“If you are silent about your pain, they’ll kill you and say you enjoyed it.”- Zora Neale Hurston
Today l turn 42 years old. Almost two months ago, Agather and l were abducted and tortured in the most inhumane and gruesome way. Our respective governments played a role in our torture. I come from a country where the president fought to get a convicted murderer, and also a drug trafficker held abroad, pardoned. For us, it took the efforts of our family, friends, and strangers on social media to fight for our release. The Tanzanian police did terrible things to us, and it will take time to heal, but none of the things they did broke our spirits.
Two months later, we're still struggling to walk properly due to the injuries inflicted during our torture, and some of the wounds will take time to heal. Mentally, it’s hard. The psychological and physical torture we went through left a hole in me. I wake up with severe pain in my chest - it's not physical, it’s emotional, like someone has pierced my heart. My heart hurts. A lot. When I’m seated and l quiet myself, my body becomes engulfed with an overwhelming sadness. I sometimes find myself crying alone. When l move, I’m in pain. I can take medication for the physical pain, but the mental anguish is too much, and there is no medicine for that.
Our torturers intended to break us, steal our sanity - and a part of me cracked a bit - but we survived and I know for sure that l will heal, and will never stop the good fight. My wounds will heal, and l will wear the scars left behind proudly.
I shall not let our torturers win by giving up the good fight. l will continue the struggle of fighting for a better Kenya, a better Africa, and a better world. Agather and l are alive and able to continue fighting because you fought for us. Thank you.
To celebrate my birthday, I shall take a break from social media for some time to focus on healing. I'm alive for a reason, and l will not let what happened to us define or scar me forever.
Don’t stop injecting, continue organising, and mobilising to ensure Kasongo is a one-term president. He cannot kill us, and lead us. #RutoMustGo
‼️🚨Breaking news!‼️
Nduli Idd Amin Mama anahangaika sana kujisafisha na mauaji ya Oktoba 29.
Kwa mara nyingine tena Nduli na genge lake wameingia Mkataba mwingine na lobby firm ya BGR ambapo Nduli amekubali kulipa USD laki mbili na nusu kwa mwezi ambayo ni sawa na Tsh milioni 670 na ushee kwa mwezi!
Ambapo kwa mwaka Nduli na genge lake watailipa hiyo kampuni dola milioni 3 za Marekani ambayo kwa pesa ya madani ni kama bilioni 8 na ushee.
Wakati huo Serikali haram haina pesa hata za kulipa mishahara kwa baadhi ya kada.
https://t.co/KgKxJy0XBM
Mwenyekiti @TunduALissu ameingia ndani ya chumba cha mahakama kuu, ukumbi namba 01 akiwa na tabasamu na furaha kubwa kama siku zote. Magumu yote anayoyapitia hayajamkatisha tamaa, we are proud of you Chairman 💪
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI
Part 228
Anaendelea Mhe. Lissu
Sasa Waheshimiwa Majaji naomba nimalizie nisiwachoshe.
Hoja yangu inahusika na maamuzi ambayo hayamalizi kesi, kesi bado ipo na tutakapoenda kwenye substance nitawaoneshe Majaji kwenye hicho walichokileta wao wenyewe ambavyo kesi bado inatusubiri.
Kwa bahati mbaya wametupotezea muda sana hivyo nawaombeni Waheshimiwa Majaji mkatae maombi hayo.
Anasimama Katuga anasema Waheshimiwa Majaji maombi yetu yameletwa chini ya kifungu cha 6 kifungu kidogo cha 3 cha Sheria ya mamlaka ya rufaa ya mahakama hii na kanuni ya 65 kanuni ndogo ya 1. Waheshimiwa Majaji ukisoma notice yetu inataja kifungu cha 6 cha Sheria ya mamlaka ya rufaa ya mahakama hii, Waheshimiwa Majaji lalamiko la mjibu maombi lisingekuwepo kama angeipitia kanuni ya 48.
