Congratulations to our #VisitRwanda partner Paris Saint-Germain @PSG_inside on their well-deserved UEFA @ChampionsLeague title and on being crowned champions for the second consecutive year.
Congratulations as well to @Arsenal on reaching the final and fighting with determination until the very end.
Both clubs have made their supporters proud, but tonight, PSG proved to be the better team!
Uyu munsi abakinnyi n’Abayobozi basuye abarwayi barwariye mu bitaro by'Akarere bya @NyagatareHospit . Babageneye ibikoresho by’isuku, Amata ndetse n' amafaranga yo kwishyura ku babuze uko bava kwa Muganga hishyuriwe abarwayi 20 .@NyagatareDistr@GatsiboDistrict@RadioNyagatare
Leo, Ikulu jijini Dar es Salaam, nimempokea Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame, aliyewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja.
Tanzania na Rwanda si tu ndugu na majirani, bali pia ni washirika wa kimkakati wenye uhusiano unaoendelea kukua kwa kasi. Takribani asilimia 70 ya shehena ya Rwanda inapitia katika bandari za Tanzania. Biashara kati ya nchi zetu mbili imefikia shilingi bilioni 644 mwaka 2025, na uwekezaji kutoka pande zote mbili unaendelea kuchochea ajira na ukuaji wa uchumi kwa wananchi wetu.
Katika mazungumzo yetu, tumekubaliana kuongeza kasi ya ushirikiano kwa kuondoa vikwazo visivyo vya kikodi, kuimarisha biashara na uwekezaji, na kuwekeza zaidi katika miundombinu ya usafiri na usafirishaji, mawasiliano, pamoja na nishati ya uhakika. Aidha, tutaimarisha ushirikiano katika masuala ya ulinzi, usalama na ajenda za kikanda na kimataifa.
Karibu tena Tanzania, Mheshimiwa Rais.