Ubalozi wa Marekani Nchini Tanzania, leo Mei 22 2026 umeeleza kuwa Serikali ya Marekani imemuwekea vikwazo Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi Tanzania (SACP), Faustine Jackson Mafwele, kwa madai ya kuhusika katika ukiukaji mkubwa wa haki za Binadamu.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio, Marekani imesema inazo taarifa za kuaminika zinazomuhusisha Mafwele na vitendo vya ukandamizaji pamoja na ukiukaji wa haki za binadamu.
Aidha, Washington imesema uamuzi huo umetokana na taarifa za uchunguzi zinazohusiana na matukio ya mwaka 2025, ambapo Wanaharakati Agather Atuhaire wa Uganda pamoja na Boniface Mwangi wa Kenya walidai kutekwa, kushikiliwa na kufanyiwa vitendo vya ukatili walipokuwa Tanzania kufuatilia kesi ya Kiongozi wa upinzani Tundu Lissu.
Kutokana na hatua hiyo, Marekani imesema vikwazo hivyo ni sehemu ya juhudi zake za kuwawajibisha Watu wanaotuhumiwa kukandamiza haki za msingi za Wananchi ambapo chini ya vikwazo hivyo Mafwele hatoruhusiwa kuingia Marekani.
#MillardAyoUPDATES
Even before its handpicked “independent” commission began work, Tanzania’s government rushed to blame vague “foreign” actors for the bloodshed. It has offered no credible explanation for its own election-related crackdown, including why Christian leaders were singled out for deadly attacks and abductions. Those responsible for persecuting these Christians must be held to account. https://t.co/Y8INYBWQ97
I welcome the State Department’s response to my requests to review the U.S.–Tanzania relationship. The ongoing situation in Tanzania is deeply troubling and threatens the stability and security of a vital region. This violent repression, including cases against Christian leaders, needs a thorough examination.
I am also concerned by reports that U.S.-based tech companies are blocking social media access for individuals targeted by the Tanzanian government—including some in the United States. We have already seen the harmful effects of the former Biden Administration’s efforts to police social media on political and civic discourse in our own country. For this to be happening in Tanzania at that government’s request is unacceptable.
My Sister, President @SuluhuSamia, You Are Betraying the Dreams of African Women
I am a woman leader. I believe, with every fibre of my being, in the power of women to heal our nations, to lead with compassion, and to build a more inclusive and just Africa. It is precisely because of this belief that I can not remain silent as a sister leader, President Samia Suluhu Hassan, you have dragged Tanzania down a path of tyranny and fear.
What we have witnessed in Tanzania is not leadership; it is a betrayal. It is a betrayal of the women of Tanzania who looked to one of their own and hoped for a new dawn. It is a betrayal of the democratic principles that countless Pan-Africanists fought and died for. The recent sham election, where you were declared the victor with a Soviet-style 97% of the vote, is not a victory. It is a funeral for democracy in Tanzania, and you are the chief mourner.
True women’s empowerment is not about putting a woman in a presidential chair. It is about what she does with that power. Does she lift others up, or does she crush dissent? Does she foster a culture of competition and debate, or does she silence every opposing voice? By jailing your main opponent, Tundu Lissu, on trumped-up treason charges, by disqualifying other candidates on spurious grounds, and by barring the main opposition party, CHADEMA, from even participating, you have not shown strength. You have shown a profound weakness, a fear of competition that is the very antithesis of healthy leadership.
We, as African women, are taught to be nurturing, to be builders of communities and bridges of understanding. What, then, is nurturing about a heavy military presence at polling stations? What is compassionate about security forces gunning down peaceful protestors, leading to the unnecessary and tragic loss of hundreds of Tanzanian lives? The internet shutdowns, the abductions, the torture of activists, these are the tools of a dictatorship, not of a democratic leader who believes in her people.
President Samia, you had a golden opportunity. The world applauded you when you began reversing some of the harsh policies of your predecessor. We dared to hope that Tanzania was opening up but we see now that those were merely tactical retreats. Your administration has intensified a crackdown so severe that it has shattered the very possibility of a free and fair election. You have not just tilted the playing field; you have set it on fire and told the other team they are not allowed to play.