Jaji anamwambia Katuga ulishamaliza usilete jambo jipya nenda moja kwa moja kwenye maombi.
Katuga anaendelea
Waheshimiwa Majaji maombi yetu yamejikita kuiomba Mahakama hii tukufu iweze kuangalia uhalali na usawa wa muenendo wa shauri lililoko mbele ya Mahakama kuu.
Maombi haya yametokana na mzizi wa upande wa Jamhuri kuleta notice ya kuongeza ushaidi ambao haukusomwa wakati wa commital na upande wa Jamhuri ulifanya vile kuendana na kifungu cha 308 cha CPA, kifungu hiki Waheshimiwa Majaji kinaweka zuio kwamba hakutakuwa na ushahidi ambao utaongezwa Mahakamani kama ushahidi huo haukusomwa hautaruhusiwa kuongezwa unless upande wa Jamhuri utatoa notice ya kuongeza ushaidi huo.
Tunatakiwa kutoa notice ili mshitakiwa asikutane nayo by surprise, kifungu hicho kinaitaka Mahakama wakati inafanya reasonablity ya notice ifanye vitu gani.
Mahakama wakati inatakiwa kutambua reasonablity ya notice inapaswa kuzingatia kifungu cha 308 kifungu kidogo cha 3 inatakiwa kuuchambua ushaidi wenyewe.
Naona Job Mrema ni kama kambonyeza Katuga ameinama sijui wanaongea nini na wenzake,
Halafu sio mara moja kila baada ya sentence kadhaa vikao vinakuwa vingi.😤
Anaendelea Katunga
Mahakama ilienda kuangalia huo ushahidi katika ukurasa wa 431 wa muenendo wa Mahakama kuu na kuita ni ushaidi mpya umekusanywa baadae na hivyo wamekataa.
Ushaidi unakatakiwa pale ambapo unakuwa umefikishwa Mahakamani baada ya kuwa umepimwa ndipo Mahakama inaamua uingie au usiingie, upokelewe au usipokelewe lakini hauwezi kuamuliwa wakati unakuwa introduced.
Kifungu cha 308 kimetoa nini Mahakama inafanya, ndo maana kwenye maombi yetu tunasema tumenyimwa haki ya kusikilizwa in relation na huo ushahidi.
Haki ya kusikilizwa ni haki ya kikatiba, maana ya hii haki ya kusikilizwa ni kumpa mtu haki ya kumsikiliza full kwa utimamu ndo maana Mahakama ina vitu vitatu vya kupima.
Ushaidi unapimwa unapokuwa umefika Mahakamani, kusema ushaidi ni mpya usiletwe ni kuukataa ushaidi kabla hata haujafika Mahakamani.
Mahakama hata haikuusikia ushaidi lakini ikaenda kusema ushaidi huo ni irrelevant.
Utaratibu wa proceeding ulikuwa umekiukwa na ukiukaji ambao unaenda kwenye shauri yenyewe na ndiyo maana upande wa Jamhuri tukaona kwa busara zenu muangalie hizo proceedings hatuwezi kuendelea na hizo illegalities.
Anaendelea Katuga
Tunataka Mahakama iangalie ni kwa namna gani kwa muda gani ushaidi unaangaliwa na kuwekwa kama ushaidi.
Kwenye kifungu hakuna sehemu tuliposema Mahakama iende ikaupime huo ushahidi ilikuwa ni notice tu, ushaidi kuja Mahakamani na kufukuzwa kabla ya kusikilizwa huko ni kutunyima haki.
Ni vigumu kupima ushaidi ambao hauko hata mahakamani.
Ukurasa wa 431 wa proceedings naomba muuangalie waheshimiwa Majaji, jambo hili lilikiuka taratibu za mienendo ya proceedings.
Waheshimiwa Majaji wa Mahakama ya rufani tunaomba maombi yetu yaangaliwe na yakubaliwe.
Waheshimiwa Majaji ya kwetu ni hayo tu.
