Mapema leo wazee wa Mkoa wa Mara wamekutana na Makamu Mwenyekiti Mhe. John Heche na kumpatia zawadi.
Tuendelee kuchangia chama kupitia
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
NMB Bank
Namba ya Akaunti: 22606600140
Jina la Akaunti: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
‼️TAARIFA MBAYA‼️
Usiku wa leo, majira ya saa kumi, watu wanne waliokuwa na silaha za moto na vifaa vinavyodaiwa kutumika kuvunja mlango, huku wakiwa wameficha nyuso zao kwa vitambaa na bila kujitambulisha, wanaripotiwa kuvamia nyumbani kwa Katibu wa Wilaya ya Shinyanga wa BAVICHA, Alfred Masanja, na kuondoka naye.
Hadi sasa, haijafahamika alipelekwa wapi wala ni akina nani waliohusika na tukio hilo.
Tunafuatilia kwa karibu taarifa za tukio hili na tutatoa taarifa kamili leo Asubuhi
Jackson Mnyawami
Katibu wa Kanda ya Serengeti.
Wanaharakati, please tuelimishe wananchi jinsi ya kufanya maandamano ya kutokea ghafla bin vuup huku tukiendelea kujipanga na maandamano ya amani ya AFCON.
Tuwafundishe wananchi jinsi ya kutumia mikusanyiko kama ya mpira au chochote kile kuanzisha maandamano ya amani hapo hapo. Na kwamba wananchi wakiona tu maandamano yameanza eneo flani na wao waandamane hapo hapo kwenye maeneo yao.
Yani tuwafundishe ujanja wa kulipuka na maandamano ili tusiwape nafasi serikali haram ya kufanya chochote kuzuia maandamano.
Let’s talk about this as much as we can………Yani lazma tuweke hii idea kwenye kichwa cha kila Mtanzania.
MAANDAMANO YA AFCON YAPEWE NGUVU KUBWA!!! MACHO YA AFRICA NZIMA YATAKUWA TANZANIA, LAZMA TUITUMIE NAFASI HII KUKOMBOA NCHI YETU KUTOKA KWA FAMILIA HIZI CHACHE ZILIZOJIMILIKISHA NCHI YETU, FAMILIA YA KIKWETE , FAMILIA YA KIMAMA na MBWA ZINGINE.
Asante sana Mange na Watanzania wote mnaoendelea kuchangia Chadema michango yenu inazidi kuiimarisha na kuwanyong'onyesha Mamumiani wanaotaka kuiua Chadema. Niwaombe Watanzania tuchangie Chadema kwa malipo ya kujirudia kila mwezi 0744 446969 na kuipa Chadema mapato ya kudumu.
Vitol yuko na nani?
Nani wamempa tenda ambayo Watanzania wanauziwa mafuta kwa usd 200-260 wakati Uganda anauziwa usd 83 na Msumbiji anauziwa usd 90.
Hawa Namaro waliosajiliwa Dubai mwaka 2023 ni kina nani? Wana uhusiano gani na wizi huu mkubwa unaoumiza Watanzania.
Vyombo vya habari Tanzania kwanini hamfuatilii na kuandika huu ujambazi unaongamiza Nchi kwenye wizi wa mafuta..
TPDC kwanini hawakutoa tenda shindanishi katika suala kubwa kama hili la mafuta.
Mtuacheni tuichangie Chadema acheni wivu maneno ya mwananchi.
CHANGIA SASA
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
NMB Bank
Namba ya Akaunti: 22606600140
Jina la Akaunti: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
TAARIFA MBAYA
Usiku wa leo, majira ya saa kumi, watu wanne waliokuwa na silaha za moto na vifaa vinavyodaiwa kutumika kuvunja mlango, huku wakiwa wameficha nyuso zao kwa vitambaa na bila kujitambulisha, wanaripotiwa kuvamia nyumbani kwa Katibu wa Wilaya ya Shinyanga wa BAVICHA, Alfred Masanja, na kuondoka naye.
Hadi sasa, haijafahamika alipelekwa wapi wala ni akina nani waliohusika na tukio hilo.
