I'm growing up
am fake
am anonymous
fake it until it happens. akili kubwa . kill me but not the nation
Ruto is greedy
he's a killer
كينيا دولة دم
فأعينني يا ا
You keep asking why is the national debt at 22.7T without tangible development.
You keep asking why there is poor road network.
You keep asking why we lack drugs in our hospitals.
You keep asking why school capitation is 97 bob per child.
You keep asking why Kindiki spends 8 million daily.
You keep asking why CT scan machines in public hospitals are less than 500.
We cannot even save ourselves, this is just sad.
Politicians hutuona matako yao kabisa.
This is how your brand new cars are driven zikitoka port coming to nairobi! Uki-order gari alafu ikuje by road from mombasa na ifike salama, wewe shukuru Mungu😂😂😂😂
It's so sad that Diblo couldn't raise KES 120,000 for surgery despite working at Radio Jambo. But after he died, over 1 million was contributed to burry him.
-Fred Arocho
Waaah sikua nataka kutoka Machakos lakini hii by 8:30 nafaa kuwa kwa machine, ju huku hatuna GOD DID IT. Wacha watoto wa maskini tuingie kutafutia watu 250M
Ibrahim Ambwere was a self-made billionaire from Chavakali, Vihiga County, born in 1936 and orphaned at age 8 with no formal education.
He started at age 12 as a KSh 3-per-month sweeper for mason Karam Singh, learned masonry and carpentry on the job, and was gifted tools plus KSh 3,000 when Singh left Kenya at independence in 1961.
Using that capital, Ambwere started a carpentry shop with just KSh 38 and grew it into a vast real estate and business empire across Western Kenya, Kisumu, Nairobi, and beyond.
He became nationally known in the early 1980s when he offered KSh 48 million, over KSh 4 billion today, to pay striking teachers’ delayed salaries during Moi’s government, saying “teachers are special.” Though the government probed his wealth instead of accepting the help, Ambwere never declared his net worth but owned major properties like Ambwere Plaza and Towers, and remained a symbol of resilience and generosity until his later years.
Madem its high time muhave respect kwa wasee wa cab. Hapa kwa our apartment kuna dem ameletwa na cab. Msee alikua amlipie cab amekataa kumlipia. Jamaa wa cab akaturn gari ni kama alikua ampeleke police station. Buana dem amepiga nduru ati jamaa wa cab amemrape. Plus hakua amevaa ngotha. Wasee walikua within waliamini juu pia huyo msee wa cab alikaa hapo na yeye for like an hour akitegea dem amuekee pesa. Jamaa walikua almost kuchoma gari ya huyo bois but jamaa akawacomfront ni huyo dem amekataa kulipa na amemueka hapo sana so alikua anampeleka police station. Dem after kusikia ati gari iko na dashboard camera alishtuka. Sahii nimeacha huyo dem akilishwa advice na mama fulanibwa kanisa juu ya kitu amefanya. But madem kama huna pesa ya cab isifike point unageuzia jamaa wa cab ati alikua anataka kukurape. Kama si jamaa kukua na dashboard camera sahii angekua Juja police station na amechomewa gari alafu mafeminist wakue wanaitisha justice for the girl. Fvck broke girls