Part 229 itaendelea kwenye post inayofuata.
Naomba nisaidie kushare ujumbe uende mbali.
VIDEO:
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kuwa bado kina mashaka juu ya kifo cha Suezi Dani Maradufu, aliyekuwa dereva wa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Bara, John Heche, kikisisitiza kuwa kifo hicho kimegubikwa na sintofahamu ikiwamo mlolongo wa misafara ya viongozi wao kufuatiliwa kwa siri na watu wasio na sare mpaka mkoani Kigoma ambako ndiko Suez alikutwa na umauti.
Akizungumza leo Ijumaa, Julai 3, 2026, mkoani Kigoma, Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara, Amani Golugwa, amesema chama hakitasita kuamini kuwa dereva wao alifariki kwa hali yenye mashaka hadi hapo ripoti ya maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali itakapothibitisha vingine.
Sambamba na malalamiko hayo ya CHADEMA, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, ACP Philemon Makungu, ametoa taarifa rasmi akithibitisha kukamilika kwa hatua ya kwanza ya uchunguzi wa kisayansi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kigoma (Maweni). Kamanda Makungu ameeleza kuwa zoezi hilo limefanyika kwa uwazi mkubwa mbele ya viongozi wa CHADEMA na ndugu wa marehemu, na kwamba sampuli zimeshachukuliwa rasmi ili kwenda kuthibitisha chanzo halisi cha kifo hicho.
Jioni hii, ibada fupi ya kumwombea marehemu Suez Dani Maradufu imefanyika katika Hospitali ya Mkoa wa Kigoma, Maweni, kabla ya mwili wake kuondoka na kuanza safari kuelekea Tarime, mkoani Mara, kwa ajili ya maandalizi ya mazishi.
KINACHOENDELEA KIGOMA KUHUSU KIFO CHA DEREVA WA MHE. HECHE.
Anaandika Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Deogratius Mahinyila
Ni muhimu pia taarifa zikawa zinasemwa zote.
1. Marehemu pia alikutwa na pesa Cash na nilikabidhiwa mimi kiasi cha Shilingi laki 4 na elfu 28.
2. Alikuwa ametokwa na damu mdomoni.
3. Pathologist ambao ndo wanatakiwa kufanya postmortem walifika usiku wa kumkia leo wametoka Mkoani Mwanza na Geita hadi muda huu majira ya saa nane mchana na dakika bado Postmortem haijaanza.
4. Tumejulishwa kwamba kuna Pathologist mwingine anakuja kuungana na waliopo yeye anatokea Dodoma ni wa Serikali.
5. Tumejulishwa kwamba wataalam wote hao baada ya kufika Kigoma, leo asubuhi walipelekwa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Simon Sirro, Hatujui walienda kufanya kikao cha nini na kwa ajili ya nini. Je huo ndio utaratibu wa kazi yao?
6. Hapo hapo Mkuu wa Mkoa wa Kigoma amenukuliwa na Clouds TV alisema kwamba kwa uzoefu wa Polisi (Yeye alikuwa IGP) kifo cha Maradufu ni cha kawaida tu. Je majibu ya uchunguzi yakija tofauti na maoni ya Polisi mtasemaje? Je majibu ya uchunguzi yakija kufanana na maoni ya Polisi mtakataaje kuwa ni matokeo ya mjadala uliofanyika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa leo asubuhi??
6. Muda ni Mwalimu mzuri. Ukweli una tabia ya kuchelewa kidogo kibinadamu lakini lazima utajidhihirisha ndani ya wakati wake sahihi, tuupe muda nafasi.
7. Sisi tutaendelea kuwepo hapa Mochwari hadi hapo Wataalamu watakapofika na Uchunguzi kufanyika. Matokeo yoyote ya Uchunguzi yatatusaidia kuweka sawa kumbukumbu ya kila jambo.
Mahinyila.
02/07/2026.
