MBOGAMBOGA, mmechanganyikiwa!
Tumeona propaganda zinazoenezwa na mwenezi wenu zikituhumu CHADEMA kupanga maandamano na vurugu. Huu ni uongo mtupu. Hakuna kikao chochote kilichofanyika kupanga jambo hilo. siku tukiamua kufanya hivyo, tutaweka wazi kwa umma bila kificho kwa sababu maandamano si jinai. Tunaelewa, huu ni mkakati wa kutengeneza visingizio ili kukamata, kuteka, na kupoteza vijana wetu kutokana na hofu mliyonayo baada ya kuona nguvu ya CHADEMA mtaani. Mnaogopa maandamano? Tangu lini ni haramu? Badala ya kuzuia haki za kiraia kwa nguvu, shughulikieni changamoto zinazowakabili wananchi. Sikiliza; you can’t heal diarrhea by stitching the anus. #freetundulissu #tundulissusiomhaini
This is Awadh Juma Haji @IntlCrimCourt
👇🏾
Potential IGP candidate of Samia Suluhu! A man accused by police and citizens of crimes against humanity and being instrumental in enforcing “shoot to kill”orders in October 2025 #TanzaniaMassacre
Hapa lazima tuelewana mwaka huu!
#TutaelewanaTu #SamiaMustGo
Nawaambia watanzania WAMECHOKA! Na wamewachoka CCM zaidi tujuavyo!
Kata ya Ngarenaro wananchi wamekasirika na wamemchoka Diwani wao, Dogo Janja ambaye tangu awekwe na uchaguzi feki madarakani kapotea Wananchi hao wanaeleza diwani amekuwa akijificha ofisini na hajafika mitaani kusikiliza changamoto na kero zinazowakabili
7/7 ndo siku ya kueleza kwa pamoja kero zetu ✊🏽🔥 Tusiogope kabisaa! Wamebaki na vitisho ila #SamiaMustGo #CCMmustgo #TutaelewanaTu
After 22 years of being mocked for not winning the league title, it’s now been 22 days since Arsenal won the premier league title.
To put that into perspective, it’s been 3 weeks and 1 day.
‼️🚨#EnforcedDisappearance#Tanzania ‼️
Ramadhani Ally was abducted in Katavi region two days ago at night and family is unable to locate him at police stations! More repression and violence from Samia Suluhu and her murderous cabal
#SamiaMustGo
Nyie @tanpol mkianza kupigwa ban acheni kulialia kama Mafwele! Huu upumbavu wa kuteka watu acheni na mwachueni Ramadhani Ally!
Utekaji sasa basi!
RPC wa mkoa wa Pwani, ACP Salim Morcase amezuia shughuli za Chadema za uzinduzi wa vizimba iliyokuwa ifanywe na Katibu Mkuu John Mnyika asubuhi ya leo Jumamosi, Juni 13, 2026.
RPC huyo alipoulizwa alisema amezuia kwasababu Chadema haijamuandikia barua ya kutaka kufanya shughuli hiyo.
Madai hayo ya Morcase hayapo kwenye sheria yoyote wala kanuni zozote zilizopo kwenye ardhi ya Tanzania.
🚨‼️HUYU NDO MKE WA AWADHI JUMA HAJI, ALIYETOA ORDER YA ‘SHOOT TO KILL’ OCTOBER 29‼️
Jina lake anaitwa Eliza Joseph, huko mitaa ya Facebook anajiita Ellyzer Joseph
Eliza amesoma shule ya Tarakea High School.
Hapo awali Eliza alikuwa Askari wa usalama barabarani ila baada ya kuolewa na Awadhi alimuhamisha huko kwenye uTraffic na kumfanya kuwa Polisi wa kawaida ambapo kituo chake cha kazi ni Oysterbay Polisi.
Eliza na Awadhi wanamtoto wa kike anaitwa Tiffa, wanaishi maeneo ya UNUNIO, Jiji Dar es Salam
Namba yake ya simu ya Eliza ni +25565230655x
Mkimuona huko njiani basi mjue ni mme wake ndo alitumika kutoa order ya kuuwa Watanganyika wenzetu Oktoba 29.
Cc @IntlCrimCourt
This goon Clemence Mwandambo is a man who got fame for appearing to back peaceful protests in October 2025 and later the family claimed he was abducted. Since his release, he has changed and now is openly threatening with gun and violence peaceful protestors on 7/7
He is now a proxy of Abdul Ameir - and they are planning a new massacre!
