was established by Act No. 8 of 1999 of the Zanzibar House of Representatives which was amended by Act No. 11 of 2009, and further re-amended by Act No. 7,2016
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Mwinyi ametoa wito kufanyika upembuzi yakinifu wa program za mafunzo ya amali ili kuandaa wahitimu kwa soko la ajira na mahitaji ya viwanda.
Chuo Kikuu Cha Taifa Zanzibar (SUZA) kinatoa taarifa ya Mkusanyiko wa Kitaaluma ambapo mgeni rasmi ni Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Hamad Hassan Chande Jamhuri ya Muungano wa Tanzania utakaofanyika Siku ya Jumapili tarehe 22/12/2024 Ukumbi wa Taasisi ya Utalii Maruhubi, Zanzibar.
The Center for Digital Learning (CDL) at the State University of Zanzibar (SUZA) presents a public lecture on Animation Art, Science and Power of Artificial Intelligence from key speaker Dr. Anaeli Kihunrwa who is a Animation Filmmaker & Educator.
DON'T MISS YOUR OPPORTUNITY: Apply now through https://t.co/PdgAcjZ2ji, only 4 days have remained to close second round application. Use this link 👉👉👉 https://t.co/tx8csNVsiz
Chuo Kikuu Cha Taifa Zanzibar (SUZA) kimeshiriki katika Uwasilishaji wa ripoti ya awali ya mpango kazi wa miaka 5 wa kuendeleza kituo cha Kukuza wajasiriamali (ZATOBI) kampasi ya Utalii, Maruhubi Zanzibar. Ripoti hiyo imewasilishwa na Mshauri Elekezi Bw. Ali Sultan Malik.
Chuo Kikuu Cha Taifa Zanzibar (SUZA) kinakukaribisha katika Kongamano la kitaaluma la Miaka 60 ya Elimu bila ya Malipo litakalofanyika tarehe 21/09/2024 katika Ukumbi wa Taasisi ya Utalii Maruhubi, Zanzibar.
DON'T MISS YOUR OPPORTUNITY: Apply now through https://t.co/PdgAcjZ2ji, only 5 days have remained to close second round application. Use this link 👉👉👉 https://t.co/tx8csNVsiz
Ujumbe kutoka Chuo Kikuu cha Hainan China leo tarehe (16/09/2024) umekutana na Makamo Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Prof. Moh’d Makame Haji kwa mazungumzo ya kuendeleza uhusiano wa kitaaluma baina ya Vyuo vikuu hivi.
DON'T MISS YOUR OPPORTUNITY: Apply now through https://t.co/PdgAcjZ2ji, only 6 days have remained to close second round application. Use this link 👉👉👉 https://t.co/tx8csNVsiz
Chuo Kikuu Cha Taifa Zanzibar (SUZA) kinakukaribisha katika Kongamano la kitaaluma la Miaka 60 ya Elimu bila ya Malipo litakalofanyika tarehe 21/09/2024 katika Ukumbi wa Taasisi ya Utalii Maruhubi, Zanzibar.
Baraza la Chuo, Menejimenti na wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wanakutakia Heri na Baraka ya Siku ya Maulid ya Mtume Muhammad (S.A.W) Watanzania wote.
Chuo Kikuu Cha Taifa Zanzibar (SUZA) kinakukaribisha katika Kongamano la kitaaluma la Miaka 60 ya Elimu bila ya Malipo litakalofanyika tarehe 21/09/2024 katika Ukumbi wa Taasisi ya Utalii Maruhubi, Zanzibar
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGAZ) Ndugu. Said Seif Said amekipongeza Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kwa kuwa vinara wa mageuzi ya Kidigitali nchini katika Utendaji kwa kutumia Mfumo wa ERMS kwa asilimia mia moja (100%).
Wanafunzi wa Skuli mbalimbali wametembelea banda la SUZA kupata taarifa mbalimbali za Chuo katika maonesho ya maadhimisho ya Siku ya Kujua Kusoma na kuandika yanayoendelea Ukumbi wa Idris Abdul Wakil Kikwajuni Zanzibar. Maonesho hayo ya siku mbili yaliyoanza 7-8/09/2024.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mh. Lela Mohamed Mussa ametembelea Banda la Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) katika Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya kujua Kusoma na Kuandika yanayofanyika Ukumbi wa Idriss Abdul-Wakil, Kikwajuni Zanzibar.
Skuli ya Kiswahili na Lugha za Kigeni ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar - SUZA leo imewaaga jumla ya Wanafunzi wanne kutoka Ujerumani na Uengereza ambao walikuwepo Zanzibar wakijifunza Lugha ya Kiswahi