Ushering in the Acting Permanent Secretary of the Ministry of Livestock and Fisheries to officiate the consultative workshop for developing NPOA -SSF Guidelines to Government officials #ssfguidelines FAOFish #ssfguidelines
Kaimu katibu Mkuu wa Wizara ya mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Bw. Magese Bulayi akifurahia jambo na Afisa Uvuvi mwandamizi ambae pia ni mratibu wa mradi (focal person) wa mwongozo wa wavuvi wadogo (SSF Guidelines) Bi.Lilian Ibegwe leo (13.3.2020) mara baada ya warsha hiyo jijini Dodoma
Washiriki wa warsha ya kujenga uelewa kuhusu mwongozo wa hiari wa kuhakikisha Uvuvi mdogo unakuwa endelevu Tanzania wakijadili masuala mbalimbali katika vikundi ikiwa ni sehemu ya kufanikisha lengo la warsha hiyo kwenye ukumbi wa Dodoma Hotel leo (13.3.2020) jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amesema ana matumaini makubwa na mradi wa Mwongozo wa Masuala ya Uvuvi Mdogo kwa kuwa mbali na kushughulika na wavuvi wadogo unalenga pia kuhakikisha wanawake wanahusishwa kikamilifu katika mnyororo wa uzalishaji.
Towards development of National Plan of Action (#NPOA )for Implementing #SSFGuidelines in Tanzania. National Task Team ( #NTT) conducted an Awareness Raising Workshop on #SSFGuidelines to Directors of Fisheries Research Institutions and gathered inputs for inclusion in the #NPOA
The Ministry of Livestock and Fisheries in Tanzania and EMEDO are implementing the#SSFGuidelines. Raising awareness on the #SSFGuidelines to stakeholders is among the key activities of the project, a Workshop conducted by #NTT to engage Fisheries Research Institutions
Official launching of Tanzania Women Fish Workers Association (TAWFA),April 2019, During the National Consultative Workshop with the Chief Guest, Permanent Secretary of the Ministry of Livestock and Fisheries, Dr. Rashid Tamatamah. #WomeninFisheries#SSF#Gender
Women make up half the global labor force in fisheries and aquaculture, supporting a dynamic economic sector crucial to food security and nutrition. Yet,gender dimension receives scarce attention. How does this lack of awareness of their contributions affect sectorβs performance?
Towards development of National Plan of Action (#NPOA )for Implementing #SSFGuidelines in Tanzania. National Task Team ( #NTT) conducted an Awareness Raising Workshop on #SSFGuidelines to Directors of Fisheries Research Institutions and gathered inputs for inclusion in the #NPOA
The Ministry of Livestock and Fisheries in Tanzania and EMEDO are implementing the#SSFGuidelines. Raising awareness on the #SSFGuidelines to stakeholders is among the key activities of the project, a Workshop conducted by #NTT to engage Fisheries Research Institutions