I had an opportunity to host Tax & Investment Forum 2025 by Ministry of Finance in collaboration with the Ministry of President Office, Planning and Investment. The event was graced by Hon. Dr. Philip Isdor Mpango, the Vice President of United Republic of Tanzania
#McluvandaCorporateEvents
#LuvandaCorporate
Second Vice President of Zanzibar, Hon. Hemed Suleiman Abdulla, gracing the official Launch of Zanzibar Construction Week on behalf of Dr. Hussein Mwinyi, President of Zanzibar and Chairman of Revolution Council.
#McluvandaCorporateEvents#LuvandaCorporate
MKOPO SIO MSAADA. MKOPO NI DENI na Dawa ya Deni ni KULIPA.
Watu wengi (hususani waafrika) wakija kukopa, nyuma ya pazi wanakuja na Nia ya Kutolipa. Jitahidi sana uwe mlipaji mzuri wa madeni ili utengeneze Credit Score nzuri, uweze kukopesheka na kunufaika zaidi na mikopo katika kukuza Biashara zako.
#PersonalFinance
#Fedha
#ElimuyaFedha
#Biashara
I had an opportunity to participate in the Market Readiness Workshop & Investment Opportunities for Women and Youth 2025, prepared by Tanzania Women Chamber of Commerce (TWCC)
I spoke on "The Role of Leadership in Business Growth," with a special focus on #women’s #leadership skills, goal setting, and effective execution #strategies.
I will be speaking at "the Market Readiness Workshop & Investment Opportunities for Women and Youth 2025" by Tanzania Women Chember of Commerce. I will share my thoughts on "The Role of Leadership in Business Growth," with a special focus on women’s leadership skills, goal setting, and effective execution strategies.
I had an opportunity to host a "Dialogue Forum for Foreign Investors in Tanzania" organised by Tanzania Investment Centre (TIC) in association with Tanzania Revenue Authority (TRA) and Ministry of Foreign Affairs
I had an opportunity to lead a session on Entrepreneurship and Financial Freedom to Students for Liberty, a network of young professionals who volunteer to promote ideas of liberty and a free market economy
I had an opportunity to host the official Launch of "Inuka Money Market Investment Fund by Orbit Seurities Ltd. The Fund is regulated by Capital Markets and Securities Authority (CMSA)
#McluvandaCorporateEvents
I had an opportunity to host USAID - Africa Trade & Investment Activity held at Hyatt Regency. Guest of Honor Dr. S.S. Jafo, Minister of Industry and Trade.
#McluvandaCorporateEvents
Unamjua MC Luvanda?
Jina lake la kwenye ‘passport’ ni ANTHONY LUVANDA. Ni Mshehereshaji Maarufu. Mtu mwema kabisa.
Leo Jumatano, Julai 31, anakushirikisha kuhusu uamuzi wake wa kumaliza deni lake la mkopo wa elimu ya juu.
‘Naomba nikuhamasishe wewe ambaye bado hujaresha mkopo wako, rejesha mkopo wako ili kuweza kuwasaidia wadogo zetu nao waweze kupata…’ anasema Luvanda.
Ni rahisi, tuma taarifa za mdaiwa mwenye kipato lakini harejeshi kwa barua pepe ([email protected]); ujumbe wa WhattsApp (0739 66 55 33); kupiga simu kwenda 0736 66 55 33 kati ya saa 2:00 asubuhi hadi saa 10:00 jioni.
Njia nyingine ni pamoja na kutembelea https://t.co/31vAUVVNH7 na kuwasilisha taarifa kupitia kiunganishi cha ‘e-Mrejesho’. Pamoja na njia hizi, wananchi pia wanaweza kutuma ujumbe (DM – Direct Messages) kwenda kwenda Instagram, X (zamani Twitter) au Facebook kwa jina la ‘HESLB Tanzania’ LILILOTHIBITISHWA na lenye ‘blue tick’. @Luvanda255
#FICHUA
#KuwaHeroWaMadogo