This is a pivotal moment for Pan-Africanism. A democratic Pan-African movement can not be silent when a leader, regardless of gender, subverts the will of the people. We can not celebrate women leaders simply for being women; we must hold them to the same, if not a higher, standard of democratic accountability. To do otherwise is to engage in a hollow and meaningless identity politics that does nothing to serve the African people.
I stand in solidarity with the brave people of Tanzania who are demanding electoral justice. Their fight is our fight. The struggle for democracy in Dar es Salaam is intrinsically linked to the struggle for freedom in Harare, in Kampala, and across our beloved continent.
To my sisters across Africa, I say this: Our fight for a seat at the table is meaningless if, once we get there, we use that seat to bar the door to others. Our empowerment is hollow if we do not empower our people. We must shun the tyranny of a single voice and champion the beautiful, chaotic, and necessary chorus of democracy.
I believe in women’s leadership but I believe in justice more. And until there is justice for the people of Tanzania, I will not be silent. The African Union and all democratic nations must not legitimize this electoral charade. The soul of Tanzanian democracy is on life support, and it is our collective duty to fight for its revival.
#StandWithTanzania
#NotInMyName
Tanzania authorities arrest and detain CHADEMA deputy chairperson John Heche at Isibania One Stop Border post, party says; he was to represent detained Tundu Lissu at Odinga’s burial tomorrow.
Jambo moja muhimu sana ktk safari yako ya kurudi katika kazi ya kudai mabadiliko ya kweli na uhuru wa kweli ni pale ulipotubu kuwa huko nyuma na wewe pia ulikosea sana. Toba hii ilikuwa muhimu sana kwako na familia yako. Ulikuwa ni msingi wa fikra ya Mwenyezi Mungu ndani yako. Sidhani kama bado huko hai !! Nina wasiwai sana. Lakini kisasi cha Mungu kinakuja kwa watesi wote wa Nchi hii. Kama sitakuona wala kukusikia tena , tafadhali, lala salama sana na Mungu awatie nguvu Mama yako , familia , ndugu , rafiki na jamaa wote. Hatukustahili Taifa la aina hii hata kidogo. Bado muda kidogo hasira ya kudai haki itaamka kwa kwa kila mwenye pumzi.
Raia wanakufa,wanapotea,wanatekwa na jeshi la polisi wanatuhumiwa wanakana na kusema wanafanya uchunguzi na hawaleti majibu inapita siku Hadi miaka. Najiuliza kama kazi ya kulinda raia na mali zake ni ya polisi na hawaitekelezi ipasavyo maana yake si imewashinda? Mbona aliyewapa hii kazi hatuoni akiwakemea au kutoa adhabu like kushushwa cheo au kujiuzulu? Ni kina nani wanafanya haya matukio na jeshi la polisi lipo? Na linasifiwa na waliowapa vyeo kwamba linafanya vizuri? Je hayo ndio mazuri kwao?
🇹🇿❗A former Tanzanian ambassador and outspoken government critic, Mr. Humphrey Polepole's has been abducted by unknown individuals at his home, BBC reports from family sources
Samia Suluhu Hassan has been on an injustice overdrive in Tanzania.
Humphrey Polepole, a former Tanzanian ambassador and outspoken government critic, has been abducted by unknown individuals, according to his family.
https://t.co/aYFhEMzflb
HABARI MBAYA
Leo Wilaya ya kahama kata ya Bulyanhulu kijiji cha Kakola Vijana watatu wametekwa Mchana
Wa kwanza kutekwa alikuwa Ibrahim Muhidin Mfangano Nyumbani kwao Mbele ya Baba yake Mzazi Mzee Muhidin Mfarangano,Mzee Mwidimi ameshuhudia Mwanaye akitekwa
Wakati anatekwa alikuwa na Wezake walipojaribu kumsaidia walipigwa na kutishia Bastora
Vijana wa Boda walijaribu kufukuzia Gari iliyomteka na kila walikuwa wakikalibia walikuwa wanatishia na Bastora
Vijana wezake walifanikiwa kufika Polisi kabla ya gari ya watekaji hajapita kituo cha Polisi lakini Polisi hakuwa na Msaada wowote na gari ya watekaji ilipita na polisi wakaishia kukimbiza kwa nyuma gari ya watekaji
Wakati Vijana wa Boda boda wanafukuzia gari ya watekaji ilitokea gari nyingine na kuwateka vijana wengine wawili wa boda waliokuwa wanawafukuzia
Mpaka sasa wakekaji wameondoka na Vijana 3
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI
Part 1
Mh. Lissu ameingia tayari akiwa na vibe kubwa sana.
