Myles Lewis-Skelly has just been given a simply outrageous red card for Arsenal
Refereeing (even with the help of VAR) is just embarrassing in this country.
MBOWE's DAUGTHER ARRESTED
Nicole Mbowe, daughter of Chadema Chairman Freeman Mbowe, was arrested today in the Magomeni area of Dar es Salaam shortly after her father was detained.
Her arrest follows the earlier detention of her father in the same location.
Mr Mbowe was taken into custody while addressing journalists, amid plans for protests he announced on September 11, 2024, to condemn recent kidnappings and murders, including that of party member Ali Kibao.
π΄BREAKING NEWSπ΄South African actor Darlington Michaels, best known for his iconic role as Georgie βPapa Gβ Zamdela in Isidingo, has passed away. The beloved star leaves behind a rich legacy in South African television. #RIPDarlingtonMichaels#PapaG#Isidingo
ALI MOHAMED KIBAO AMEUWAWA..!
Mjumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA Taifa na Msaidizi wa Katibu Mkuu umekutwa hospitali ya Mkoa wa Kinondoni,Mwananyamala katika chumba cha kuhifadhia maiti mwili wake ukiwa UMEHARIBIWA VIBAYA SANA.
Mwili wa ALI MOHAMED KIBAO ulikutwa umetupwa jana alfajiri maeneo ya UNUNIO (jirani na viwanja vya NSSF) ukiwa na majereha makubwa sehemu za usoni kiasi ndugu zake walipata tabu kuutambua kirahisi.
ALI MOHAMED KIBAO alikamatwa na watu wanao dhaniwa kuwa ni askari wa Jeshi la Polisi eneo la TEGETA, mbele ya Jengo la KIBO COMPLEX baada ya gari mbili za Jeshi za Polisi za Landcruiser hardtop nyeupe kuzuia (block) basi la TASHIRIF lenye namba T 343 EES alilokuwa amepanda ALI MOHAMED KIBAO kutoka Dar es saalam kuelekea nyumbani kwao Mkoani Tanga.
Kwa bahati nzuri wakati wote wa tukio likitendeka ndani ya gari palikuwa na askari wa Jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani (Traffic) ambaye alikuwa kiti cha mbele kama abiria na alishuhudia tukio lote ,anatambulika kama MACHIWA anayepatikana kwa namba 0652484802.
Namba ya simu aliyokuwa anatumia ALI MOHAMEDKIBAO ni +255 624 724 247 mpaka wakati anatekwa na kwenda kuuwawa,pia ndiyo namba ambayo mara kadhaa waliomteka walikuwa wakimpigia kuhakiki kama ni yeye.
Kwa mujibu wa wenyeji wa UNUNIO ambao ni walima mchicha,wanasema Jana asubuhi walitoa taarifa kwa Jeshi la Polisi baada ya Kuona mwili wa Mtu mzima,mweupe mwenye asili ya Kiarabu ambaye baadae Jana jioni ndugu waliutambua kuwa ni mwili ALI MOHAMED KIBAO ukiwa na majeraha.
Kabla ya umauti wake ALI MOHAMED KIBAO aliwahi kuwa afisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) akastaafu na kujiunga na CCM,baadae akachaguliwa kuwa Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Tanga wakati wa Rais Kikwete,na baadae alijiunga CHADEMA.
Baada ya mauaji haya ya Mjumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA na Msaidizi wa Katibu Mkuu kuwawa idadi ya Viongozi wa CHADEMA wakiotekwa inaongezeka
1.Dioniz Kipanya 2.Kombo Bwana Twaha 3.Godwin Mlay 4.Deusdedith Soka 5.Frank Mbise.
Boniface Jacob
Ex-Mayor
0712 239 595
πππππ-ππππ πππππππ ππππππππ π°πͺ
Faith Kipyegon gets the Gold AND the Olympic Record πͺπ₯
#Paris2024#CloserToYourChampions
ETHIOPIA on top βΌοΈ
Tamirat Tola becomes the first Ethiopian to win the Olympic marathon since 2000.
He clocks an impressive 2:06:26 on the brutal @Paris2024 course π€―
#Paris2024#Olympics