Yooo Mange needs to be checked fr. The fight is against the government not the Zanzibaris. It would only take one unrelated killing to turn this shit into a genocide
Habari, Tafadhali Soma, Na pia Share Nasi majirani na watoto ambao Sahani Moja ya Chakula, Itaweza kuwagusa.
Kwa Pamoja, Upendo Utatuvusha katika Kipindi Hiki❤️🇹🇿
Kuna kituo cha watoto yatima kipo Tegeta Kibo huwa nakitembelea mara kwa mara kinaitwa Al-Markaz Swahilina wanaomba msaada wa chakula namba za kuwasiliana nazo ni hizo 0782517878(Mkuu wa kituo)
So many innocent lives lost, not because of fate, but because of selfish ambitions and the thirst for power😭 My heart mourns for every soul we’ve lost during this national tragedy, May you rest in eternal peace🙏You deserved better, We will never forget🕯️🕊️ #RestInPeace