwandishi wa habari na mchambuzi Aloyce Nyanda ni kweli alishikiliwa na jeshi la polisi Mwanza kwa tuhuma za matumizi ya mitandao na baadaye akaachiwa. Tunaendelea kufuatilia juu ya tukio hilo na usalama wake