Kindly note and keep him on record for further action during the trial! Cc @SenateForeign@SFRCdems@US_SrAdvisorAF@StateDRL@UN_HRC@WorldBankAfrica@IMFAfrica
Kama ni upumbavu basi ni hii! Mwandambo ameji-incriminate na atakuja kuwa shahidi au mshtakiwa! Asifikiri ni sifa kutisha watu na bastola ya Abduli?! Tunajua ametumwa na Abduli kuleta gumzo - he is just pathetic!
Kesho yakimpata asilalamike eti alilazimishwa - kajitakia mwenyewe
Acheni vitisho 🚮 mnatia watu hasira - mnafikiri ninyi mtaishi milele!
Tusiogope wapendwa! Tumeshashinda hawa wamepagawa
#TutaelewanaTu #SamiaMustGo
RPC wa mkoa wa Pwani, ACP Salim Morcase amezuia shughuli za Chadema za uzinduzi wa vizimba iliyokuwa ifanywe na Katibu Mkuu John Mnyika asubuhi ya leo Jumamosi, Juni 13, 2026.
RPC huyo alipoulizwa alisema amezuia kwasababu Chadema haijamuandikia barua ya kutaka kufanya shughuli hiyo.
Madai hayo ya Morcase hayapo kwenye sheria yoyote wala kanuni zozote zilizopo kwenye ardhi ya Tanzania.
BAJETI 2026/2027. Hapa jambo kubwa ni je mikopo yetu ni HIMILIVU? Hapana imezidi. Kwani kwa takwimu hizi
Mapato ya serikali ni Shs T36.99 kodi+T9.24 mengineyo =T36.23.
Madeni ni T7.84 yaliyoiva+T6.86 riba=T14.70.
Madeni kama asilimia ya mapato halisi ya serikali : T14.70/T36.23 = 40.57%.
Deni himilivu halitakiwi kuwa zaidi ya asilimia 18% ya mapato ya serikali. Kwa hiyo tumevuka mpaka (kima cha juu) hata kama WAKOPESHAJI watatwambia vinginevyo. Bila misaada zaidi TWAFA🏃🏻♂️🏃🏻♂️🏃🏻♂️Kodi zikizidi uwezo wa wananchi kulipa zinakwepwa au kufirisi walipaji. Inakuwa vicious circle.
Justice for Tanganyika 🙏⏰ In real diplomacy, space is created through the disciplined pursuit of truth, dialogue, and accountability-not through threats, manipulation, or attacks to those speaking truth. Human rights and dignity are non-negotiable. Real diplomacy does not ignore pain; it confronts it with honesty, creating space where truth can be addressed and healing can begin.
It’s the 2nd day of the World Cup. If you add a 0 behind the number 2, you’ll get 20 and that’s exactly the number of days since Arsenal won the league title.
‼️🚨FAKE NEWS HADI MWANANCHI??‼️
Nyie Mwananchi huu waraka mnaosema ndo wa Kamwaga? Nyie ni waandishi au bloggers? 🙄 mnaandikaje eti “waraka” wa nani ? So hata waraka wangu mtautoa kama headline? Shoddy job!
Tuelewe kuwa Senate ya Marekani ko very ttansparent! Kila kitu kiko mtandaoni!
Tokea May 19 ilivyotolewa muswada huu hakuna marekebisho YOYOTE yaliyofanywa! Leteni ushahidi wa marekebisho mapya tokea May 19! Pili hata hayo mnayoongelea si kweli!
Hoja 1: ushirikiano wa kijeshi
Hivi ndivyo muswada unasema kuhusu mahusiano ya kijeshi na usalama
“Kufanya tathmini ya uhusiano kati ya
Serikali ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China, ikijumuisha-
(A) ushirikiano wa kijeshi na usalama, ikijumuisha mafunzo; mazoezi, uhamisho wa silaha, na ushirikiano kati ya vyombo vya ulinzi, ujasusi, au vyombo vya kutekeleza sheria;”
Sasa kufanya tathmini kupo na ikiwa watagundua haiendani na maslahi yao wanaweza kusitisha uhusiano au kuweka vikwazo! Hii wameachia Executive kuamua!
Hoja 2:
Sekta zilizowekewa exception yaani hazitawekewa vikwazo ni
(1) msaada wa kibinadamu;
(2) msaada wa kiafya; na
3) msaada wa kuimarisha demokrasia, haki za binadamu, utawala bora, na asasi za kiraia nchini Tanzania.
Hakuna suala la kijeshi katika orodha hii ya exception! Maeneo yaliyowekewa ring fencing yaani kwamba hayataathiriwa ni haya matatu! Hiyo ya misaada ya usalama nionyesheni labda mna version yenu!
Narudia leteni nakala ya draft mliyo nayo iliyorekebishwa baada ya May 19 kama mnavyodai! Nje ya hapo hii ni fake news!
Sambazeni hii taarifa ifike kwenye simu ya kila mtanzania