Tunafuatilia kwa karibu taarifa za tukio hili na tutatoa taarifa kamili leo Asubuhi
Jackson Mnyawami
Katibu wa Kanda ya Serengeti
Utasikia, “Mheshimiwa, tuko pamoja” Kama maneno haya yangekuwa vitendo, CHADEMA ingekusanya Bilioni 1 ndani ya masaa 12.
Bilioni 1 ni watu 500,000 wakitoa Sh 2,000 kila mmoja; watu 100,000 wakitoa Sh 10,000 kila mmoja; au watu 100 tu wakitoa Sh Milioni 1 kila mmoja. Tusiruhusu maadui zetu watucheke. Tusimame kwa vitendo, si kwa maneno pekee.
Tukiamua, tunaweza kukusanya hata Bilioni 10 ndani ya wiki moja. Impossible is Nothing.
M-PESA: CHADEMA HQ – 0744 446 969
CHADEMA NMB: 22606600140
Mwandishi wa Habari wa Jambo TV na mwanachama wa CHADEMA kutoka Mkoa wa Mbeya, Kevin Ndabila, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya baada ya kukamatwa jana jioni.
Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana, Kevin alikamatwa na askari wa Jeshi la Polisi na kupelekwa katika Kituo Kikuu cha Polisi (Central) Mkoa wa Mbeya, ambako anaendelea kushikiliwa hadi sasa.
Hata hivyo, mpaka sasa Jeshi la Polisi halijatoa taarifa rasmi kuhusu sababu za kukamatwa kwake wala kosa analodaiwa kutenda.Jambo lilalo ibua maswali kutoka kwa familia,marafiki, wanahabari wenzake na viongozi wa CHADEMA, ambao wanataka kuwepo kwa uwazi kuhusu msingi wa kuendelea kumshikilia.
Tunaliomba Jeshi la Polisi kutoa taarifa rasmi kuhusu sababu za kumshikilia Kevin Ndabila na kuhakikisha haki zake zote za kisheria zinazingatiwa kwa mujibu wa sheria za nchi.
#FreeKevinNdabila
#SikuYaVijanaDuniani
#FreeTunduLissu
#KijanaNaKatiba
#TukutaneDodoma
SATIVA AMETIMIZA AHADI YAKE, SASA CHALLENGE MPYA NI MILIONI 200! 🔥
Watanzania mmeonyesha kwamba mkiamua, mnaweza. Baada ya kufanikisha lengo la TSh. Milioni 100, Sativa ametimiza ahadi yake kwa kuchangia TSh. Milioni 2 kwa ajili ya Baraza Kuu la Umma.
Lakini safari haijaishia hapo.
Sativa ametangaza Challenge mpya: Watanzania wakifikisha TSh. Milioni 200, naye atachangia tena TSh. Milioni 3 kwa ajili ya Baraza Kuu la Umma.
Challenge imeanza! Tumeonyesha tunaweza kufikisha Milioni 100, sasa tuungane tena tufikishe Milioni 200 na tuandike historia nyingine.
TUENDELEE KUCHANGIA KUFANIKISHA BARAZA KUU LA UMMA.
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
NMB Bank
Namba ya Akaunti: 22606600140
Jina la Akaunti: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Kwenu Gen Z,
Oyaa! Mzigo umepanda. Target imehama, sasa tunaelekea Bilioni 5.
Msiache hii iwe kazi ya watu wachache. Kizazi chenu kimeonyesha mara nyingi kuwa kikiamua, hakuna kisichowezekana.
Mmebadilisha mijadala, mmeamsha matumaini, mmefanya sauti ya mabadiliko isikike kila kona ya nchi. Sasa ni wakati wa kuipa sauti hiyo nguvu ya mchango.
Tusibaki kwenye likes, reposts na hashtags pekee. Tuweke pia alama zetu kwenye Tone Tone.
Usichangie kwa sababu umeombwa. Changia kwa sababu unaamini. Hata elfu mbili yako ni sehemu ya Bilioni 5 tunayoiandika pamoja. Hakuna mchango mdogo unapokuwa wa watu wengi wenye imani moja.