Majaji pia wameingia.
Kesi hii itasikilizwa na majaji watatu wa Mahakama Kuu na wao pia wameshaingia.
Nitawapa majina ya hawa majaji watatu.
Wakatikati yuko bize kuandika hawa wawili wengine tunaangaliana nao uso kwa macho.
Kesi haijaitwa bado.
Jaji anateta kidogo na mwenzake. Anawasha kipauza sauti.
Anasimama kalani anasema Criminal case No. 19605/2025 Jamhuri dhidi ya Tundu Lissu.
Anasimama Nassoro Katuga wakili wa serikali tupo pamoja na
Job Mrema, Thawabu Issa, Mossie Kahima, Harrison Lukosi, Cathbert Mbiringi na Winiwa Kasala.
Hao ndio Mawakili saba wanaoiwakilisha Jamhuri mbele ya mahakama hii.
Mshitakiwa yupo naomba upande wa utetezi waweze kujitambulisha.
Anasimama mwanadada.
Anasema naitwa Neema Saruni ni Wakili. Mdada mrefu ananywele nyinginyingi.
Namuwakilisha mtuhumiwa aliyepo mbele ya mahakama hii tukufu.
Na kwa uwakilishi huo kwa mujibu wa PROBONO na nilipata wasaaa wa kuonana mteja wangu nikakutana nae.
Naomba mahakama impatie nafasi aweze kuelezea.
Watu wameshangaa ngoja tuone sasa.
Jaji anaandika kidogo.
Naambiwa kiutaratibu kesi kubwa watuhumiwa hupewa mawakili na mahakama.
Ngoja tuone.
Jaji anasema ngoja kwanza upande wa mshitaka waseme kesi imekuja kwa hatua gani.
Katuga anasema kesi ilikuja kwa ajili ya Preliminary hearing na sisi tuko tayari.
Kabla ya kuendelea na shauri hili Katuga anasema upande wa Jamhuri ulikuwa na Concern kadhaa kama tutapewa nafasi kuelezea.
Tuko tayari na plea taking na preliminary hearing.
Jaji anamwambia subiri kwanza.
Anaandika kidogo.
Amesimama Neema Saruni anasema tumemsikia Wakili wa Serikali Katuga lakini lipo suala la Uwakilishi wangu ikipendeza mteja apewe nafasi.
Jaji amesema sema wewe kwanza, niliwasiliana na mteja akasema atajiwakilisha mwenyewe, hayuko tayari nimuwakilishe.
Tulianza kushangaaa mbona anasimama wakili ambae hatumfahamu wakati Akina Mzee Mpoki wapo.
Anaanza Mh. Lissu kusema anasema nawashukuru Majaji kwa kunipatia Mawakili.
Pamoja na kwamba mimi sikumuomba na simfahamu wakili Neema Saruni alikuja mwenyewe kuniona kwenye gereza la Ukonga alijitambulisha na kuniambia yeye ndio amepewa hilo jukumu.
Nilifurahi kwa yeye kufanya hivyo. Walifanya vizuri sana.
Sasa Mh. Jaji alivyokuja na kunieleza nilimjulisha kuwa kwenye kesi kubwa kama hii ambayo ni kosa kubwa kuliko yote kwa mujibu wa ibara ya 28.
Kwenye kosa linaloshitakiwa kwa kusema maneno.
Kosa la aina hii nitajitetea Mwenyewe.
Kwasababu inabidi tuambiwe na nchi hii ukisema maneno yasiyowapendeza watu fulani fulani unaweza kuhukumiwa kifo.
Kwasababu hiyo nikasema nitajitetea mwenyewe.
Part 2 itaendele kwenye post inayofuata.
Naomba Repost yako kwenye tweet hii.