"It takes a village to raise a child" ~ African proverb.
Grateful to my team @taitanzania @taiplustz, our partners, fans and everyone who is supporting our work.
Together, we can do so much!
Yesterday, it was my honor to announce new investments in African youth programming and entrepreneurship. Africa is home to the youngest population in the world, and the ideas, innovations, and initiatives of these young leaders will benefit all of us.
There is a deeper systemic problem here, beyond what you see on the surface. Here is a video that can help you to understand the challenges we face as a country.
https://t.co/0kLerfTjSw
Kwa mujibu wa ripoti za mwisho za IMF, Uganda imefanikiwa kuipiku Tanzania kwa GDP per capita baada ya zaidi ya muongo mmoja Tanzania ikiwa mbele.
Ingawa mimi bado siamini kabisa kuwa per capita ni kipimo cha maana cha kuangalia kwenye maendeleo ya watu.
Gharama ya ujenzi wa hii hospitali ni $62 million. Ujenzi wa Muhimbili mpya unakadiriwa kuwa $468 million.
Natumai tutapata kitu kikubwa na bora angalau mara 10 zaidi kwa sababu uwekezaji wetu ni mkubwa maradufu.
ILI TAIFA Lipone linahitaji mambo Muhimu 5
1. Tume ya Ukweli,Haki na Uwajibikaji kuhusiana na matukio ya Mauwaji na upotezwaji wa watu na Miili Kabla,wakati na baada ya uchaguzi
2.Kuachiliwa kwa mahabusu wote ,wafungwa wakisiasa ikiwamo kuachiliwa kwa Wakili Tundu Antipas Lissu.
3.Kuhuishwa kwa sheria ya Uandikwaji wa Katiba Mpya na Kuweka utaratibu utakao anzia pale Tume ya Warioba ilipoishia.
4.Kuruhusu Uchunguzi huru wa Kimataifa kuhusiana na matendo yote yanayohusiana na ukiukwaji wa haki za Binadamu na haki za kiraia.
5.Raia wote kujikana kukataa rushwa,hofu,woga,kukataa hila na ghilba za kisiasa na kutanguliza maslahi Mapana ya Taifa mbele
UKWELI,HAKI NA UWAJIBIKAJI UTALIPONYA TAIFA.
BAK MWABUKUSI.
Do you know that English teams have played 11 Champions League finals where they scored first, and they went on to win 9 of them? The only two times they lost were Arsenal in 2006 and 2026. 😂😭🏆❌
BEIA YA MAFUTA IMESHUKA katika soko la Dunia sasa wakati wa Kupanda inapanda ghaflayaani ikipanda asubuhi mchana lazima huku tupewe kipenyo lakini cha ajabu sasa Imeshuka wameanza longo longo eti wanaangalizia kushuka zaidi yaani imeshuka kwa Asilimia 20?! halafu bei zisibadilike? Hii ni maajabu
Ni kweli wengine hatukusoma hesabu na ukokotoaji wa hesabu nisuala la kitaaluma tulikimbilia somo la Siasa but the number is not adding hapa tunapigwa.
Hivi hata hili Wabunge pale Dodoma nalo mnashindwa kuwalinda wananchi?
BAK MWABUKUSI.
Subbed off Dembélé right before the 90th minute.
Subbed Kvaratskhelia.
Subbed Vitinha and Fabián Ruiz too, despite them being among the main penalty takers.
And did you see a single negative reaction from any of them? No complaints, no ego, no frustration. Just trust in the manager and commitment to the team.
That is exactly what Luis Enrique has built at PSG - a real team before individuals. A dressing room fully connected to the manager and the system 🤝
Back-to-back Champions Leagues don’t happen by luck. Massive respect to Enrique and PSG, fully deserved. There’s genuinely a lot for every club in Europe to admire from this project. 👏🏆
Arsenal have set the record for the lowest possession percentage for a team playing in a Champions League final (since records began in 2003-04).
The previous lowest record was also Arsenal, set in the 2006 Champions League final, which they played 72 minutes with 10 men.
Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu Prof. John Ruhangisa amesema hayo wakati akifanya mahojiano maalum ya kipindi cha Katiba Kitaa jijini Arusha.
#KatibaKitaa
Port Imperialism by EMirates means to control the ports allthe from Sudan to Dar Es Salaam. Their goals:
1st to become the biggest port than Singapore
2nd Looting African gold illegally.
Words from Mohammad Hussein (Ethiopian Diplomat)
https://t.co/b1gKByIgeT
The saddest thing about unemployment is not just lack of income, but watching millions of young people slowly lose hope despite being educated and capable.