David Raya: 19 clean sheets in the league.
Are assists now worth more than goals?
Are assists now worth more than clean sheets with a potential league title?
America forcing Tik Tok to be American owned is a national security exercise but South Africa forcing Starlink to be South African owned is backwards.
Make it make sense
Instagram growth gurus are so funny.
He can’t use his laptop because he’s holding a drink.
He can’t drink because he has a cigar in his mouth.
He can’t smoke his cigar because both hands are occupied. 😭
First when Mikel first came in,
Only Manu fans and spurs hated us .
2 years later Chelsea fans joined them because we started whooping them every game week,
3 years into the job Liverpool fans joined them, because Klopp became 3rd best in the table after Pep and Mikel
Finally this year , mancity fans have made it to the finish line , welcome to the family the 3/4 city fans around the world .
Barcelona and Bayern are next !
TUTASHINDA. MSIOGOPE.
Nelson Mandela alisimama mahakamani mara nne katika maisha yake ya mapambano. Siyo kwa sababu alikuwa mhalifu, bali kwa sababu alisimama imara kupinga mfumo dhalimu uliowanyima watu utu, haki, na sauti.
Kabla ya kesi maarufu ya Rivonia ya mwaka 1963/64, Mandela alikuwa amefungwa gerezani mara mbili. Kila kifungo kilikuwa ujumbe: dola ilitaka kumvunja moyo, kumchosha, kumkatisha tamaa. Lakini haikufanikiwa.
Hukumu ya miaka 27 gerezani haikuwa tu adhabu kwa mtu mmoja, Mandela; ilikuwa jaribio la kuzika ndoto ya ukombozi wa Waafrika Kusini. Mandela alitengwa, akanyimwa uhuru, familia, na maisha ya kawaida.
Miaka mimgi ilipita taratibu, siku zikafanana, mateso yakawa sehemu ya ratiba. Lakini hata ndani ya kuta za gereza, wazo la uhuru halikufungwa. Ndoto ya uhuru haikuzima. Mawazo hayawezi kufungwa kwa minyororo.
Mapambano hayakulipuka mara moja baada ya hukumu hiyo. Ilichukua takribani miaka kumi kabla ya wafuasi wa ANC na jamii ya kimataifa kuamka kwa nguvu mpya, kwa uelewa mpana zaidi, na kwa mshikamano wa kweli.
Mabadiliko ya kweli mara zote huchelewa, lakini hayapotei. Mbegu inapandwa leo, lakini huota kwa wakati wake. Ndiyo maana hatupaswi kukata tamaa. Ikiwa leo tunaona giza, haimaanishi alfajiri haitafika.
Ikiwa juhudi zetu zinaonekana kama hazina matokeo, haimaanishi kuwa ni bure. Historia inaonyesha kuwa wale wanaodumu, wanaostahimili, na wanaokataa kukata tamaa, hatimaye hubadilisha mkondo wa mambo.
Maumivu tunayopitishwa si laana; ni somo. Ndiyo yanayotujenga, yanayotufundisha uvumilivu, na yanayotupa mizizi ya uimara. Bila maumivu, dhamira hubaki dhaifu. Bila mateso, ushindi hukosa maana.
Kama Mandela alivyosimama tena, nasi pia tunapaswa kusimama—si mara moja, bali kila tunapoangushwa. Bado hatujachelewa. Wakati bado upo. Kile tunachopitia leo kinaweza kuwa msingi wa ushindi wa kesho.
Kinachotakiwa si kukimbia maumivu, bali kuyavumilia kwa hekima na kuyageuza kuwa nguvu. Historia inawaandika kwa heshima wale wanaodumu, si wanaokata tamaa njiani na kukimbia mapambano.
Tundu Antiphas Mughwai Lissu anatimiza siku 284 gerezani, amevunja rekodi ya kuwa kiongozi wa kwanza wa juu wa chama cha upinzani Tanzania kuwekwa kizuizini kwa muda mrefu zaidi tangu mwaka 1992
Dola katili la CCM haliwezi kuzuia na kuzima ndoto za kuitafuta Tanzania inayoheshimu haki za watu, misingi ya utu, usawa na uwajibikaji. Tundu A.M Lissu sio mhaini. Tundu Lissu arejeshewe uhuru wake. #FreeTunduLissu
#TajiriLaKihaya
Kwenye hii Issue ya Kariakoo mm na BlueTick yangu nitasema hivi;
Pale kariakoo asilimia kubwa ya wenye Ardhi hawakua na hela ya kujenga ghorofa…
Iliwabidi wawekezaji wachukue fursa, wanamfata mwenye Ardhi wanaingia mkataba..
Kwa mfano; Tajiri anajenga ghorofa alafu Atarudisha expense za ujenzi lets say for 10yrs bila kulipa rent- after 10yrs either atairudisha kwa mwenye ardhi au aanze kulipa kodi kwa walivyokubaliana…
Sasa huyu investor wakati wa ujenzi atafanya kila kitu kuhakikisha gharama za ujenzi zinakuwa ndogo- hata jenga nyumba imara saana akijua kwamba baada ya miaka 10 au miaka waliokubaliana haitakua ya kwake tena!
Matokeo yake Ratio ya cement inakua ndogo na hata cement inayotumika sio ile grade inayohitajika kwa ajili ya ghorofa, Nondo zinakua chini ya kiwango nk.
Au wengine wanauziana Floor… lets say mjengo ni ghorofa mbili mtu anauziwa ajenge Floor ya tatu!
Hii ndio mbaya zaidi, maana unapata mwanzo wakati ghorofa linajengwa BASEMENT iliwekwa ya uzito wa ghorofa mbili (materials nk) lakini kwa ajili ya tamaa - wanajenga ghorofa tatu hadi tano!
Mwisho wa siku inakua very weak💔
Sijui nataka kusemaje ila mwisho wa siku haya yote yanatokana na UFISADI NA UCHAWA uliopitiliza…
Ofisi zetu zilizopewa mamlaka ya kusimamia mambo kama haya hazifanyi kazi kwa UADILIFU!
Na matajiri wengi wanajificha kwenye chama tawala sio kwa sababu wanakipenda saana hapana… kwa minajili iwe rahisi kwao kupata shortcut na favor zisizo stahili!
Mtu akiwa mjumbe wa kamati kuu au hata mwanachama anaetambulika akienda ofisi ya umma amepiga kofia au shati la kijani jambo lake kupelekwa mbio mbio ni rahisi saana!
Au mtu akiwa na fedha- hebu fikiria mfano kupata passport tu inaweza chukua hadi miezi miwili kuipata- lakini kuna mtu passport anaweza kuipata ndani ya masaa 48.
Shortcut zinakuwa nyingi saaana💔 process hazifuatiliwi kabisaaa-