Maweni, Kigoma.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu ameiomba Mahakama ya Rufani kuamuru Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) amlipe fidia kwa kuchelewesha shauri lake katika kesi ya uhaini.
KINACHOENDELEA KIGOMA KUHUSU KIFO CHA DEREVA WA MHE. HECHE.
Anaandika Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Deogratius Mahinyila
Ni muhimu pia taarifa zikawa zinasemwa zote.
1. Marehemu pia alikutwa na pesa Cash na nilikabidhiwa mimi kiasi cha Shilingi laki 4 na elfu 28.
2. Alikuwa ametokwa na damu mdomoni.
3. Pathologist ambao ndo wanatakiwa kufanya postmortem walifika usiku wa kumkia leo wametoka Mkoani Mwanza na Geita hadi muda huu majira ya saa nane mchana na dakika bado Postmortem haijaanza.
4. Tumejulishwa kwamba kuna Pathologist mwingine anakuja kuungana na waliopo yeye anatokea Dodoma ni wa Serikali.
5. Tumejulishwa kwamba wataalam wote hao baada ya kufika Kigoma, leo asubuhi walipelekwa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Simon Sirro, Hatujui walienda kufanya kikao cha nini na kwa ajili ya nini. Je huo ndio utaratibu wa kazi yao?
6. Hapo hapo Mkuu wa Mkoa wa Kigoma amenukuliwa na Clouds TV alisema kwamba kwa uzoefu wa Polisi (Yeye alikuwa IGP) kifo cha Maradufu ni cha kawaida tu. Je majibu ya uchunguzi yakija tofauti na maoni ya Polisi mtasemaje? Je majibu ya uchunguzi yakija kufanana na maoni ya Polisi mtakataaje kuwa ni matokeo ya mjadala uliofanyika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa leo asubuhi??
6. Muda ni Mwalimu mzuri. Ukweli una tabia ya kuchelewa kidogo kibinadamu lakini lazima utajidhihirisha ndani ya wakati wake sahihi, tuupe muda nafasi.
7. Sisi tutaendelea kuwepo hapa Mochwari hadi hapo Wataalamu watakapofika na Uchunguzi kufanyika. Matokeo yoyote ya Uchunguzi yatatusaidia kuweka sawa kumbukumbu ya kila jambo.
Mahinyila.
02/07/2026.
Maweni, Kigoma.
The One and Only Tundu Lissu 🔥🤣
Yaani ye sasa akisema “haliishi mpk liishe” ndo unatakiwa kuelewa! No retreat! No surrender 💪🏽
Leo kimama kitalala na viatu na liroho lake chafu lenye husda!
Rais! Rais! Rais!
Kimama kitaugua kabisa leo maana watanzania Rais wetu ndo huyu Tundu Lissu 👊🏽
Mungu atasimama na kudhihirisha Ukuu wake muda si mrefu!
Tuseme AMEN 🙏🏽 #FreeTunduLissu
Abdul na Sumai kwani Mzee Suez Maradufu amewakosea nini kikubwa mpaka mkaona adhabu ambayo anastahili kupewa ni kuuwawa kwa sumu?
Mbona Mzee wa watu hata hakuwa na shida na mtu yeyote, alikuwa busy na kazi yake ya kumuendesha Mhe. Heche au kosa lake ni kuwa Dereva wa Heche?
Mnahitaji kumwaga damu za watu wangapi ili mtosheke, Oktoba 29 mliuwa waTanganyika wenzetu zaidi ya elfu kumi,
Tangu Nduli Idd Amin Mama aingie madarakani hadi leo mmeteka na kupoteza watu zaidi ya 400 na bado mnaendelea kuteka na kuuwa watu.
Watanganyika wenzangu, hakuna wa kutuokoa, tusiposema inatosha Nduli Idd Amin Mama na genge lake watatumaliza.
Julai 7, 2026 tusimame kwa umoja wetu bila kujali itikadi zetu, tuseme inatosha.
#77Tunatoka #7UP #FreeTanganyika #FreeTanzania