Getting rejected is one of the most painful reality of life, work, business. You wish your heart was made of stone. But then that’s what makes you vulnerable, sensitive, open to realities of life. And, great success.
@BasedMikeLee I have stock in SpaceX and Tesla, not some big pile of cash.
As my companies do more and more useful things, their value increases proportionate to their projected usefulness. All shareholders benefit along the way, including most retirement programs.
This is what the Lord is saying today.
I’d normally only post the KJV, but I think you’ll understand why the NIV may cut through a little more to newer believers.
The Lord richly bless you.
I am selling my island in Lake Tanganyika, Tanzania. Gorgeous place, but we don’t use it enough. $7.9 million or best offer. Anyone interested should contact me directly at [email protected]
TUJIELIMISHE ILI KUJISAHIHISHA.
KESI YA LISSU: HAKUSHINDWA BALI MAHAKAMA ILIAMUA KUWA ANA KESI YA KUJIBU HIVYO UTETEZI UNAFUATA.
Pamoja na kuheshimu uamuzi wa Mahakama, mimi ninaendelea kuhimiza busara na hekima zitumike katika ngazi zote za maamuzi ili taifa letu liondokane na jambo hili la kusikitisha. Tuweze kuambizana ukweli, kusameheana na kuridhiana.
Sizungumzii hatia au kutokuwa na hatia kwa Lissu; hilo ni jukumu la Mahakama. Ninazungumzia mazingira ya kesi hii, historia yetu na umuhimu wa sheria kutumika kwa usawa. Tutambue:
1. Kesi ya Tundu Lissu ina tofauti kubwa na kesi nyingi za uhaini zilizowahi kutangulia hapa nchini. Katika kesi hizo za kihistoria kulidaiwa kuwepo njama, washirika, mipango ya pamoja ya kuipindua Serikali, na katika baadhi ya kesi washirika kutoka jeshini na madai ya kupanga kumuua Rais.
Katika kesi hii Lissu ameshtakiwa peke yake, na kiini cha shtaka kinahusu kauli zake za hadharani. Hii ni tofauti muhimu inayostahili kutafakariwa bila kuingilia kazi ya Mahakama.
2. Lissu anashitakiwa kwa uhaini chini ya kifungu cha 39(2)(d) cha Kanuni ya Adhabu, kutokana na kauli alizotoa katika mkutano wa CHADEMA tarehe 3 Aprili 2025. Kaulimbiu yake ilikuwa “No Reforms, No Election.” Upande wa mashtaka unadai kwamba kauli zake kuhusu “kukinukisha”, kuzuia au kuvuruga uchaguzi zilivuka mipaka ya siasa za kawaida.
Kauli hizo ni kali. Lakini katika historia ya siasa zetu tumewahi pia kusikia kauli kali zaidi. Mfano wimbo maarufu: “Wapinzani tuwashike, tuwachanechane, tuwatupe.”
Hata Bungeni wimbo huo uliwahi kulalamikiwa lakini ikachukuliwa ni utani wetu wa jadi. Pia mitandaoni leo tunasikia kauli za kutishia watu, kuwaua au kuwapoteza bila hatua zinazoonekana kuchukuliwa kwa kiwango sawa.
Ndiyo maana wapo wananchi wanaojiuliza: Je, sheria inatumika kwa usawa kwa kauli za wanasiasa wa pande zote? Bibi yangu aliwahi kunikanya kuwa :Ukitania uwe tayari kutaniwa".
3. Lissu alitoa matamko yake hadharani au katika mikutano ya kisiasa. Wananchi wengi waliyasikia na wanayajua. Kwa hiyo, pamoja na kuacha Mahakama ifanye kazi yake kwa uhuru, ni vigumu kuzuia mjadala wa wananchi kuhusu jambo ambalo liko hadharani na linagusa siasa, sheria na haki za kiraia.
Ili mradi staha izingatiwe na mjadala huo usibadilishwe kuwa hukumu ya hatia au kutokuwa na hatia kabla ya Mahakama kumaliza kazi yake.
4. Kama Mahakama ingelikuwa imeamua kuwa hakuna kesi ya kujibu, hatua ya utetezi isingefunguliwa. Sasa Lissu ameomba kuwaita baadhi ya viongozi wakuu, akiwemo Rais Samia na viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama, kutoa ushahidi.
Historia ya nchi nyingine inaonyesha kuwa jambo la Rais aliye madarakani kutoa ushahidi katika shauri la jinai lina utata lakini si geni kabisa.
