@millardayo Hatua hiyo imefuatia baada ya ICC kutoa hati ya kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu na aliyekuwa waziri ulinzi kwa makosa ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu uliotekelezwa wakati wa vita ya Gaza.
@millardayo Marekani imewawekea vikwazo katika huduma za kifedha, teknolojia na kusafiri majaji na waendesha mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), ikiwashinikiza wasitishe uchunguzi dhidi yake na washirika wake.
Aujourd'hui 15 mai, notre pays commémore la Journée des Coutumes et Traditions.
Cette journée est une occasion de puiser aux sources fécondes de nos savoirs ancestraux afin de vivifier notre amour pour notre Patrie.
Le patrimoine hérité de nos pères est notre forteresse. Je souhaite qu'à la faveur de cette célébration les traditionalistes portent le Burkina Faso dans leurs prières.
Que cette célébration renforce la tolérance, l’acceptation de nos différences de croyances, le respect mutuel, pour qu'ensemble nous puissions bâtir un Burkina Faso de paix, uni, solidaire et prospère.
Bonne célébration de la journée des Coutumes et Traditions à toutes et à tous.
With heavy heart and tears in their eyes Burkina Faso 🇧🇫 citizens in Ghana 🇬🇭 marched to the Burkina Faso Embassy to show their support for Captain Ibrahim Traoré expressing their strong support and love for him.