▪️''Mapenzi jamani yanachanganya ukiianza kujiingiza wakati uko kwenye masomo utachanganyikiwa walah"
▪️ Serikali kuruhusu wanafunzi waliojifungua kuendelea na masomo siyo kuhalalisha vitendo vya ngono bali waweze kupata haki ya elimu.
▪️ Sehemu ya hotuba ya Dkt. Batilda Burian
Lengo la kuungana na wananchi kuwekeza nguvu za ziada kwenye shule nane za Manispaa ya Tabora pamoja na mikoa mingine ni kuonyesha kwa vitendo namna elimu tunayoitaka inavyopaswa kuwa, hatua inayoenda sanjari na kujifunza ili kutatua kwa pamoja changamoto za elimu- Dkt. Kalage
Sambamba na uzinduzi wa hosteli hiyo, Mkuu huyo wa mkoa Dtk. Batilda Burian amezindua vyoo vya kisasa vya wasichana vilivyojengwa kwa nguvu ya wananchi na @HakiElimu kupitia ufadhili wa Serikali ya Uingereza katika Shule za Msingi Kazima, Isike pamoja na Sekondari Fundikira.
▪️Mkuu wa Mkoa wa Tabora Dkt. Batilda Burian amezindua na kupokea hosteli ya wasichana katika Shule ya Sekondari Itonjanda yenye uwezo wa kubeba wanafunzi 80 ambayo imejengwa kwa nguvu ya wananchi na Asasi ya kiraia ya @HakiElimu kupitia ufadhili wa Serikali ya Uingereza.
@UKinTanzania Dev Director @keminaija proudly joined Principal Secretary MoEVT Mr. Ali Khamis Juma in handover ceremony of latrines & hand washing facilities built in 28 schools in Zanzibar through @UKinTanzania funded project ran by @scitanzania through the #KPMG AcT2 Programme.
"Save the Children implemented, tried and tested approaches to ensure that children learn and thrive in a quality learning environment that is safe and inclusive" - @bestermw remarks during the Education Project Inauguration & Handover Event in #Zanzibar
This year’s theme - “Digital Generation, Our Generation” is a reflection of the increased demand for technology as a result of the Covid-19 pandemic - British High Commissioner, David Concar addressing at #IDGC2021
Shule Bora will make the delivery of education more efficient, effective and economic, while also ensuring two million additional girls’ get access to quality education -British High Commissioner, David Concar addressing at #IDGC2021
The Girls Education Challenge (GEC) is directly supporting over 95,000 marginalised girls to transition to secondary school, succeed academically, go on to further studies, and secure fulfilling livelihood and employment opportunities - HE. @DConcar addressing at #IDGC2021
This year’s theme “Digital Generation, Our Generation” acknowledges and reminds us that digitalisation is not yet inclusive. It highlights the gendered gap in accessing digital platforms, digital skills, and digital tools - @DConcar, British High Commissioner,at #IDGC2021
The UK Prime Minister recently announced an additional £55 million to the already £400 million that has been allocated for girl’s education this year (2021/2022) this reaffirmed UK’s ambition to get more girls to school- British High Commissioner @DavidConcar at #IDGC2021
Through the Commonwealth Scholarship scheme funded by the FCDO, the British Council has also supported 224 women to obtain a postgraduate degree from the UK. These women are now innovators and leaders - Sumar, Atiya from @tzbritish addressing #IDGC2021
Everyone reading this is an inspiration, a champion, a current or future mentor; your voices, your expertise, and your ideas are crucial to ensure that we are nurturing and developing the next generation of women and girls- Sumar, Atiya from @tzbritish addressing #IDGC2021
"Investing and empowering girls isn't just the right thing to do but rather effective thing to do, not just to girls but to everyone involved...",David Concar H.E British High Commissioner
#IDGC2021#GenerationEquality#ProtectAGeneration
Ladies and Gentlemen, every child has the potential to achieve astounding things. But for girls everywhere, that potential is cut short by discrimination and inequality - Atiya, Act. Country Director @tzbritish opening remarks #IDGC2021
Tanzania and the UK have a shared vision and commitment to increasing girls’ access to education and eliminating barriers hindering this- British High Commissioner, @DConcar addressing at #IDGC2021
"Kwetu wasichana, ongezeka la matumizi ya nyezo za kidigitali ni fursa na vilevile changamoto. Hasa kwa kuzingatia tofauti iliyopo kati ya wenye uwezo wa kufikiwa na kutumia mifumo ya kidigitali na wale tusio na uwezo huo, hasa katika ujifunzaji" - Seraphina (13)
#IDGC2021
Rather than saying there is something wrong with the girl, we are keen to address the social barriers that can restrict girls’ access to and retention and attainment in education- Atiya, Acting Country Director @tzbritish addressing #IDGC2021