Ukiona watu wanasherekea miaka kumi ya ndoa au mahusiano trust me hiyo ni sherehe ya ushujaa wa mwanamke, yeye ndio kaibeba kufika hapo, wanaume mwaka mmoja makosa kama yooote, faulu kama mia kasha cheza
If you’re one of those who loves to procrastinate, now’s the time to change this bad habit. Some suffer mild symptoms, delaying simple tasks; others allow it to control their lives, to the point that it disrupts their connection with the Almighty. Don’t fall prey. Act now!
Always remember, your value is not based on what you look like, what you do, or who you know, your status in life! Also you are not defined by your past. Use the past to learn lessons for the present and future. Your true value comes from how close you are to your Creator!
Almighty. On this blessed day, we pray for our children. May You grant them a heart of faith, keep them healthy & heal all those who are ill. Bless them with good, righteous friends & those who will remind them of You. Grant them a strong sense of right & wrong & keep them safe!
Ukikubaliana na hili basi utafanikiwa sana kimaisha
“Wewe kumchukia mwingine bila sababu ya msingi na kutumia muda wako kumtusi au kumkashifu, haitokuongezea kipato wala nafasi yoyote kimaisha zaidi ya kukuumiza kichwa ukiwaza tusi jipya kila siku huku mwenzako akizidi kutoboa”