Tonesheni Tone Tone. Tufanye historia pamoja, ili kesho tukisimulia ushindi huu, kila mmoja aweze kusema, “Nilikuwepo.”
CHADEMA MPESA- 0744446969
Wenu katika Struggle,
G. J. L
Maridhiano mnayojadili ni kati ya nani na nani? CCM na CHADEMA? CCM iko Polisi, CHADEMA iko Ukonga. Sasa tufanyeje? Tuwafungulie CCM kutoka Polisi na CHADEMA toka Ukonga, ndipo tutapata fursa ya maridhiano ya aina yoyote!
Jioni ya leo nimepata fursa ya kuongea na wazee wangu wa Mkoa wa Mara..
Asante sana Wazee wangu kwa zawadi ya mbuzi na mikungu ya ndizi.
Focus yetu ni mambo mawili makubwa Free Tundu Lissu na Katiba Mpya .
Tuendelee kuchangia Baraza Kuu la wananchi, Mchango kwasasa uko zaidi ya milioni 120 mahitaji ya baraza kuu ni milioni 334.
TUENDELEE KUCHANGIA
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
NMB Bank
Namba ya Akaunti: 22606600140
Jina la Akaunti: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
@mangekimambi@mawetarimo@ChademaTZ2 Barikiwa sana @mangekimambi . One thing for sure ipo siku hata kama sio sisi kizazi hiki kitashuhudia tanzania iliyobora sana sana. People tuhimizane kwenye vitendo wapambanaji hawa wametoa hadi maisha yao walio wengi
Nimeshatoa michango mingi kwa @ChademaTZ2 ila leo nimetoa tena sababu kuchangia chadema mara moja haitoshi lazma tuchangie kila mwezi.
Hakuna tena kusapoti Chadema kwa mdomo na comments, ni lazma tusapoti kwa kutoa pesa, kama msemo unavyosema “put your money where your mouth is”.
Diaspora mlioko nje na hamuogopi kutuma pesa kwa Chadema please tuma pesa sasa hivi
Vodacom Mpesa - 0744 446969
Jina: Chadema HQ
Bank : NMB - 22606600140
Jina : CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO.
Kwa Diaspora ambao mnaogopa kuwatumia pesa Chadema coz mtakuwa targeted mkienda bongo kutembea, huyu mpiganaji wetu @Liberatus80 amejitolea kupokea pesa zenu kupitia Cashapp, PayPal, zelle na njia zingine then atazifikisha Chadema.
Mimi pia najitolea kupokea michango ya Diaspora wa nchi yoyote sio Marekani tu ambao mnaogopa kuwatumia Chadema pesa then nitawafikishia, you can use PayPal @[email protected]
Au Zelle 424-537-3057
Au cashapp: $mangekimambi
Au banking:
Bank: Wells Fargo
Account #: 8433034900
Domestic wire (US) - 121000248
International wire- WFBIUS6S
Agenda ya kufunika wizi mkubwa kwenye sketa ya mafuta.. Watanzania msikubali.
Tunataka kujua kwanini Vitol ametuuzia mafuta kwa usd 260 sawa sh 689,000.
Wakati huo huo anawauzia Uganda mafuta hayo hayo kwa USD 83 sawa na sh 212,000
Msumbiji usd 90 sawa na 238,500.
Hawa watu wanaoitwa NAMARO na TPDC wamehusikaje kwenye huu ufisadi wa kufilisi Nchi.
Huu ni uhujumu uchumi mkubwa kuwahi kutokea katika Nchi hii.
Kuna zaidi ya 1.2 trilioni imeibiwa katika mafuta.
Katibu mkuu wa Nishati bwana Mataragio alisema tuna mafuta ya kutumia miezi mitatu.
Watanzania tusikubali huu wizi.
Leo amezaliwa Mh. John Heche tuungane kumtakia maisha marefu.
Happy birthday John Heche.
CHANGIA SASA
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
NMB Bank
Namba ya Akaunti: 22606600140
Jina la Akaunti: Chama cha Demokrasia na Maendeleo