‼️EXPOSED: An underground Hezbollah terror tunnel, under the village of Majdal Zoun, containing hundreds of weapons and 4 launch shafts aimed at Israel.
The tunnel is 200+ meters long and 25+ meters deep, and contains 4 launch shafts and 12 rooms, including living quarters and rooms used to store explosive devices, anti-tank missiles and UAVs.
During the operation, 20+ Hezbollah terrorists were eliminated and 50+ terrorist infrastructure sites were dismantled, including observation posts and weapons storage facilities.
Kila kitu tunachokitumia leo kimebeba jasho la wanaume.
Barabara tunazopita, madaraja yanayounganisha miji, reli zinazobeba uchumi, nyumba tunazoishi, hospitali tunazotibiwa, nguzo za umeme zinazowasha miji na vijiji, hata taasisi za elimu zilizotufikisha hapa. Vyote hivi vilijengwa na kazi, muda, risks na kujitolea kwa mamilioni ya wanaume waliotutangulia na wa sasa.
Baba zetu walifanya kazi migodini, mashambani, viwandani, kwenye maeneo ya ujenzi na katika mazingira magumu ili kizazi kinachofuata kipate maisha bora zaidi. Wengi walijitoa bila kutarajia pongezi. Wengine walikufa wakiwa kazini. Wengine walibeba mizigo ya familia zao kimya kimya kwa miongo kadhaa. All these cannot be acts of selfishness.
Ndiyo maana wanawake mna deni kwa wanaume waliowatangulia, kaka zenu, baba zenu na wanaume wanaowazunguka kwa ujumla wanastahili heshima na kutambuliwa kwa sacrifices walizo-make. Na si kwa sababu wao pekee walijenga kila kitu. Wanawake pia walitoa mchango mkubwa katika kulea familia, kujenga jamii na kusukuma maendeleo, hilo halina ubishi. Lakini siku hizi mchango wa mwanaume umeanza kuonekana kama kitu cha kawaida kiasi kwamba hauonekani tena.
Tatizo la mjadala wa sasa ni kwamba mara nyingi mwanaume huangaliwa kama chombo cha kutoa. Kutoa fedha. Kutoa nguvu kazi. Kutoa ulinzi. Kutoa huduma. Kutoa matokeo, yaani dhana nzima ni extractive in nature. Anaposhindwa au kukataa kutoa, thamani yake huanza kuhojiwa.
Wanawake muanze kumuangalia mwanaume kama binadamu na siyo mgodi wa rasilimali unaopaswa kutoa kila wakati. Ana ndoto. Ana hofu. Ana maumivu. Ana uchovu. Ana mahitaji ya kuthaminiwa kama ilivyo kwa mtu mwingine yeyote.
Jamii inayotaka maendeleo haiwezi kuendelea kufurahia matunda ya kazi za wanaume huku ikipuuza utu wao. Heshima kwa mwanaume siyo zawadi, ni deni ambalo historia tayari imethibitisha.
As we age, we experience both physiological and cellular functions changes. These changes alter our physical appearances. So long as someone is alive, changes in physical appearance is inevitable. Makeups camouflage the changes, but they are there. Hakuna kigeni hapa.
Mdogo wangu, zingatia mafundisho tuliyopewa na Denzel Washington kwenye movie ya FENCES...
Fanya kwa uaminifu majukumu yako, kosea, jisahihishe, na usingoje shukrani ya aina yoyote ile. Ukiipata heshima, hewala! Usipoipata pia hewala! Siku yako ikifika kwenda kwa maulana wataendelea ulipoishia.
NB: PAMBANA NA WA NYUMBA YAKO, HAO UTAULIZWA MBELE YA HAKI.
Thank you Col. Spencer, no military takes more measures to minimize civilian casulaties than the IDF and no nation is attacked by more propoganda than Israel. Truth and Israel will prevail.
Piers, words matter.
There is a war. There is no genocide.
The IDF warns civilians before strikes, drops leaflets, makes phone calls, sends text messages, and opens evacuation routes.
Can you name a single genocide in history where the attacking side repeatedly warned civilians to leave before military operations?
This weekend alone, we lost five of our boys fighting Hezbollah face-to-face on the ground. If Israel’s goal were to kill Lebanese civilians indiscriminately, why would we risk our own troops instead of simply carpet-bombing entire areas?
