Everyone knows what's the right path towards his /her own success, the problem is always on the distractions surrounding that specific person,so as you're building up success remember to minimize distractions as much as you can #onGod
Everyone knows what's the right path towards his /her own success, the problem is always on the distractions surrounding that specific person,so as you're building up success remember to minimize distractions as much as you can #onGod
@Rydx_017@DullahTheking2@athanas_pius@babalao__@Balyx_@MissChelsea1221 π π Vee hapana ,katik industry y mziki w bongo huyu akil ya madeal na kutengenez hela kawazidi watu kibao ukiskiliz sabab alizozitoa yeye kama yeye zinamake sense ... hii mikataba itakuw imempalia mmoja wa hawa wachanga wanaokurupukia madeal
VIPIMO VYA AFYA VYAONESHA MWILI WA CR7 NI SAWA NA KIJANA WA MIAKA 28.
Cristiano Ronaldo adokeza anaweza kuendelea kucheza kwa miaka mingine 10 baada ya matokeo ya afya kumshangaza
Nyota wa Al-Nassr, Cristiano Ronaldo, ameashiria kuwa anaweza kuendelea kucheza soka kwa miaka mingine kumi baada ya kubainika kuwa umri wake wa kifizikia ni mdogo kuliko umri wake halisi.
Kwa mujibu wa jukwaa la afya la Whoop, Ronaldo ambaye ana miaka 40 sasa, alipimwa na kubainika kuwa mwili wake una afya sawa na mtu wa miaka 28.9. Matokeo hayo yalimshangaza mshambuliaji huyo wa Ureno, ambaye alitania kuwa anaweza kucheza kwa muongo mwingine mzima.
Akizungumza na Whoop, alisema: βSiwezi kuamini kuwa afya yangu iko vizuri hivi. Hii inamaanisha kuwa nitaendelea kucheza kwa miaka mingine kumi. Ukiwa kijana, unadhani utaishi milele, kuwa utakuwa na nguvu siku zote, kwamba huwezi kuvunjika. Ukiwa na miaka 25 si sawa na ukiwa na miaka 30, hasa katika soka. Bado ninajisikia vizuri, sasa najipa kipaumbele kwa mapumziko na usingizi kuliko awali.β
Hata hivyo, mustakabali wa Ronaldo bado haujafahamika, kwani mkataba wake na Al-Nassr unatarajiwa kumalizika msimu huu wa joto, na bado hajatia saini mkataba mpya. Ingawa amehusishwa na uhamisho mwingine, kabla ya lolote kutokea, ana mechi mbili za mwisho katika Ligi Kuu ya Saudi Arabia kuzikamilisha.
#WasafiSports