Mwaka 1807, katika kesi ya uhaini ya aliyekuwa Makamu wa Rais wa Marekani Aaron Burr, Burr aliomba ushahidi kutoka kwa Rais Thomas Jefferson, bosi wake. Jaji Mkuu John Marshall ndiye alikuwa muamuzi na alikataa "dhana kwamba Rais ana kinga ya moja kwa moja dhidi ya mchakato wa Mahakama pale ushahidi wake unapohitajika katika kesi ya jinai".
Jefferson hakulazimishwa kusimama mwenyewe kizimbani, lakini alitoa ushahidi kwa nyaraka na kanuni muhimu ikawa: hadhi ya Urais haimaanishi kwamba ushahidi muhimu kwa mtuhumiwa hauwezi kupatikana.
Baadaye, Marais wengine wa Marekani wamelazimika kutoa ushahidi au taarifa katika mashauri ya jinai inapohitajika. Ni pamoja na:
James Monroe — 1818
Ulysses S. Grant — 1876
Gerald Ford — 1975
Jimmy Carter — 1978
Jimmy Carter tena — 1980
Bill Clinton — 1996
Richard Nixon mwaka 1974 aliamriwa kutoa kanda za Watergate.
Mara nyingi ushahidi huo ulitolewa kwa maandishi, nyaraka, viapo/deposition au video badala ya Rais kufika mwenyewe mahakamani.
5. Hakika Hatua inayofuata katika kesi ya Lissu ni nyeti. Itatuonyesha mwanga katika masuala haya muhimu kuhusu utawala wa sheria na haki ya mshitakiwa kupata utetezi stahiki.
6. Kiuhalisia Wengine tumejikita kwenye swala la HEKIMA, BUSARA na HURUMA YA MUNGU.
The IDU is gravely concerned by today's High Court ruling in Dar es Salaam ordering our Vice Chairman @TunduALissu to stand trial for treason — a charge carrying the death penalty.
After 16 months in detention for a speech, this ruling prolongs a politically motivated prosecution designed to silence Tanzania's opposition. We call for his immediate and unconditional release, and urge democratic governments worldwide to do the same. #FreeTunduLissu 🇹🇿
Kuna watu wengi, hasa vijana, walioko katika magereza mbalimbali nchini kwa mashitaka ya ugaidi. Ni rahisi sana kuwasahau tunapokosa huruma na uelewa kama jamii. Majina yao si makubwa. Wengine ni wanafunzi ambao leo hawajui hata hatma ya elimu na maisha yao itakuwaje.
Lakini nyuma ya kila jina kuna mwanadamu, familia, ndoto na maisha yanayosubiri kuendelea.Tusiruhusu muda na ukimya viwafute kwenye fikra zetu. Tuendelee kuwakumbuka, kuwauliza, na kudai kwamba haki itendeke kwa kila mmoja wao.
Kwa sababu tukiwasaau wale walioko nyuma ya magereza ,tutakuwa tunapoteza kitu muhimu sana ndani yetu kama jamii.
Na tukiwasaau kabisa, tofauti yetu na wale tuliowapinga kwa kuwanyima wengine haki itakuwa nini?
FIKRA zetu zinapaswa kuwa juu yao.
The Bank of Tanzania gazetted the Foreign Exchange (Amendment) Regulations, 2026 (GN No. 206); and made one of the most significant capital markets moves in the country's recent history.
For the first time, non-resident investors of any nationality can buy Tanzanian Treasury bills and government bonds. Earlier weeks ago, our bond was listed in the London Stock Exchange. With 50% of reserves held in Tbills and government bonds, we firmly believe nTZS can increase demand for TZS and government debt.
🥇 Last night in Atlanta, our groundbreaking Tanzania investigation won a @NABJ Salute to Excellence Award.
🇹🇿 Thanks to all the brave Tanzanians who trusted us with their stories
@NABJ@FlorenceDAttlee@GianlucaMezzo@BenDoBrown When the Tanzanian media was silenced by the government, we spoke to more than 100 people for this forensic investigation https://t.co/4gaBtscV4K
I believe everyone should have access to superintelligence, and I wrote a long piece about Meta's philosophy and values for building a positive future for everyone. https://t.co/2ZoNZXZ39T
Charlene's husband pens down an heartfelt to his wife Charlene Ruto:
"Thank You, Heavenly Father, for blessing me with Your precious daughter.
God gave me His best when He gave me you.
Charlene, you are my good thing-my answered prayer and my greatest earthly gift.
I will spend forever honoring you."