Wamepiga mafataki, wamefanya kila aina ya fujo, mechi imesimamishwa mara tatu, refa katoa dakika 6 tu na Rais wa CAF alikuwa uwanjani. Hii ndio AFRIKA. Na hii ndio YANGA AFRIKA, USMA wameshinda kwa kanuni, tumeheshimisha taifa. Timu bora imeshinda mechi.
YANGA KLABU YA TAIFA