KEVB FASHION
TUNAUZA VIATU MTUMBA GRADE A. VIATU VYA NGOZI NA RABA #Mensfashion#vans#converse#loafers#menshoes
CONTACT: +255717207427
LOCATION: DAR ES SALAAM
KARIBUNI SANA🙏🏾
Agizo la Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) la kuzuia upandishaji wa nauli nchini kufuatia kupaa kwa bei ya mafuta, limeibua mjadala mzito kuhusu uhalisia wa kiuchumi kwa wamiliki wa vyombo vya usafiri na madereva.
Wadau wa sekta ya usafirishaji wamebainisha kuwa kuzuia nauli isipande pekee hakuleti nafuu ya kweli kwa wananchi, badala yake kunatengeneza mazingira ya hasara kwa wamiliki wa magari na ugumu wa maisha kwa madereva. Hoja ya msingi inayotolewa sasa ni kwamba, ili kumlinda abiria bila kumuua mtoa huduma, Serikali haina budi kutoa ruzuku ya dharura kwenye mafuta.
"Kumlazimisha dereva au mmiliki wa gari kutumia mafuta ya Sh3,820 kwa nauli ya zamani ni sawa na kumtaka afanye biashara kwa hasara. Suluhisho la kudumu si kuzuia nauli, bali ni Serikali kuingilia kati na kutoa ruzuku ili kupunguza bei ya mafuta pumpuni," alieleza mmoja wa wachambuzi wa sekta ya usafirishaji.
Mkurugenzi Mkuu wa LATRA, CPA Dkt. Habibu Suluo, amesisitiza kuwa mabadiliko ya nauli yanahitaji mchakato hadi Aprili 8. Hata hivyo, angle hii inaonyesha kuwa wiki moja ya kusubiri ni muda mrefu unaoweza kusababisha migogoro kati ya madereva na matajiri wao, huku wengine wakitishia kuegesha magari yao ikiwa gharama za uendeshaji zitazidi mapato.
Kwa sasa, macho ya wasafirishaji yameelekezwa kwa Serikali kuona kama itachukua hatua za dharura za kifedha (Fiscal measures) kama vile ruzuku au kuondoa baadhi ya tozo, ili kuhakikisha huduma za usafiri zinaendelea bila kumuumiza abiria wala mwekezaji anayetoa huduma hiyo muhimu.
VIDEO:
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Naseeb Adbul (Diamond Platnumz) ameilalamikia Serikali ya Tanzania kuwa imewekeza nguvu kubwa kwenye mchezo wa mpira wa miguu huku ikiudharau muziki na kuukumbuka kwenye kampeni pekee.
Ameeleza hayo leo Machi 31, 2026 kwenye mahojiano maalum na kituo cha Wasafi FM akieleza kuwa muziki unapuuzwa sana na hata ushauri wa ujenzi wa Arena kaa ajili ya matukio makubwa ya kimziki haufanyiwi kazi pamoja na kwamba ni muhimu sana.
"Wanaweka nguvu sana kwenye mpira ila kwenye mziki wana dharau sana mshikaji wangu sisi tunaonekana tu kwenye kampeni yani hapo tupo 'serious' ila baada ya hapo ila baada ya hapo miundombinu aaah" amesema Diamond Platnumz
Mwana katoka bongo kaingia SA kusaka dusko ana makaratasi kabisa kihalali lakini kachezea mikwaju ya kutosha kmmk
Wasauzi wasenge sana huwezi ona wanamfanyia mzungu hivi na kuna sehemu katika nchi yao hawaruhusiwi kukanyaga 😖
🚨 URGENT
Nous dénonçons un acte grave de violence et de manque d’éthique médicale survenu à l’Hôpital général de référence de Kinkole.
Une patiente en détresse aurait été victime de mauvais traitements lors d’une prise en charge, selon des témoignages choquants.
Nous appelons
At least 35 passengers are missing after a bus plunged into the Padma River at Daulatdia Ghat, Bangladesh; two bodies have been recovered so far as rescue operations continue.
People live like cockroaches and die like cockroaches
Jana nili-request Bolt-Taxi. Mshkaji mmoja akaja anaonekana mtu poa sana. Kanichukua kwenda destination yangu. Mwanzo wa safari tu kaomba kushuka akanunue maji ya kunywa ana kiu.
Cha ajabu akaja anakunywa juisi huku kabeba maji ya buku. Kaingia kwenye gari na kunipa yale maji👇