Tanzanians still extend gratitudes and heartfelt thanks to Our Kenyan Brother Larry madowo @LarryMadowo
We acknowledge that without his consent on this matter it would not have taken a Great turn which it has taken right now
Larry You are cherished but everyone
Repost 780
SIKU IMEKUWA NA MATAMKO YA KIBABE KUTOKA KWA MABEBERU WETU SISI MBUZI JIKE MPAKA RAHA.
TUPATE COMMENTS ZA KUTOSHA WANANGU WA #D9 ISHARA YA KUWEPO KWENYE UKOMBOZI.
REPOST 200
#Disemba9Tunatoka#D9#SiriNiNamba#TUTAKUWEPO🫵🏾😎
AMERICAN LAWYERS WILL MAKE A LOT OF 💰 ON THIS CASE AGAINST META. MANGE WILL BE A MILLIONAIRE. Bookmark this twit
Keep tagging meta Restlessly we need justice We need our voice back @Meta
Repost 890
Kakaangu @LarryMadowo najua upo bize na ile documentary ya Mauaji ya kitisha yaliyofanyika Tanzania siku za GIZA.
Naomba matukio haya mawili ambayo yametoka jana na leo (Hospitali ya mwananyamala DSM na Mount Meru Arusha) yaingie kwenye Video yetu.
Usisahau sehemu muhimu ya Serikali Wamepinga video kuwa zimetengenezwa na AI japo tumeweza kuthibisha kuwa sio AI na AI imekataa kabisa kuhusika na kusisitiza video ni Halisi. Tunaomba mkanganyiko huu Uwe sehemu ya VIDEO hiyo.
Sikufundishi kazi ila hayo yataonyesha jinsi gani tulivyo na serikali KATILI sana kama watanzania.
Naomba nisaidie kumtag @LarryMadowo Barua hii FUPI imfikie.🙏🏿
REPOST 500
TUTAKUWEPO🫵🏾😎
OMG!! 😭😭😭😭 hii ni Mortuary ya Mwananyamala. Alieachia video hii anahofia mnooo maisha yake ndo maana imemchukua muda sana kunipa video hii.
Anasema kuwa polisi walikuwa wanachukua simu za manesi na madokta wanafuta video na picha na kuwatishia wasirekodi kitu, yeye alikuwa na simu 2 so akawapa simu ambayo alikuwa hajarekodi chochote wakaridhika.
Tangazo,
kwanza ukiona posti hi wewe mzalendo Reposti 🪱
wa Tanzania wote napendekeza tuchange pesa kwaajili ya wapambanaji hawa hawatakiwi kuteseka wakiwa gerezani wapo kwaniaba yetu tuungane nao
-Nguo
_Subuni
na mahitaji mengine
tupate mtu wakupokea na kusambaza,