You’re smart and you know this.
As for Ben Gvir: you’re citing the wrong person.
I already told you he’s a clown. A noisy and incompetent clown.
I would never have let him into my government, nor should Bibi have.
Soon we’ll be replacing this miserable government.
Ben Gvir insisted on rebranding himself as “National Security Minister” because he liked the dramatic title.
In reality, he oversees the police. He doesn’t command the IDF, doesn’t formulate military strategy, and doesn’t make operational decisions in Lebanon.
Quoting Ben Gvir to explain Israeli military policy is like quoting a loud backbencher to explain Britain’s war strategy.
Israel’s actions are determined by its government and carried out by the IDF in accordance with international law.
@MoruoKing@TrillAlbie Hata hivyo huyo Chalii siyo Pushover, maisha yake ni movie. Kutoka kuvua samaki mpaka hapo alipo siyo masikhara. Inawezekana alipata ubunge kwa hisani ya BABA, ila umashuhuri na kusaidia wenye uhitaji pindi akiwa media, vilimbeba. Usishangae akajitwalia hicho kiti.
Wadosi Wakenya Wote, I come in Peace and humility.
The vote for the Finance Bill happened yesterday; disappointingly, I was not in Parliament. I travelled out of the Country on Wednesday evening for engagements that could not have been postponed. But no explanation should absolve the blame.
As for the feedback we have received from all Kenyans, we take it with humility. All the feedback will go a long way in making us better as we discharge our duties in Parliament and outside as we serve the great people of Kenya.
We have always been available and forthright in debating both the Appropriations Bill and the Finance Bill on the committee and on the floor of the house as a commitment to giving a different and alternative view. This has also been an important platform of informing Kenyans on the things that affect them, the businesses, investment decisions and the Economy in general.
Whereas this is important, we also must acknowledge the fact that Parliament is in an unprecedented phase where both the Majority and the Minority leadership are on the same side thereby making it difficult to effectively act as an institution of oversight. That’s why we choose to do it both inside and outside.
On the proposals we had on reducing fuel prices, we had the opportunity to appear before the relevant committees. Unfortunately, the Finance Committee did not include the proposals in their final report. The alternative that was left was that of initiating a private member bill. However, this was deemed as a “Money Bill” and could not be carried as an amendment in the Finance Bill on the Floor. It had to take its own course. The guidance from relevant offices in parliament was that we initiate the process after the Finance bill process since most officers of parliament and especially the Parliament Budget Office were engaged in the process of Finance Bill and Appropriations Bill.
The process will now continue on a different path.
I have taken time to read the feedback from Kenyans and it is clear that; we carry an immense responsibility that we should always live up to.
We are glad that together, we have achieved many things through debate, talking about them in forums & media and sharing information. To cite just two;
In December, we were able to speak forthrightly about the plan to hike School Fees for Day Secondary Schools. The plan was shelved, not by the involvement of Parliament; but by the government knowing that Kenyans were aware.
Earlier this year, we took up the issue of the 15% GoK sale of Safaricom shares. While the majority of numbers prevailed in Parliament, the Judiciary sided with our view and money has never changed hands. The sale has never been effected.
We have taken it upon ourselves to tabulate, collate and analyse Economic related information which we always quietly and gladly share with leaders both in Parliament and outside for better oversight and alternative viewpoints.
Personal comfort would call for us to be quiet at critical moments, but it is unpatriotic to seek comfort over what is right.
As human as we are, we are far from being perfect and we will always seek to learn from the feedback we receive.
Asanteni sana.
We are African and Africa is our Business.
While Hezbollah are committed to violating the ceasefire and creating instability, we are committed to protecting our civilians and operating against terror.
Hili andiko lingekaribiana na ukweli kama lingeandikwa mwaka 2010 kurudi nyuma. Ila kama hivi ndivyo unavyofikiri, naweza nikasema YOU'RE MISSING THE PLAYBOOK.
Nchi hii, wananchi wengi ni wafuasi wa CCM. Wale wachache wanaoonekana kuwa tofauti si kwa sababu hawaipendi CCM, bali ni kutokana na kutoridhishwa na baadhi ya mambo yanavyofanyika. Endapo maeneo hayo yatafanyiwa maboresho na matarajio yao kupewa kipaumbele, ninaamini Tanzania nzima itakuwa nyuma ya CCM.