Ofisi ya Waziri Mkuu KAZI, VIJANA, AJIRA NA WENYE ULEMAVU
Mji wa Serikali, Mtaa wa Kazi
Mtumba, Jijini Dodoma
S.L.P 2890
+255262963450
[email protected]
Serikali imejipanga kuendelea kuwapatia Watu wenye Ulemavu mafunzo ya Ujasiriamali ili kuwezesha kundi hilo maalum kujiajiri na kushiriki kikamilifu kwenye shughuli zitakazo wasaidia kujikwamua kiuchumi.
Serikali imejipanga kuendelea kuwapatia Watu wenye Ulemavu mafunzo ya Ujasiriamali ili kuwezesha kundi hilo maalum kujiajiri na kushiriki kikamilifu kwenye shughuli zitakazo wasaidia kujikwamua kiuchumi.
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Patrobas Katambi akizungumza wakati wa Mkutano wa Wadau wa Masuala ya Tathmini ya Athari kwa Mazingira (TAM/EIA) uliofanyika Dar es Salaam.
Serikali imewahakikishia watu wenye ulemavu kwamba itaendelea kuwawezesha kwa namna mbali mbali ikiwemo kuwapatia elimu ya Usalama na Afya kazini ili wawaze kutoa mchango wao kikamilifu katika maendeleo ya nchi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amezindua kiwanda cha bidhaa za ngozi cha Kilimanjaro International Industries Co. Ltd kilichojengwa katika eneo la Gereza la Karanga, Moshi Mkoani Kilimanjaro kwa ubia wa PSSSF na Jeshi la Magereza Tanzania.
#KUMBUKIZI YA MIAKA 21 YA HAYATI MWL. JULIUS KAMBARAGE NYERERE
Tutaendelea kukuenzi na kukumbuka maono yako katika ujenzi wa Taifa letu na Bara Afrika kwa ujumla.
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa rai kwa wawekezaji wachangamkie fursa zilizopo nchini kwa kuangalia maeneo mazuri ya kufanya uwekezaji mpya au kupanua uwekezaji wao.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Mh. Jenista Mhagama ameagiza uongozi wa Kiwanda cha kuzalisha bidhaa za ngozi cha Karanga kutafuta masoko ndani na nje ya nchi, kuandaa mikakati ya mauzo ambayo itahakikisha ukuaji wa soko na uuzwaji wa bidhaa zitakazo zalishwa kiwandani hapo