@Royal_Tv_Tz Na awaye akawe lakini ni bora zaidi awaye awe ni Dr @TuliaAckson itakuwa ni furaha kwangu na kwa watanzania tulio wengi. Dr.Tulia Ackson nakuombea hiki kiti na kikakaliwe na wewe Inshaallah
Mwanasheria mbobezi Simon Patrick Wenfurebe, amechukua fomu ya kuomba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimteue kugombea kura za maoni ili apate fursa ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Muleba Kusini kupitia tiketi ya chama hicho.